Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa

Ndio kina nani hao,nimepitwa kidogo nilitoka kidogo kwa siku kadhaa kuelekea kuzimu
 
Na hizi kashfa za Diddy kutinda nyusi za marinda ya watafutao umaarufu zitakuwa zimemuacha salama lejendari wetu?😀
 
Hizi ndio akili za watanzania alafu baadae mnawapigia kelele CCM
mapenzi yako kwa Diamond yasikugeuze mbuni kuficha kichwa matakoni,
yaani unataka kuniambia hujui kinachoendelea kwenye media kuhusu P Diddy?
Labda useme kuwa nawe ni mdau hivyo kupididiana kwako si jambo lakushangaza hapo tutakuelewa
 
inasemekana Diddy alimtatua linda mtayarishaji wa muziki in exchange amsaidie kusinda tuzo Grammy, Mtayarishaji huyo hakuhinda tuzo akawa analalamika hana marinda.

Diddy kuulizwa akasema kuhusu suala hilo hawezi kukubali au kukataaa.


Hawa wasanii wanaojipeleka kwa Diddy wa kwanza Burna Boy, Diamond na wengine nabet watakuwa ni marindaless.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…