Kitendawili cha mtandao wa internet ambacho mpaka leo kimeshindikana kuteguliwa

Kitendawili cha mtandao wa internet ambacho mpaka leo kimeshindikana kuteguliwa

Alafu kuna kitu mtoa mada unashindwa kuelewa, blockchain ilikuwepo theoretical, lakin huyo mjapan asiyejulikana aliiweka kwenye implentation ambayo akaja na Bitcoin,

Vitu vingi unavyovyiona theoretical vipo
 
Blockchain ina bugs nyingi mbona iko kitu watu wamekiongelea sana, ndo maana Kuna makampuni Wana remove bugs kwenye blockchain system kuondoa bugs
Bugs inazo hakuna system isiyo na bugs ila mpaka sasa hakuna aliyeweza hack bitcoin akafanya double spending au akaongeza pesa nyingine. Unahisi hackers hawapendi? yes bugs zipo lakini siyo za kuhack network na hilo ndilo shida huwezi fanya double spending, huwezi introduce pesa ambayo haipo
 
Alafu kuna kitu mtoa mada unashindwa kuelewa, blockchain ilikuwepo theoretical, lakin huyo mjapan asiyejulikana aliiweka kwenye implentation ambayo akaja na Bitcoin,

Vitu vingi unavyovyiona theoretical vipo
Najua sana blockchain na public ledger ilikuwepo toka mwaka 1992, lakini impelementantion yake allikuja kuifanya huyo jamaa, mfumo wa mwanzo wa blockchain ulifail vibaya.
Kuwa theoretically ni rahisi kuliko implimentantion yake. Ugumu wa kuhack network ni kwamba hakuna center ianyohusika na kuendesha au kushikiria data za mfumo mzima wa bitcoin. Haiko centralized hapo ndiyo maana ili uwezi kuhack mfumo wa bitcoin lazima uhack 51% ya network nzima.
 
Smart contract watu Wana hack uko wapi
Narudia tena hao wengine sijui theorem crypto wamehackiwa ila siyo bitcoin, bitcoin network yake haijawahi kuwa hacked, kuna waliojaribu nadhani ilikuwa 2014 wakaintroduce new cryptocurrency, lakini si kwa kuhack network, within hours that bug ilikuwa fixed na hiyo pesa ikaondolewa
 
Narudia tena hao wengine sijui theorem crypto wamehackiwa ila siyo bitcoin, bitcoin network yake haijawahi kuwa hacked, kuna waliojaribu nadhani ilikuwa 2014 wakaintroduce new cryptocurrency, lakini si kwa kuhack network, within hours that bug ilikuwa fixed na hiyo pesa ikaondolewa
Cryptocurrency ndo Bitcoin
 
Cryptocurrency ndo Bitcoin
Brevis ni gari ila siyo kila gari ni brevis...
Cryptocurrency ni term inayo refer digital currency, lakini siyo kila digital currency ni bitcoin inaelekea huelewi hata haya mambo.
zipo kibao kama ethereum, riple, lifecoin, bitcoin cash na nyingine nyingi ikiwemo na ile onecoin (which was a scam by Dr.Luja akakimbia na mamilion ya madollar ya watu)
 
Brevis ni gari ila siyo kila gari ni brevis...
Cryptocurrency ni term inayo refer digital currency, lakini siyo kila digital currency ni bitcoin inaelekea huelewi hata haya mambo.
zipo kibao kama ethereum, riple, lifecoin, bitcoin cash na nyingine nyingi ikiwemo na ile onecoin (which was a scam by Dr.Luja akakimbia na mamilion ya madollar ya watu)
List of cryptocurrency Bitcoin, litecoin na nyinginezo nyingi mbona unabisha vitu viko wazi, na zote zinakua recorded kwenye blockchain mbona vitu viko wazi
 
Bitcoin ndo cryptocurrency ya kwanza kuanzishwa mwaka 2009 Satish nakamoto, ikaja litecoin 2011 Charlie lee, na nyinginezo ambazo ziko nyingi
 
List of cryptocurrency Bitcoin, litecoin na nyinginezo nyingi mbona unabisha vitu viko wazi, na zote zinakua recorded kwenye blockchain mbona vitu viko wazi
Implementantion yake ndiyo inazitofautisha, umesema cryptocurrency ndiyo bitcoin nimekusahihisha kwa kukwambia ni sawa useme gari ni brevis.
labda ngoja nikupe mfano, 5G network, kila kampuni ina style ya implementantion yake NOKIA wanatengeneza mfumo wa 5G lakini kwa implementantion tofauti na Huawei lakini mwisho wa siku inaitwa 5G. Same applies to the blockchain.
Ndiyo maana inasemekana mfumo wa 5G wa Huawei ni bora zaidi.
 
Bitcoin ndo cryptocurrency ya kwanza kuanzishwa mwaka 2009 Satish nakamoto, ikaja litecoin 2011 Charlie lee, na nyinginezo ambazo ziko nyingi
Hapa unalenga kumaanisha nini maana sijaona hoja yako?
 
Hapa unalenga kumaanisha nini maana sijaona hoja yako?
Siulikua unasema Bitcoin na cryptocurrency ni vitu viwili tofauti, nilikua nakuambia Bitcoin ndo cryptocurrency ya kwanza kabisa, ikaja litecoin 2011 Charlie lee, namecoin coin 2011 vicent Durham, na nyingine nyingi
 
Siulikua unasema Bitcoin na cryptocurrency ni vitu viwili tofauti, look nakuambia Bitcoin ndo cryptocurrency ya kwanza kabisa, ikaja litecoin 2011 Charlie lee, namecoin coin 2011 vicent Durham, na nyingine nyingi
Unaweza kunionyesha wapi nimesema bitcoin na cryptocurrency ni vitu viwili ni vitu tofauti? Mkuu inaelekea unasoma ila huelewi ninachoandika.
 
