Kitendo cha jana uwanja wa Taifa kujaa kupita uwezo wake ni Hatari

Kitendo cha jana uwanja wa Taifa kujaa kupita uwezo wake ni Hatari

maisha ni hesabu

ili urudishe gharama za vinywaji vya nusu bei,lazima uwe na plan B

Mungu Ibariki Tanzania
 
Mechi ya jana wangeweka nje ya uwanja giant screen ili wale ambao hawakubahatika kuingia ndani ya uwanja wapate fursa ya kuangalia mechi live kupitia hiyo giant screen,pia ingepunguza ile fujo ya hata waliochelewa kutaka kuingia huku uwanja ukiwa umeshajaa.

Wazo zuri lakini wahuni wangeipiga mawe baada ya kukosa nafasi ndani ya uwanja!
 
Watu wa JF mimi siwaelewagi, kuna watu walibeza sana ujenzi wa uwanja wa mpira pale Dodoma ambao utakua na uwezo wa kuchukua watu 85 elfu, waliongea mengi kupita kiasi kwamba serikali inapoteza pesa ya nchi kwa kujenga uwanja mkubwa namna hio ambao hata watu watakua hawajai, sasa mmeuona mfano wa jana? Tunatakiwa tuwe tunaona mbali tusibeze kila jambo jema ambalo serikali inataka kulifanya.
 
J
Watu wa JF mimi siwaelewagi, kuna watu walibeza sana ujenzi wa uwanja wa mpira pale Dodoma ambao utakua na uwezo wa kuchukua watu 85 elfu, waliongea mengi kupita kiasi kwamba serikali inapoteza pesa ya nchi kwa kujenga uwanja mkubwa namna hio ambao hata watu watakua hawajai, sasa mmeuona mfano wa jana? Tunatakiwa tuwe tunaona mbali tusibeze kila jambo jema ambalo serikali inataka kulifanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom