Wewe embu fanya vingine huku hupawezi.Sasa midogo hiyo? yeye akipata hiyo mitatu akija kustaafu ana staafu katika level nyingine kuwa mstaafu judge wa rufaa na judge kiongozi ni big different. Miaka mitatu mingi kwenye position hata miwili inatosha. mama wazi kakereka na hili personal sio kwa faida ya nchi
Kwahiyo wewe peke yako ndio ulikuwa chawa ila sio pro max?Hapana uko wrong nenda kwenye post zangu za wakati wa JPM labda 80% nilikuwa namshtumu sana na akifanya vizuri nilikuwa nampa sifa zake lakini sijawahi kukubali kuzuia mikutano wala sera zake za kiuchumi.
hilo ni fukuto la UNAFIKI hakuna ukweli juu ya kile alicho kiandika zaidi msukumo wa Jeuri, kiburi na unafiki mkubwa.Jaji ametimiza wajibu wake wa kikatiba wa checks and balances.
Kama hoja zake zina makosa, kosoa hoja zake, usikosoe yeye kutumia uhuru na wajibu wake wa kikatiba.
Wananchi pia wana haki ya kikatiba ya kujua mambo muhimu ya kuhusu nchi yao inavyoendeshwa. Jaji amewatendea haki wananchi kwa kuwatimizia haki yao ya kikatiba kwa kuweka uwazi katika jambo hili.
Tatizo letu mihimili haisimamiani. Haiwajibishani. Tunaweka hizi dhana kwenye maandishi kama urembo tu.
Spika Ndugai kasema nchi inauzwa, halafu badala ya kuisimamia kauli yake na kuibana serikali kuu, kajiuzulu. Huu ni udhaifu.
Tunataka kuona mihimili inawajibishana zaidi, ndiyo point ya kuwa na mihimili katika demokrasia.
Kama hutaki hilo, badilisha nchi iwe absolute monarchy.
Kuganyaga Katiba ya nchi kwako unaona ni utii uliotukuka?Kitendo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa cha kuandika barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu au Kukosoa Kitendo cha Rais kumuongezea Jaji Mkuu muda wa kuendelea kuwepo kwenye kiti ni kitendo cha ukosefu wa nidhamu kwa mamlaka zilizo juu yake.
Kutoa maoni ni haki ya kila raia lakini inategemea maoni unyatoa wapi na kwa njia gani, Jaji Mugasha alipaswa aishauri mamlaka kwa njia sahihi sio hii aliyo itumia.
tunafahamu kuwa Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa hivyo kwa nafasi yake ni kiongozi mkubwa tu ambaye yupo karibu na viongozi wa juu sasa kwa nini aliamua kuandika mabarua na kusambaza?!
kwahiyo lengo lake lilikuwa sio kujenga bali itatafsiriwa kuwa alilenga kubomoa na kudhalilisha mamlaka.
Jaji Stella Mugasha alikuwa nayo nafasi ya kumshauri hata Prof. Jaji Mkuu aliyepo kabla ya kusambaza mabarua yake.
Je? kulikuwa na haja ya kuandika baru kwa Mhe. Rais na kisha kutoa nakala kila ofisi ambazo zipo chini ya Rais?! Mugasha alikuwa na lengo gani?
wakati mwengine ukijifanya mjuaji sana unakuwa na Kiburi na dharau.
mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?
Pia soma: Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?
Kuna mambo mawili hapa.hilo ni fukuto la UNAFIKI hakuna ukweli juu ya kile alicho kiandika zaidi msukumo wa Jeuri, kiburi na unafiki mkubwa.
Mimi Pro pro huko ila hatasiku moja siwezi ku support chama hujui hata ni cha siasa au mazishi. Nyinyi mmeachiwa huku mitandaoni tu mitaani mmefyeka mikia nyumaKwahiyo wewe peke yako ndio ulikuwa chawa ila sio pro max?
Noted.
Jibu hoja nitaondoka humu siku nikisikia Jamii forum imegeuzwa jina na kuitwa Chadema forum. Eti Chadema washike dola ahhhh bora ya Zitto Kabwe na chama chakeWewe embu fanya vingine huku hupawezi.
umeeleweka kiranga.Kuna mambo mawili hapa.
Kuna mjadala kwamba jambo la kwamba kaandika tu si sahihi. Bila kujali alichoandika.
Kuna mjadala wa alichokiandika.
Haya ni mambo mawili na tofauti.
Naomba uyaelewe na uyatenganishe.
Mimi hata sijafika kwenye alichokiandika, naongelea kwamba kaandika.