Endea kuamin unachoamini, na mim niendelee kuamini nachoamini
Umenimezesha maneno, mimi nimekwambia cryptocurrency siyo bitcoin lakini bitcoin ni cryptocurrency. Cryptocurrency ni general term ya digital currency bitcoin ni brand name ya cryptocurrency ya Satoshi. Ndiyo maana nikakupa mfano kwamba ni swa useme kila gari ni brevis, brevis ni brand name ya gari
 
Umenimezesha maneno, mimi nimekwambia cryptocurrency siyo bitcoin lakini bitcoin ni cryptocurrency. Cryptocurrency ni general term ya digital currency bitcoin ni brand name ya cryptocurrency ya Satoshi. Ndiyo maana nikakupa mfano kwamba ni swa useme kila gari ni brevis, brevis ni brand name ya gari
Kuna uwezekano atukuelewana
 
Katika mambo ambayo mpaka leo yameshindwa kujulikana, ni nani allitengeza sarafu ya Bitcoin ambaye alijipachika jina la Satoshi Nakamoto.

Watu wengi wamekuwa wakihisiwa lakini mwisho inagundulika siyo wao. Jambo la kustaajabisha, jamaa mara ya mwisho alilog off 2012 na hakuwahi kuonekana tena. Ila dunia inafurahia uvumbuzi wake wake ambao mpaka leo hakuna aliyefanikiwa kuuhack.

Bitcoin network imekuwa undefeated, na imetengeneza teknolojia mipya ya kutengeneza mifumo ya kifedha na mikataba ya kidijitali. Katika watu wengi waliotajwa, kuna mtu mmoja ana kila dalili ya kuwa inawezekana ndiye aliyetengeneza bitcoin, naye ni Paul Le Roux.

Huyu ni mzailwa wa zimbabwe mwaka 1976, ambapo familia yake ilihamia afrika kusini. Baadae alisoma mambo ya computer programming, kisha akahamia Uingereza ambapo aliajiliwa kwenye kampuni ya kutengeneza mifumo ya encryption.

Akiwa hapo aliunda program inayojulikana kama E4M yani Encryption for Masses. Hii ilikuwa ni program ambayo waaharifu na magaidi walipenda kuitumia, ilikuwa inafunga kuigniliwa mawasiliano kwa kila namna iwe email, simu, web access, na kila kitu. CIA walipata tabu sana kupenetrated system iliyolindwa na program hii.

Baadae aliona hawezi kuwa tajiri akahamia Manila, Ufilipino, ambapo alitengeneza call center na kuanzisha mtandao wa kuuza prescribtion drugs kwa Wamarekani. Kwa siku alikuwa anaprocess order zaidi ya 300. Ilikuwa ni biashara haramu ila alikuwa akiingiza pesa ndefu na hakuna aliyeweza kumtrack maana computer yake na mtandao wake wa mauzo alikuwa kautengenezea mfumo wa wa encryption wa hali ya juu.

Akaona pesa haitoshi akaanza uajiri wanajeshi wastaafu wa marekani na Uingereza kuwa genge lake. Jamaa kawa na pesa nyingi akaamua kuwa anawtuma vijana wake wanaenda Hongkng wananunua dhahabu by cash wanaziweka safe house.

Akaona hiyo haitoshi akaenda akatuma mwakilishi Iran akaingia nao mkataba wa kuwaletea silaha, pamoja na kuwauzia formula ya kutengeneza mabomu ya kutungulia misafara ya wamarekani huko Iraq. Hiyo haitoshi akwa na kundi la hit mens, polisi na wanasiasa wa Ufilipino walikuwa kwenye pay roll yake. Watu wengi waalifu walimjua tu kwa jina la Big Boss.

Akaanza uzalishaji na usambazaji wa dawa za kulevya Asia. Akatuma vijana wake waka recruit vijana na kujenga military base Pwani ya somalia itakayokuwa kama military barracks, ikiwa na landing strip. Muda wote huo CIA hawakuwahi msikia mpaka ilipotoka report ya UN ndipo CIA wakaanza mfuatilia mpaka kuja kumnasa lIberia mwaka 2012.

Kwanini inasadikika kuwa ndiye mtengenezaji wa btcoin.

1. Ana ufahamu mkubwa wa coding na encryption, hata maka anakamatwa CIA walishindwa kupenetrate mawasilaino yake iwe ya simu au computer, aliyewasaidia ni kijana wake aliyekuwa amemweka SOmalia kama kiongozi baadae akahisi anamwibia akatuma mtu amuue kijana machale yakamcheza akakimbia Na kwenda mafichoni. Huyu ndiye alikuja shirikiana na CIA kwa kuwapa copies za encryption zake na kuwaunga naye maan baadae aliwasiliana na boss wake akimwambia kuwa hakuwa anamwibia halafu akampa deal la kusambaza dawa za wacolumbia kumbe wacolumbia hao walikuwa ndiyo CIA.

2. Post za Satoshi na maneno na uandishi wake wa kingereza cha ki British ni sawa na wa Paul.

3. Emails alizokuwa aiwatumia developers wengine uandishi wake ni sawa na emails nyingine alizokuwa akizituma kwa vijana wake.

4. Satoshi toka apotee hajwahi kuonekana na inasadikika alimine 1 million bitcoin ambazo mpaka leo hazijatumika, huu a ndiyo muda ambao Paul naye alikamatwa na mpaka leo yuko gerezani Marekani.

Huyo jamaa uliyeweka picha yake ndie Satoshi eh?

Acha bangi.
 
Back
Top Bottom