kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
CDM ikiweka mikakati thabiti 2025 kwenye uchaguzi mkuu, ikiwa pamoja na kupata mawakala wenye misimamo ccm haiwezi kutoboa.naunga mkono na hapa kijijini petu,CHADEMA imepata kitongoji na mwenyekiti wa kitongoji
Na,kitongoji hiki ndipo anaishi mwenyekiti wa kata ccm ,na katibu wa tawi wa ccm
CHADEMA imepata 89 ccm 85 ...nimesafiri Mimi mwenyewe kwa gharama zangu kuja kuwa wakala tu wa mgombea wa CHADEMA
Nimejifunza mengisana , nimewambia wanachadema nitaiandaa ripoti niwajuze yaliyokuwa yanatokea
Kwasababu mwisho wa uchaguzi huu ni mwanzo wa uchaguzi 2029....nimesharudi kijiweni kwangu aliyesema mabasi ya tembee usiku shikamoo yangu pokea hata ni hayati
Ili mnunuliwe muuze chama ati eeRafiki yangu Mbowe amefikia ukomo
Abakie Kuwa Mzee wa Kanisa tu [emoji3]
Moja ya changamoto nilizoshuhudiaCDM ikiweka mikakati thabiti 2025 kwenye uchaguzi mkuu, ikiwa pamoja na kupata mawakala wenye misimamo ccm haiwezi kutoboa.
Zipo faulo nyingi zilizochezwa jana ambazo mwakani wakidhibitiwa hawataweza kuzicheza.
Sasa tukusadieje mkuu,Napitia takwimu mbalimbali na ninachokiona kinanishangaza sana
Chadema wamefanya vizuri maeneo ya Vijijini tofauti na chaguzi zilizotangulia
ACT Wazalendo amejitahidi kidogo maeneo ya Mjini walau pale Tandika ambayo ndio DSM ya zamani wamepata Mtaa mmoja
Uchaguzi Mkuu wa 2020 Tundu Lisu alikubalika sana Vijijini hadi Jimbo la Nkasi Kaskazini alizawadiwa Jogoo na akapewa na mbunge kabisa Mh Aida
Chadema iitishe Baraza kuu la dharura Ni Yeye akabidhiwe mikoba na makamu wake awe Mnyika huku John Heche akiwa Katibu Mkuu
Hima hima wakati ni Mali
Mtanishukuru baadaye πΌπ
Bila wagombea wa Chadema kuenguliwa na bila wizi na kura za kwenye mabegi Chadema ineshinda kwa kishindo uchaguzi huu, CCM walilijua hili ndiyo wakampa mkwe wa Samia jukumu la kuvuruga huu uchaguzi.Wewe ni mlemavu wa namna gani? Ni kipofu au kiziwi? Pole sana kwa hayo matatizo.
Kama hujasimliwa, ufahamu kuwa maeneo karibia yote ambayo uchaguzi ulifanyika kwa uhuru, na kulikuwa na wagombea wa CHADEMA, wameshinda kuanzia nafasi ya mwenyekiti, vitongoji hadi wajumbe.
Mbowe bado yupo sana.Napitia takwimu mbalimbali na ninachokiona kinanishangaza sana
Chadema wamefanya vizuri maeneo ya Vijijini tofauti na chaguzi zilizotangulia
ACT Wazalendo amejitahidi kidogo maeneo ya Mjini walau pale Tandika ambayo ndio DSM ya zamani wamepata Mtaa mmoja
Uchaguzi Mkuu wa 2020 Tundu Lisu alikubalika sana Vijijini hadi Jimbo la Nkasi Kaskazini alizawadiwa Jogoo na akapewa na mbunge kabisa Mh Aida
Chadema iitishe Baraza kuu la dharura Ni Yeye akabidhiwe mikoba na makamu wake awe Mnyika huku John Heche akiwa Katibu Mkuu
Hima hima wakati ni Mali
Mtanishukuru baadaye πΌπ
CCM hawana akiliHahaha ccm akili zenu mbovu sana, yani mtu akitimiza majukumu yake kwenye nafasi yake, mnaitisha kikao cha dharura kumpandisha vyeo?
