Kitendo cha Jaji Mugasha kukosoa mamlaka hadharani ni utovu wa nidhamu, sio ushujaa

Kitendo cha Jaji Mugasha kukosoa mamlaka hadharani ni utovu wa nidhamu, sio ushujaa

Kitendo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa cha kuandika barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu au Kukosoa Kitendo cha Rais kumuongezea Jaji Mkuu muda wa kuendelea kuwepo kwenye kiti ni kitendo cha ukosefu wa nidhamu kwa mamlaka zilizo juu yake.

Kutoa maoni ni haki ya kila raia lakini inategemea maoni unyatoa wapi na kwa njia gani, Jaji Mugasha alipaswa aishauri mamlaka kwa njia sahihi sio hii aliyo itumia.

tunafahamu kuwa Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa hivyo kwa nafasi yake ni kiongozi mkubwa tu ambaye yupo karibu na viongozi wa juu sasa kwa nini aliamua kuandika mabarua na kusambaza?!

kwahiyo lengo lake lilikuwa sio kujenga bali itatafsiriwa kuwa alilenga kubomoa na kudhalilisha mamlaka.

Jaji Stella Mugasha alikuwa nayo nafasi ya kumshauri hata Prof. Jaji Mkuu aliyepo kabla ya kusambaza mabarua yake.

Je? kulikuwa na haja ya kuandika baru kwa Mhe. Rais na kisha kutoa nakala kila ofisi ambazo zipo chini ya Rais?! Mugasha alikuwa na lengo gani?

wakati mwengine ukijifanya mjuaji sana unakuwa na Kiburi na dharau.

mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?


Pia soma: Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?
Ila mkuu., huyo mama naamini ana akili timamu. Mpaka kufanya hivyo ujue kuna mengi yaliyojificha nyuma ya pazia., hii Nchi unafiki na ubinafsi ni mwingi sana, usilaum saana kwa usichokijuwa,
 
nafasi yake ya kuwa Jaji ndio inamtaka awe na nidhamu pindi anapo taka kukosoa viongozi walio Juu yake.
alicho kifanya hakifai kwasababu yeye ni kiongozi
Kwa sas hakuna makando kando, maana mtu anaiba hapa anahamishiwa pale, mahakama hata haina meno kwa mtawala., wakati huo huo unaaminishwa eti kuna mihimili mitatu, na kila mhimili unajisimamia. Lakini leo hii unakuta mhimili sirikali unaibaka mihimili mingine, so sad.
 
mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?

je? huyo Jaji hakuwa na nafasi ya kuishauri mamlaka kwa njia nyingine? je alishindwa kukutana na Jaji Mkuu aliye ongezewa muda na kumshauri? hadi akaamua kuandika mabarua na kuyasambaza?

Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?
Thibitisha kama ameisambaza kwenye mitandao
 
Kitendo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa cha kuandika barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu au Kukosoa Kitendo cha Rais kumuongezea Jaji Mkuu muda wa kuendelea kuwepo kwenye kiti ni kitendo cha ukosefu wa nidhamu kwa mamlaka zilizo juu yake.

Kutoa maoni ni haki ya kila raia lakini inategemea maoni unyatoa wapi na kwa njia gani, Jaji Mugasha alipaswa aishauri mamlaka kwa njia sahihi sio hii aliyo itumia.

tunafahamu kuwa Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa hivyo kwa nafasi yake ni kiongozi mkubwa tu ambaye yupo karibu na viongozi wa juu sasa kwa nini aliamua kuandika mabarua na kusambaza?!

kwahiyo lengo lake lilikuwa sio kujenga bali itatafsiriwa kuwa alilenga kubomoa na kudhalilisha mamlaka.

Jaji Stella Mugasha alikuwa nayo nafasi ya kumshauri hata Prof. Jaji Mkuu aliyepo kabla ya kusambaza mabarua yake.

Je? kulikuwa na haja ya kuandika baru kwa Mhe. Rais na kisha kutoa nakala kila ofisi ambazo zipo chini ya Rais?! Mugasha alikuwa na lengo gani?

wakati mwengine ukijifanya mjuaji sana unakuwa na Kiburi na dharau.

mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?


Pia soma: Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?
Kuna kitu hukijui. Kaa kwa kutulia.
 
