Aigle
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 1,540
- 7,973
Kama yapiPlatnamz ni miongoni mwa vijana wa kizazi hiki wanaofanya mambo makubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama yapiPlatnamz ni miongoni mwa vijana wa kizazi hiki wanaofanya mambo makubwa
Fafanua vzrVijana wajitahidi kutembelea makazi ya Ali msomali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inawezekana P didy alifukua kweli mtaro we si unaona rafiki zake Juma lokole na yule dizaina mchele mchele kmmk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]hatmaye mkeka umetiki aliliwa kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]inasemekana Diddy alimtatua linda mtayarishaji wa muziki in exchange amsaidie kusinda tuzo Grammy, Mtayarishaji huyo hakuhinda tuzo akawa analalamika hana marinda.
Diddy kuulizwa akasema kuhusu suala hilo hawezi kukubali au kukataaa.
Hawa wasanii wanaojipeleka kwa Diddy wa kwanza Burna Boy, Diamond na wengine nabet watakuwa ni marindaless.
Unataka kusema nini don't run around the bush be straight mkuu.Ndugu zangu mafanikio hayakufuati ukiwa umeketi nyumbani kwako, lahasha, ni lazima uyafuate tena kwa juhudi ya hali ya juu.
Star wa bongo fleva Diamond Platnumz ni miongoni mwa vijana wapambanaji, miezi kadhaa nyuma kijana huyu mpambnaji alifunga safari kwenda nchini Marekani, huku lengo kuu likiwa ni kuonana na star mkubwa duniani wa muziki wa kufoka foka.
Ikumbukwe P. Diddy ni miongo mwa wasanii wenye ushawishi mkubwa sana ndani ya nchi yake, achilia mbali utajiri alionao.
Kitendo cha Diamond Platinum kwenda kuonana nae nyumbani kwake hapo ndio milango zaidi ilifunguka kisha wasanii wakubwa kuanza kumfuatilia.
Kitendo cha Chris Brown kurekodi kipande cha wimbo wa Diamond na kukipost mtandaoni hakijaja kwa bahati mbaya, ni juhudi za Diamond kufunga safari kwenda nyumbani kwa P. Diddy. Waswahili wanasema safari moja huanzisha safari nyingine.
Hongera Diamond naamimi kuna remix ya Komasava ft Chris Brown.
Pia soma:
Mwenzako alifukuriwa mtaro na DiddyNdugu zangu mafanikio hayakufuati ukiwa umeketi nyumbani kwako, lahasha, ni lazima uyafuate tena kwa juhudi ya hali ya juu.
Star wa bongo fleva Diamond Platnumz ni miongoni mwa vijana wapambanaji, miezi kadhaa nyuma kijana huyu mpambnaji alifunga safari kwenda nchini Marekani, huku lengo kuu likiwa ni kuonana na star mkubwa duniani wa muziki wa kufoka foka.
Ikumbukwe P. Diddy ni miongo mwa wasanii wenye ushawishi mkubwa sana ndani ya nchi yake, achilia mbali utajiri alionao.
Kitendo cha Diamond Platinum kwenda kuonana nae nyumbani kwake hapo ndio milango zaidi ilifunguka kisha wasanii wakubwa kuanza kumfuatilia.
Kitendo cha Chris Brown kurekodi kipande cha wimbo wa Diamond na kukipost mtandaoni hakijaja kwa bahati mbaya, ni juhudi za Diamond kufunga safari kwenda nyumbani kwa P. Diddy. Waswahili wanasema safari moja huanzisha safari nyingine.
Hongera Diamond naamimi kuna remix ya Komasava ft Chris Brown.
Pia soma:
Misomisondo😀😀😀😀😀😀😀Huyo Chris brown anacheza kila wimbo anaoskia hata wa misomosondo alishacheza sembuse huyo !!
"..........milango zaidi ilifunguka.........."Ndugu zangu mafanikio hayakufuati ukiwa umeketi nyumbani kwako, lahasha, ni lazima uyafuate tena kwa juhudi ya hali ya juu.
Star wa bongo fleva Diamond Platnumz ni miongoni mwa vijana wapambanaji, miezi kadhaa nyuma kijana huyu mpambnaji alifunga safari kwenda nchini Marekani, huku lengo kuu likiwa ni kuonana na star mkubwa duniani wa muziki wa kufoka foka.
Ikumbukwe P. Diddy ni miongo mwa wasanii wenye ushawishi mkubwa sana ndani ya nchi yake, achilia mbali utajiri alionao.
Kitendo cha Diamond Platinum kwenda kuonana nae nyumbani kwake hapo ndio milango zaidi ilifunguka kisha wasanii wakubwa kuanza kumfuatilia.
Kitendo cha Chris Brown kurekodi kipande cha wimbo wa Diamond na kukipost mtandaoni hakijaja kwa bahati mbaya, ni juhudi za Diamond kufunga safari kwenda nyumbani kwa P. Diddy. Waswahili wanasema safari moja huanzisha safari nyingine.
Hongera Diamond naamimi kuna remix ya Komasava ft Chris Brown.
Pia soma:
Hana hamu mosndWe jamaa weee acha kabisa usije kuwaponza wasanii wetu, alichofanyiwa Rais wa Tandale na bwana yule inatosha mana masifa sifa sasa hivi mnashangaa Marioo huyo nae kwa Diddy kupewa" baraka" acheni hizo msiponze vijambio vya wasanii wetu jamani
Lazima akukule takoNi kweli ulichosema sema mafanilio hayakufuati, lakini kuyafuata pia inategemea unayafuata wapi,
P DIDY ana mambo ya hovyo akikualika kwake hutoki kama ulivyoingia
Khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lazima akukule tako
Ni kweliKhaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee em apiaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli