Kitendo cha Ajibu kuanza mpira kwa kupiga nje, kina maana gani?

FIRST TO HAPEN IN THE FIRST FIVE MINUTES

Corner Yes 2.25
Corner No 1.70
Goal Yes 3.45
Goal No 1.18
Goal Kick Yes 1.9
Goal Kick No 1.25
Throw In Yes 1.2
Throw in No 1.85
Penalty Yes 8.5
Penalt No 1.14

Angefanya kile kitendo Ulaya, simu yake na laptop yake zingeshikiliwa kwa muda ili kupisha uchunguzi.
Nadhani wawekezaji wenzangu mmeelewa lugha
 
Apo nmekuelewaaa..
 
Ndio ndio..halafu game haikuwekwa 1xbet sidhan kama alibet [emoji23] [emoji23]
 
Haya pole kwa ya jana.

Maana wana Simba wote leo mnaamini Shirki.
Huna haja ya kunipa pole, kwa ule mpira sina shaka kabisa,, ila nyie kwa ule mpira wenu huu mwaka ushindi wenu ni droo tu,,

Jana tuliwapakata sanaa
 
Huna haja ya kunipa pole, kwa ule mpira sina shaka kabisa,, ila nyie kwa ule mpira wenu huu mwaka ushindi wenu ni droo tu,,

Jana tuliwapakata sanaa
Huna shaka na nini Kaka?

Tusubiri marudiano ndio nitaliamini hili ulisemalo.

Pia niseme mpira ni matokeo na sio kupakatana. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ukimpakata mtu na matokea yakawa hamna kitu hiyo ni sawa na bure Kaka. Yaani haina tofauti na kujichosha tu.
 
Ni suala la kucheza na saikolojia tu ya mpinzani wako. Ni suala la 'ushirikina' na kuna watu na wachezaji limewaathiri ingawa yawezekana kabisa Ajibu hana imani na hayo mambo ila aliambiwa afanye hivyo kuvuruga hali ya hewa ya upande wa pili na alifanikiwa.
 
Labda aliamua tu ili kuwaharibu mbumbumbu fc kisaikolojia (kama mnavyoamini ni kitendo cha kishirikina) moja kwa moja pengine kile kitendo kilisaidia kufnya wachezaji wa simba waathirike kisaikolojia, ni mbinu ya kawaida dhidi ya mpinzani wako
Una logic mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…