Kwa sas hakuna makando kando, maana mtu anaiba hapa anahamishiwa pale, mahakama hata haina meno kwa mtawala., wakati huo huo unaaminishwa eti kuna mihimili mitatu, na kila mhimili unajisimamia. Lakini leo hii unakuta mhimili sirikali unaibaka mihimili mingine, so sad.
kuwa Mhimili unao jitegemea haimaanisha kila mmoja anakurupuka nakuanza kupandisha mabega juu na kujifanya mjuaji
 
ujuwaji mwingi ni ujinga ndio unawaponza.
wapo wanao jua zaidi yake lkn wanatumia busara zaidi kuliko Kiburi na madharau.
Mh kama chuki imekujaa kwa mh. Stella, yaani kama unahistoria ya kuwa na bifu nae... Maana barua yake hainyeshi hiyo chuki wala dharau... Bwana we usituletee hila zako, mh. Kaweka wazi maana keshajua uongozi unamadudu... Mwendo ndio huu sasa hivi fanyeni madudu wazalendo wanamwaga Michele.... Mtakoma hadi mjaze watu wenu serikali watakao Linda maslahi yenu.. Sio leo... Go Mh. STELA sisi tunakua heko madame😁😁🙏
 
Kitendo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa cha kuandika barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu au Kukosoa Kitendo cha Rais kumuongezea Jaji Mkuu muda wa kuendelea kuwepo kwenye kiti ni kitendo cha ukosefu wa nidhamu kwa mamlaka zilizo juu yake.

Kutoa maoni ni haki ya kila raia lakini inategemea maoni unyatoa wapi na kwa njia gani, Jaji Mugasha alipaswa aishauri mamlaka kwa njia sahihi sio hii aliyo itumia.

tunafahamu kuwa Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa hivyo kwa nafasi yake ni kiongozi mkubwa tu ambaye yupo karibu na viongozi wa juu sasa kwa nini aliamua kuandika mabarua na kusambaza?!

kwahiyo lengo lake lilikuwa sio kujenga bali itatafsiriwa kuwa alilenga kubomoa na kudhalilisha mamlaka.

Jaji Stella Mugasha alikuwa nayo nafasi ya kumshauri hata Prof. Jaji Mkuu aliyepo kabla ya kusambaza mabarua yake.

Je? kulikuwa na haja ya kuandika baru kwa Mhe. Rais na kisha kutoa nakala kila ofisi ambazo zipo chini ya Rais?! Mugasha alikuwa na lengo gani?

wakati mwengine ukijifanya mjuaji sana unakuwa na Kiburi na dharau.

mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?


Pia soma: Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?
ww mwenyew umesema ni mkulima hujui mambo ya sheria so kinachokuwasha ni nn?

Huyu ni jaji mtaalam was Sheria anazungumzia sheria iilvokiukwa ni vema ungetulia km hujui kitu sio Kila jambo ......
 
ww mwenyew umesema ni mkulima hujui mambo ya sheria so kinachokuwasha ni nn?

Huyu ni jaji mtaalam was Sheria anazungumzia sheria iilvokiukwa ni vema ungetulia km hujui kitu sio Kila jambo ......
hata kama mm ni Mkulima haimaanishi kuwa eti siwezi kuona makosa ya wazi yanayo fanywa na viongozi, hata kama sina utaalamu wa sheria lkn naweza kuona na kubaini ukwiukwaji wa utaratibu kwa tabia ya jeuri na dharau.

nilicho kizungumzia hapo juu sio sheria bali nimezungumzia juu ya nidhamu na ukwiukwaji wa utaratibu zilizo fanywa na Jaji
 
Kuna kitu hukijui. Kaa kwa kutulia.
unajua ukiwa mnafiki wa viwango vya juu, tambua iko siku mungu atakuumbua tu bila wewe kujua unacho kifanya kitakuwa na madhara au la.
Rais wetu ni mtu muungwana sana ila kuna baadhi ya viongozi wanataka kutumia uungwana wake kama udhaifu wa kumpelekesha!! lakini hawajui, kamwe usijaribu kumchezea mtu muungwana, au usijifanye mjuaji sana mbele ya mtu muungwana ukadhani hajui kitu!! utaadhirika bila kujua.
 
