Kitendo cha Jaji Mugasha kukosoa mamlaka hadharani ni utovu wa nidhamu, sio ushujaa

Kitendo cha Jaji Mugasha kukosoa mamlaka hadharani ni utovu wa nidhamu, sio ushujaa

Usichokijua ni kuwa MAJAJI wana viapo vya kuilinda na kuitetea katiba ya nchi.....

Mh.Jaji Mugasha yuko sahihi.....

Hii inatoa picha kuwa Rais tuliyenaye ni mwanademokrasia haswa.....

Majaji wanalijua hilo....

Jaji Mugasha analijua hilo.....

#SiempreJMT[emoji120]
#SiempreSSH[emoji2956]
 
Kitendo alichofanya Jaji ni cha kijasiri na kizuri mno bravo, tunahitaji vichwa kama hiki kututoa tulikokwama, hbr ya nani kasambaza hiyo wanajua wao katoa dukuduku lake na msg sent clear n loud
 
Akimsifu hadharani ni sawa lakini akimkosoa ni tatizo?Jaribu kufikiri zaidi ya hapo.
Rais wetu ni mtu muungwana sana, na yeye mwenye alisha tamka kuwa yuko tayari kukosolewa kwa njia ya staha.
lakini kwenye jambo hili tatizo sio kukosoa au kutoa kushauri bali njia iliyo tumika kutoa ushauri ndio tatizo.
 
Nchi inaongozwa kidemokrasia....

Rais SSH ni mwanademokrasia haswa[emoji2956]

Majaji wanalijua hilo....

Kinyume na hicho ,Jaji Mugasha asingeweza kutupa msimamo wake wa kitaaluma[emoji120]

#SiempreJMT[emoji120]
 
Sidhani kama ni akili kwa mazingira yetu haya nacho ona anacheza na mazingira ya sasa kwamba Rais ni Mwanamke afu Mzanzibar na tena Muislam ni kama kuna ka wivu hivi

Pia issue ya Bandari watu wameanza ku test kina cha Rais na kwa hasa hoja kama hizo tatu juu, lkn hana sijui akili au nini ni kuona tu atafanywaje? Maana sidhani kama kipindi cha Jiwe kama angethubutu kuonyesha huo ujuaji kwa kutoa kwa changamoto kwa kiti cha Urais

Ndo unaona wana nyanyuka hata kina Tibaijuka kusema wee wakati aliisha kuwa na madudu ya kila aina toka UN mpaka wizarani hapa achia mbali mambo ya Escrow Acc
Hata jiwe alikuwa anasemwa hasa na wapinzani wake wa kisiasa.
Mliomuogopa jiwe poleni sana sasa zungumzeni hayupo tena.
 
angeanza kusema na kiongozi wake wa Mhimili sio kusambaza mabarua kila kona!!!
Mkuu unajuaje kama hakushauri? Ndio maana alipo ona ushauri wake umepuuzwa ndipo akaamya kuweka ushauri wake katika maandishi kama kumbukumbu! Sasa Wewe Mkulima mwenzangu unajua mambo ya kumbukumbu katika Ofisi za Serikali
 
Barua ni ya kwake hakuna tatizo.
Nikuulize wewe umeisoma? Nakala zinaenda kwa nani? Halafu wewe ndio utuambie umeipataje wakati mwandishi hajakupa nakala wala kukuadress wewe.
Kwa maneno mengine jiepushe na uchawa usio na maana. Kitendo cha Mugasha kuandika barua na baadae ukaisoma wewe wakati barua haikulengi jua kwamba serikali yako na mamlaka zake ni dhaifu sana ktk suala la usiri na utunzaji nyaraka za siri.
Mkuu huyu mtu ni wa ajabu sana; anasema yeye ni Mkulima lakini hapa anashupaza shingo kujifanya anajua kazi za mihimili ya dola. Aidha anajua mambo ya siri sana, siri na ya kawaida ya mawasiliano ya Serikali. Ndugu Mkulima weka hapa nakala ya hiyo barua tuione ili tuielewe vizuri
 
Kitendo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa cha kuandika barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu au Kukosoa Kitendo cha Rais kumuongezea Jaji Mkuu muda wa kuendelea kuwepo kwenye kiti ni kitendo cha ukosefu wa nidhamu kwa mamlaka zilizo juu yake.

Kutoa maoni ni haki ya kila raia lakini inategemea maoni unyatoa wapi na kwa njia gani, Jaji Mugasha alipaswa aishauri mamlaka kwa njia sahihi sio hii aliyo itumia.

tunafahamu kuwa Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa hivyo kwa nafasi yake ni kiongozi mkubwa tu ambaye yupo karibu na viongozi wa juu sasa kwa nini aliamua kuandika mabarua na kusambaza?!

kwahiyo lengo lake lilikuwa sio kujenga bali itatafsiriwa kuwa alilenga kubomoa na kudhalilisha mamlaka.

Jaji Stella Mugasha alikuwa nayo nafasi ya kumshauri hata Prof. Jaji Mkuu aliyepo kabla ya kusambaza mabarua yake.

