ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Ni kweli sio siriWee em apiaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli sio siriWee em apiaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe kaliwe na p Diddy ufanikiweKwa akili hiyo ulionayo wacha CCM waendelee kuwa madarakani
Kwa hio P Diddy kachangangia Komasava kujulikanaNdugu zangu mafanikio hayakufuati ukiwa umeketi nyumbani kwako, lahasha, ni lazima uyafuate tena kwa juhudi ya hali ya juu.
Star wa bongo fleva Diamond Platnumz ni miongoni mwa vijana wapambanaji, miezi kadhaa nyuma kijana huyu mpambnaji alifunga safari kwenda nchini Marekani, huku lengo kuu likiwa ni kuonana na star mkubwa duniani wa muziki wa kufoka foka.
Ikumbukwe P. Diddy ni miongo mwa wasanii wenye ushawishi mkubwa sana ndani ya nchi yake, achilia mbali utajiri alionao.
Kitendo cha Diamond Platinum kwenda kuonana nae nyumbani kwake hapo ndio milango zaidi ilifunguka kisha wasanii wakubwa kuanza kumfuatilia.
Kitendo cha Chris Brown kurekodi kipande cha wimbo wa Diamond na kukipost mtandaoni hakijaja kwa bahati mbaya, ni juhudi za Diamond kufunga safari kwenda nyumbani kwa P. Diddy. Waswahili wanasema safari moja huanzisha safari nyingine.
Hongera Diamond naamimi kuna remix ya Komasava ft Chris Brown.
Pia soma: