Labda aliamua tu ili kuwaharibu mbumbumbu fc kisaikolojia (kama mnavyoamini ni kitendo cha kishirikina) moja kwa moja pengine kile kitendo kilisaidia kufnya wachezaji wa simba waathirike kisaikolojia, ni mbinu ya kawaida dhidi ya mpinzani wako
MKUU ILE N NURU ILIWAANGAZIA YANGA UKIONA IMETOKEA SIKU NYNGINE TOKA TU UWANJANI HAKUNA MSHINDIKwa style ile ya uanzishaji mpira wa kwanza kwa kuupiga nje, kina maana gani?
Kitendo cha Ibrahim Ajibu kuanzisha mpira wa kwanza kwa kuupiga na kutoka nje, kimeshangaza wengi na kimezua sitofahamu ambapo kuna baadhi wakisema ni kitendo cha kawaida tu huku wengi wamekitafsiri kuwa ni kitendo cha kishirikina (uchawi) katika soka la bongo hasa mchezo wa Watani wa Jadi ulipigwa uwanja wa Taifa.
Je umekionaje? Mshana Jr
Kwa hii tabia yenu ya ulozi.. Hakyanani Ndala wote hamuendi mbinguni.MKUU ILE N NURU ILIWAANGAZIA YANGA UKIONA IMETOKEA SIKU NYNGINE TOKA TU UWANJANI HAKUNA MSHINDI
Mashabiki wa Mikia Muda wote wanawaza ushirikina!!!Kwa style ile ya uanzishaji mpira wa kwanza kwa kuupiga nje, kina maana gani?
Kitendo cha Ibrahim Ajibu kuanzisha mpira wa kwanza kwa kuupiga na kutoka nje, kimeshangaza wengi na kimezua sitofahamu ambapo kuna baadhi wakisema ni kitendo cha kawaida tu huku wengi wamekitafsiri kuwa ni kitendo cha kishirikina (uchawi) katika soka la bongo hasa mchezo wa Watani wa Jadi ulipigwa uwanja wa Taifa.
Je umekionaje? Mshana Jr
Waliathirika ndio mana wali kosa magoli ya wazi kabisaKo unavoona waliathirika au taabu ndo ilizidi?