Je? kulikuwa na haja ya kuandika baru kwa Mhe. Rais na kisha kutoa nakala kila ofisi ambazo zipo chini ya Rais?! Mugasha alikuwa na lengo gani?

wakati mwengine ukijifanya mjuaji sana unakuwa na Kiburi na dharau.

mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?


Pia soma: Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?
Hakuna utovu wa nidhamu kusema makosa ya mtawala hadharani...

Wewe ulitaka asemee makosa haya gizani mafichoni? Huo ndo ungekuwa utovu wa nidhamu Kwa 100% bila shaka..!!

By the way, utovu mkubwa wa nidhamu ni ule wa Rais Samia Suluhu Hassan na Wazanzibari wenzake kuamua kuuza bandari za bahari na maziwa makuu ya Tanganyika kwa waarabu wa DP World - Dubai hadharani mchana kweupe!

Huu ndo utovu nidhamu na kutudharau Watanganyika...
 
Kitendo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa cha kuandika barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu au Kukosoa Kitendo cha Rais kumuongezea Jaji Mkuu muda wa kuendelea kuwepo kwenye kiti ni kitendo cha ukosefu wa nidhamu kwa mamlaka zilizo juu yake.

Kutoa maoni ni haki ya kila raia lakini inategemea maoni unyatoa wapi na kwa njia gani, Jaji Mugasha alipaswa aishauri mamlaka kwa njia sahihi sio hii aliyo itumia.

tunafahamu kuwa Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa hivyo kwa nafasi yake ni kiongozi mkubwa tu ambaye yupo karibu na viongozi wa juu sasa kwa nini aliamua kuandika mabarua na kusambaza?!

kwahiyo lengo lake lilikuwa sio kujenga bali itatafsiriwa kuwa alilenga kubomoa na kudhalilisha mamlaka.

Jaji Stella Mugasha alikuwa nayo nafasi ya kumshauri hata Prof. Jaji Mkuu aliyepo kabla ya kusambaza mabarua yake.

Je? kulikuwa na haja ya kuandika baru kwa Mhe. Rais na kisha kutoa nakala kila ofisi ambazo zipo chini ya Rais?! Mugasha alikuwa na lengo gani?

wakati mwengine ukijifanya mjuaji sana unakuwa na Kiburi na dharau.

mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?


Pia soma: Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?
Muondoeni kwenye nafasi yake kama mmechukia.
 
Mkuu huyu mtu ni wa ajabu sana; anasema yeye ni Mkulima lakini hapa anashupaza shingo kujifanya anajua kazi za mihimili ya dola. Aidha anajua mambo ya siri sana, siri na ya kawaida ya mawasiliano ya Serikali. Ndugu Mkulima weka hapa nakala ya hiyo barua tuione ili tuielewe vizuri
Mimi Mkulima nipo ipalamwa, nimeiona barua Ya Jaji Mugasha ikionyeshwa kwenye kipindi cha 360 clouds tv tarehe 28/6/2023 saa mbili asubuhi leo.
hakuna siri barua hiyo iko kwenye vyombo vyote vya habari na mitandao ya kijamii.

barua hiyo imesambazwa kila kona, hakuna siri.
 
mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?

je? huyo Jaji hakuwa na nafasi ya kuishauri mamlaka kwa njia nyingine? je alishindwa kukutana na Jaji Mkuu aliye ongezewa muda na kumshauri? hadi akaamua kuandika mabarua na kuyasambaza?

Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?
Je kufanya hivyo ni kosa kisheria?
 
Kitendo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa cha kuandika barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu au Kukosoa Kitendo cha Rais kumuongezea Jaji Mkuu muda wa kuendelea kuwepo kwenye kiti ni kitendo cha ukosefu wa nidhamu kwa mamlaka zilizo juu yake.

Kutoa maoni ni haki ya kila raia lakini inategemea maoni unyatoa wapi na kwa njia gani, Jaji Mugasha alipaswa aishauri mamlaka kwa njia sahihi sio hii aliyo itumia.

tunafahamu kuwa Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa hivyo kwa nafasi yake ni kiongozi mkubwa tu ambaye yupo karibu na viongozi wa juu sasa kwa nini aliamua kuandika mabarua na kusambaza?!

kwahiyo lengo lake lilikuwa sio kujenga bali itatafsiriwa kuwa alilenga kubomoa na kudhalilisha mamlaka.

Jaji Stella Mugasha alikuwa nayo nafasi ya kumshauri hata Prof. Jaji Mkuu aliyepo kabla ya kusambaza mabarua yake.

Je? kulikuwa na haja ya kuandika baru kwa Mhe. Rais na kisha kutoa nakala kila ofisi ambazo zipo chini ya Rais?! Mugasha alikuwa na lengo gani?

wakati mwengine ukijifanya mjuaji sana unakuwa na Kiburi na dharau.

mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?


Pia soma: Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?
Honestly jaji mugasha kazingua kuna njia nyingi za kufikisha ujumbe wake siyo ile aliyoitumia ambayo imelenga kudhalilisha muhimili na kudhalilisha mamlaka ya uteuzi
 
Back
Top Bottom