kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
naunga mkono na hapa kijijini petu,CHADEMA imepata kitongoji na mwenyekiti wa kitongoji
Na,kitongoji hiki ndipo anaishi mwenyekiti wa kata ccm ,na katibu wa tawi wa ccm
CHADEMA imepata 89 ccm 85 ...nimesafiri Mimi mwenyewe kwa gharama zangu kuja kuwa wakala tu wa mgombea wa CHADEMA
Nimejifunza mengisana , nimewambia wanachadema nitaiandaa ripoti niwajuze yaliyokuwa yanatokea
Kwasababu mwisho wa uchaguzi huu ni mwanzo wa uchaguzi 2029....nimesharudi kijiweni kwangu aliyesema mabasi ya tembee usiku shikamoo yangu pokea hata ni hayati
Na,kitongoji hiki ndipo anaishi mwenyekiti wa kata ccm ,na katibu wa tawi wa ccm
CHADEMA imepata 89 ccm 85 ...nimesafiri Mimi mwenyewe kwa gharama zangu kuja kuwa wakala tu wa mgombea wa CHADEMA
Nimejifunza mengisana , nimewambia wanachadema nitaiandaa ripoti niwajuze yaliyokuwa yanatokea
Kwasababu mwisho wa uchaguzi huu ni mwanzo wa uchaguzi 2029....nimesharudi kijiweni kwangu aliyesema mabasi ya tembee usiku shikamoo yangu pokea hata ni hayati