Kitendo cha Ajibu kuanza mpira kwa kupiga nje, kina maana gani?

Kitendo cha Ajibu kuanza mpira kwa kupiga nje, kina maana gani?

Kwa style ile ya uanzishaji mpira wa kwanza kwa kuupiga nje, kina maana gani?

Kitendo cha Ibrahim Ajibu kuanzisha mpira wa kwanza kwa kuupiga na kutoka nje, kimeshangaza wengi na kimezua sitofahamu ambapo kuna baadhi wakisema ni kitendo cha kawaida tu huku wengi wamekitafsiri kuwa ni kitendo cha kishirikina (uchawi) katika soka la bongo hasa mchezo wa Watani wa Jadi ulipigwa uwanja wa Taifa.

Je umekionaje? Mshana Jr
Tatizo lako unawaza sana ushirikina Ghazwat ,hebu angalia fainali ya EUROPA msimu ulioisha kati ya Marseille vs Atletico Madrid
,alafua angalia Maseille walivyoanza mpira.
 

Attachments

Kwa style ile ya uanzishaji mpira wa kwanza kwa kuupiga nje, kina maana gani?

Kitendo cha Ibrahim Ajibu kuanzisha mpira wa kwanza kwa kuupiga na kutoka nje, kimeshangaza wengi na kimezua sitofahamu ambapo kuna baadhi wakisema ni kitendo cha kawaida tu huku wengi wamekitafsiri kuwa ni kitendo cha kishirikina (uchawi) katika soka la bongo hasa mchezo wa Watani wa Jadi ulipigwa uwanja wa Taifa.

Je umekionaje? Mshana Jr
Kaangalie mechi ya Europa league final kati ya Marseille vs Atletico Madrid utapata jibu
 
Sasa si wangemuomba refa awape simba waanze shida ipo wapi?mpaka wabutue nje?
Basi angelenga hata golini kwa simba alishindwa?
Masharti tu ya mganga.
WAANZE SIMBA..........................KUCHEZA
 
Sasa si wangemuomba refa awape simba waanze shida ipo wapi?mpaka wabutue nje?
Basi angelenga hata golini kwa simba alishindwa?
Masharti tu ya mganga.
SHILINGI ILIRUSHWA SO LAZIMA WAANZE WAO MKUU, ANYWAY MI MWENYEWE MSHABIKI WA SIMBA
 
Pale ref anapopuliza kipenga unaweza kuanza mpira hata kwa kichwa muhimu usijevunje kanuni ya mpira,kwaio ila ilikua ni kuchezana tu.
 
Sasa si wangemuomba refa awape simba waanze shida ipo wapi?mpaka wabutue nje?
Basi angelenga hata golini kwa simba alishindwa?
Masharti tu ya mganga.
Mpira ni sheria/kanuni huwa hamna kuomba, halafu kanuni huwa haibadilishwi

Mfano timu ifunge goli halafu iombe lisiwe goli

Au mchezaji apewe red card halafu mpinzani aombe mchezaji asamehewe asitolewe. HIYO KITU HAIPO.
 
Back
Top Bottom