Mama jaji alijuwa cheo chake kisha jiandaa mara pap mtu kaongezewa muda kwanini asiumie roho na kishatangazia ndugu zake Kagera zamu inakuja kaona watu wamepiga bypass. Nchi kuna watu aina mbili tu wale wanaocheza na walioko benchi. wanaotukana wako benchi wanaocheza kimyaa lakini hakuna mtu msafi ni ile hali tu nacheza au niko reserve basi sasa reserve bado ana hope ataingiza kuna watu wameachwa kwenye usajili hao sasa ndio kelele. Ndio maana nchi hii hutawahi kusikia mtu kateuliwa akakataa, Dr Slaa tu ubalozi tu alipewa aka switch 100% leo kaachwa kwenye usajili kelele na sio yeye tu ni sisi sote tabia zetu zinafanana.
 
unajua ukiwa mnafiki wa viwango vya juu, tambua iko siku mungu atakuumbua tu bila wewe kujua unacho kifanya kitakuwa na madhara au la.
Rais wetu ni mtu muungwana sana ila kuna baadhi ya viongozi wanataka kutumia uungwana wake kama udhaifu wa kumpelekesha!! lakini hawajui, kamwe usijaribu kumchezea mtu muungwana, au usijifanye mjuaji sana mbele ya mtu muungwana ukadhani hajui kitu!! utaadhirika bila kujua.
Yani cha ajabu hawa wote walikuwepo kipindi kile ila sasahivi ndio midomo mirefu inawatoka kisa tu mama wa watu muungwana
 
Kitendo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa cha kuandika barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu au Kukosoa Kitendo cha Rais kumuongezea Jaji Mkuu muda wa kuendelea kuwepo kwenye kiti ni kitendo cha ukosefu wa nidhamu kwa mamlaka zilizo juu yake.

Kutoa maoni ni haki ya kila raia lakini inategemea maoni unyatoa wapi na kwa njia gani, Jaji Mugasha alipaswa aishauri mamlaka kwa njia sahihi sio hii aliyo itumia.

tunafahamu kuwa Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa hivyo kwa nafasi yake ni kiongozi mkubwa tu ambaye yupo karibu na viongozi wa juu sasa kwa nini aliamua kuandika mabarua na kusambaza?!

kwahiyo lengo lake lilikuwa sio kujenga bali itatafsiriwa kuwa alilenga kubomoa na kudhalilisha mamlaka.

Jaji Stella Mugasha alikuwa nayo nafasi ya kumshauri hata Prof. Jaji Mkuu aliyepo kabla ya kusambaza mabarua yake.

Je? kulikuwa na haja ya kuandika baru kwa Mhe. Rais na kisha kutoa nakala kila ofisi ambazo zipo chini ya Rais?! Mugasha alikuwa na lengo gani?

wakati mwengine ukijifanya mjuaji sana unakuwa na Kiburi na dharau.

mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?


Pia soma: Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?
Chawa ndio pekee mna haki ya kutoka hadharani na kusifia?
 
Mama jaji alijuwa cheo chake kisha jiandaa mara pap mtu kaongezewa muda kwanini asiumie roho na kishatangazia ndugu zake Kagera zamu inakuja kaona watu wamepiga bypass. Nchi kuna watu aina mbili tu wale wanaocheza na walioko benchi. wanaotukana wako benchi wanaocheza kimyaa lakini hakuna mtu msafi ni ile hali tu nacheza au niko reserve basi sasa reserve bado ana hope ataingiza kuna watu wameachwa kwenye usajili hao sasa ndio kelele. Ndio maana nchi hii hutawahi kusikia mtu kateuliwa akakataa, Dr Slaa tu ubalozi tu alipewa aka switch 100% leo kaachwa kwenye usajili kelele na sio yeye tu ni sisi sote tabia zetu zinafanana.
Mbona Sinare aliteuliwa ubalozi aka kataa?
Chawa mmeshazoea uchawa akili mgando.
Huyo mama kwa umri wake asingetueliwa hiyo nafasi, na ametumia haki yake kikatiba kukumbusha kuwa katiba imevunjwa.
Hivi una fahamu kuwa hoja za Fatuma Karume zilikua na mashiko kuhusu A.G ila alikosea kuzi wasilisha?
Je ulitegemea kuna chawa yeyote ukiwemo wewe ange challenge uteuzi ule wa A.G?

Kenge bluu wewe.
 
Back
Top Bottom