Kitendo cha Ajibu kuanza mpira kwa kupiga nje, kina maana gani?

Kitendo cha Ajibu kuanza mpira kwa kupiga nje, kina maana gani?

Kwa style ile ya uanzishaji mpira wa kwanza kwa kuupiga nje, kina maana gani?

Kitendo cha Ibrahim Ajibu kuanzisha mpira wa kwanza kwa kuupiga na kutoka nje, kimeshangaza wengi na kimezua sitofahamu ambapo kuna baadhi wakisema ni kitendo cha kawaida tu huku wengi wamekitafsiri kuwa ni kitendo cha kishirikina (uchawi) katika soka la bongo hasa mchezo wa Watani wa Jadi ulipigwa uwanja wa Taifa.

Je umekionaje? Mshana Jr
Kama kuna kaliba inaongoza kwa ushirikina basi soka iko namba za kwanza... Kuna wakati vinafanyika vitu vinavyoonekana ni vya kawaida lakini kiuhalisia vinafanywa kwa maagizo maalum
BTW uhalisia kwenye ushirikina ni 25% tu inayobaki yote ni uongo figisu na utapeli
 
Alikabidhiwa mikoba kwahiyo hakuwa na namna. Hiyo droo yenyewe sangoma kajitahidi.
 
Simba wanacheza school boy football..mwanzo mpaka mwisho aina moja ya mpira..#mtasukumwandani
 
Kwa style ile ya uanzishaji mpira wa kwanza kwa kuupiga nje, kina maana gani?

Kitendo cha Ibrahim Ajibu kuanzisha mpira wa kwanza kwa kuupiga na kutoka nje, kimeshangaza wengi na kimezua sitofahamu ambapo kuna baadhi wakisema ni kitendo cha kawaida tu huku wengi wamekitafsiri kuwa ni kitendo cha kishirikina (uchawi) katika soka la bongo hasa mchezo wa Watani wa Jadi ulipigwa uwanja wa Taifa.

Je umekionaje? Mshana Jr
Fair play
 
Kuna wale walio fanya yao Wakiwa Kambini...yaani siku moja kabla ya Mechi.

Tuanze na hawa kwanza....[emoji23][emoji23]

FB_IMG_1538285967136.jpg
FB_IMG_1538285970168.jpg
 
Umesahau msimu uliopita Mikia mlifanya hivyo hivyo kupiga mpira nje kufuata line ya nusu ya Uwanja?
 
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196] Huyo mganga waliompata kiboko
Unakumbuka huu mzigo?

Nasikia alitakiwa avae Kiunoni kocha Omog..

Akaona noma akampa Ndiaye avae kiunoni...[emoji23][emoji23]
images%20(1).jpeg
 
Back
Top Bottom