Matumaini una uwezo wa kutofautisha mawili haya na kuchambua kwa nuance.
Watanzania wengi wana matatizo ya kufanya mazungumzo yenye nuance.
Natumaini wewe si mmoja wao.
Ondoa ujinga hapa sisi tukifanya kosa mnatupa adhabu kali kupitiliza nyie mkikosea mnataka mshauriwe sirini.nafasi yake ya kuwa Jaji ndio inamtaka awe na nidhamu pindi anapo taka kukosoa viongozi walio Juu yake.
alicho kifanya hakifai kwasababu yeye ni kiongozi
Hakuna kosa hapo,ikiwa ameongea kweli kuficha ficha mambo ndiyo huwa tunaingizwa mkenge kwenye baadhi ya mambo baadaye tunaanza lia lia hatujashirikishwa acha mh.jaji atoboe tuKitendo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa cha kuandika barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu au Kukosoa Kitendo cha Rais kumuongezea Jaji Mkuu muda wa kuendelea kuwepo kwenye kiti ni kitendo cha ukosefu wa nidhamu kwa mamlaka zilizo juu yake.
Kutoa maoni ni haki ya kila raia lakini inategemea maoni unyatoa wapi na kwa njia gani, Jaji Mugasha alipaswa aishauri mamlaka kwa njia sahihi sio hii aliyo itumia.
tunafahamu kuwa Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa hivyo kwa nafasi yake ni kiongozi mkubwa tu ambaye yupo karibu na viongozi wa juu sasa kwa nini aliamua kuandika mabarua na kusambaza?!
kwahiyo lengo lake lilikuwa sio kujenga bali itatafsiriwa kuwa alilenga kubomoa na kudhalilisha mamlaka.
Jaji Stella Mugasha alikuwa nayo nafasi ya kumshauri hata Prof. Jaji Mkuu aliyepo kabla ya kusambaza mabarua yake.
Je? kulikuwa na haja ya kuandika baru kwa Mhe. Rais na kisha kutoa nakala kila ofisi ambazo zipo chini ya Rais?! Mugasha alikuwa na lengo gani?
wakati mwengine ukijifanya mjuaji sana unakuwa na Kiburi na dharau.
mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?
Pia soma: Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?
tusubiri tuone kama alicho jaribu kukisema kama kina ukweliHakuna kosa hapo,ikiwa ameongea kweli kuficha ficha mambo ndiyo huwa tunaingizwa mkenge kwenye baadhi ya mambo baadaye tunaanza lia lia hatujashirikishwa acha mh.jaji atoboe tu
Mie kiongozi wangu ni Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.Mtoa mada utambue kuwa Jaji Mugasha Ni kiongozi wako!
Hautakiwi kumkosoa mtandaoni!
Yeye Ni mtumishi wa mahakama za Tanzania
Nenda ukamshauri huko!
Watanzania wengi ni watu wa team this or team that, one track minded, no nuance.umeeleweka kiranga.
hata mimi nimepata kazi kubwa sana kutoa ufafanuzi juu ya bandiko langu, wengi wao hawakuelewa kwa haraka nilicho kuwa nimemaanisha.
We akili huna,mamlaka zilizojuu ni wananchi kwa ujumla wao,Kitendo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa cha kuandika barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu au Kukosoa Kitendo cha Rais kumuongezea Jaji Mkuu muda wa kuendelea kuwepo kwenye kiti ni kitendo cha ukosefu wa nidhamu kwa mamlaka zilizo juu yake.
Kutoa maoni ni haki ya kila raia lakini inategemea maoni unyatoa wapi na kwa njia gani, Jaji Mugasha alipaswa aishauri mamlaka kwa njia sahihi sio hii aliyo itumia.
tunafahamu kuwa Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa hivyo kwa nafasi yake ni kiongozi mkubwa tu ambaye yupo karibu na viongozi wa juu sasa kwa nini aliamua kuandika mabarua na kusambaza?!
kwahiyo lengo lake lilikuwa sio kujenga bali itatafsiriwa kuwa alilenga kubomoa na kudhalilisha mamlaka.
Jaji Stella Mugasha alikuwa nayo nafasi ya kumshauri hata Prof. Jaji Mkuu aliyepo kabla ya kusambaza mabarua yake.
Je? kulikuwa na haja ya kuandika baru kwa Mhe. Rais na kisha kutoa nakala kila ofisi ambazo zipo chini ya Rais?! Mugasha alikuwa na lengo gani?
wakati mwengine ukijifanya mjuaji sana unakuwa na Kiburi na dharau.
mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?
Pia soma: Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?