Utazaa watoto matahira ndo utajua ukilema ni mipango ya muumba.Wewe ni mlemavu wa namna gani? Ni kipofu au kiziwi? Pole sana kwa hayo matatizo.
Kama hujasimliwa, ufahamu kuwa maeneo karibia yote ambayo uchaguzi ulifanyika kwa uhuru, na kulikuwa na wagombea wa CHADEMA, wameshinda kuanzia nafasi ya mwenyekiti, vitongoji hadi wajumbe.
Hapakuwepo uchaguzi bali ulikuwepo uchafuzi.Napitia takwimu mbalimbali na ninachokiona kinanishangaza sana
Chadema wamefanya vizuri maeneo ya Vijijini tofauti na chaguzi zilizotangulia
ACT Wazalendo amejitahidi kidogo maeneo ya Mjini walau pale Tandika ambayo ndio DSM ya zamani wamepata Mtaa mmoja
Uchaguzi Mkuu wa 2020 Tundu Lisu alikubalika sana Vijijini hadi Jimbo la Nkasi Kaskazini alizawadiwa Jogoo na akapewa na mbunge kabisa Mh Aida
Chadema iitishe Baraza kuu la dharura Ni Yeye akabidhiwe mikoba na makamu wake awe Mnyika huku John Heche akiwa Katibu Mkuu
Hima hima wakati ni Mali
Mtanishukuru baadaye 🐼😂
Nimecheka kijinga sanaUnavyowapangia safu ya uongozi Chadema utadhani wewe ni mkwe wa Mbowe.
Mkuu nimecheka kijinga sana , mpaka vijana wananishangaaWe UWT umetumwa? achana na mambo ya CHADEMA shughulika na mambo yenu ya UWT fuata nyao za Lucas Mwashambwa
Wafuasi wa chadema walikimbia na sanduku la Kura naona ili wamfurahishe supreme leaderWatashindaje wakati kura fake kibao zimeletwa na wasimamizi wenyewe au unajitoa ufahamu
Kwanini mkuu?Mkuu nimecheka kijinga sana , mpaka vijana wananishangaa
Spana zako ziko juu sana mkuuKwanini mkuu?
Pamoja mkuuSpana zako ziko juu sana mkuu
Mwakan hampati diwani hata mmoja, mpaka mseme aliyekula hela za join the chainWatashindaje wakati kura fake kibao zimeletwa na wasimamizi wenyewe au unajitoa ufahamu