Mbona hamjaitisha kikao cha dharura kumtoa Samia uenyekiti wa ccm taifa apewe Dotto Biteko?
Yani mwanajeshi asiye na cheo akirudi toka vitani anakuwa Brigedia General?
hta mzikiri uchi, Mbowe is here to stay, tuna copy typist secretary, naye anadundaRafiki yangu Mbowe amefikia ukomo
Abakie Kuwa Mzee wa Kanisa tu π
Unaharibu. Mbowe na TL wote.wanajenga chama scha kuwafitinishaNapitia takwimu mbalimbali na ninachokiona kinanishangaza sana
Chadema wamefanya vizuri maeneo ya Vijijini tofauti na chaguzi zilizotangulia
ACT Wazalendo amejitahidi kidogo maeneo ya Mjini walau pale Tandika ambayo ndio DSM ya zamani wamepata Mtaa mmoja
Uchaguzi Mkuu wa 2020 Tundu Lisu alikubalika sana Vijijini hadi Jimbo la Nkasi Kaskazini alizawadiwa Jogoo na akapewa na mbunge kabisa Mh Aida
Chadema iitishe Baraza kuu la dharura Ni Yeye akabidhiwe mikoba na makamu wake awe Mnyika huku John Heche akiwa Katibu Mkuu
Hima hima wakati ni Mali
Mtanishukuru baadaye πΌπ
Wewe huwa unavihoja legelege, hakuna anayekuchukulia serious hapa jukwaani.Napitia takwimu mbalimbali na ninachokiona kinanishangaza sana
Chadema wamefanya vizuri maeneo ya Vijijini tofauti na chaguzi zilizotangulia
ACT Wazalendo amejitahidi kidogo maeneo ya Mjini walau pale Tandika ambayo ndio DSM ya zamani wamepata Mtaa mmoja
Uchaguzi Mkuu wa 2020 Tundu Lisu alikubalika sana Vijijini hadi Jimbo la Nkasi Kaskazini alizawadiwa Jogoo na akapewa na mbunge kabisa Mh Aida
Chadema iitishe Baraza kuu la dharura Ni Yeye akabidhiwe mikoba na makamu wake awe Mnyika huku John Heche akiwa Katibu Mkuu
Hima hima wakati ni Mali
Mtanishukuru baadaye πΌπ
Vijiji vya wapi? π€£π€£Napitia takwimu mbalimbali na ninachokiona kinanishangaza sana
Chadema wamefanya vizuri maeneo ya Vijijini tofauti na chaguzi zilizotangulia
ACT Wazalendo amejitahidi kidogo maeneo ya Mjini walau pale Tandika ambayo ndio DSM ya zamani wamepata Mtaa mmoja
Uchaguzi Mkuu wa 2020 Tundu Lisu alikubalika sana Vijijini hadi Jimbo la Nkasi Kaskazini alizawadiwa Jogoo na akapewa na mbunge kabisa Mh Aida
Chadema iitishe Baraza kuu la dharura Ni Yeye akabidhiwe mikoba na makamu wake awe Mnyika huku John Heche akiwa Katibu Mkuu
Hima hima wakati ni Mali
Mtanishukuru baadaye πΌπ
Unajidanganya Sana we mbumbumbuWewe ni mlemavu wa namna gani? Ni kipofu au kiziwi? Pole sana kwa hayo matatizo.
Kama hujasimliwa, ufahamu kuwa maeneo karibia yote ambayo uchaguzi ulifanyika kwa uhuru, na kulikuwa na wagombea wa CHADEMA, wameshinda kuanzia nafasi ya mwenyekiti, vitongoji hadi wajumbe.
Uliziona?Watashindaje wakati kura fake kibao zimeletwa na wasimamizi wenyewe au unajitoa ufahamu