Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wacha weeeeee!Sisi wazalendo wanyonge hayatuhusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeeeee!Sisi wazalendo wanyonge hayatuhusu
HeeeeUnapopewa mamlaka makubwa lakini husikilizwi au kupewa heshima yako na watu wa chini yako, hayo mamlaka hayana maana yoyote kwako.
Makonda aliisha Ibaka nafasi ya katibu mkuuUnapopewa mamlaka makubwa lakini husikilizwi au kupewa heshima yako na watu wa chini yako, hayo mamlaka hayana maana yoyote kwako.
Chongolo ametuonyesha njia.Kwa uchache Sana,
Hii si Hali ya kawaida mwenyekiti jitathmini kama unafaa kuwatumikia Watanzania au haufai. Kwangu Mimi haufai.
Fikiria tu huyu ni katibu mkuu wa chama kaandamwa na skendo za namna hii Hadi anaamua kuachia ngazi. Vipi kuhusu mawaziri na watendaji wengine wenye mamlaka ya kikatiba? Hao si balaa tupu.
Mpaka haya yanat okea ni kweli wewe ulikuwa hujui pamoja na kwamba unazungukwa na vyombo vya kila aina . Watu wa aina hii ya katibu mkuu wapo wengi mno na unawaangali tu.
Huna muda kabisa. Watanzania wanalia kila mara kuhusu changamoto lukuki lakini umewaatamia watu wa namna hii mpaka wenyewe wanaona aibu na kuamua kuachia ngazi.
Sawa lakini nature itaamua kwa muda sahihi. Ngoja niishie hapa
Team martin luther inasambaratishwa, walianza mapema mno 😂😂😂🔥Mipango inasukwa kwa 2025
kwa kuwa Chongolo anatokea DSTV hana shida anaendelea na majukumu yake mwingine kama Msaidizi wa Amiri jeshi
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Ahsante 👏🏿. Umemaliza.Ccm inamiliki Tanzania yote ikiwemo vyombo vyote vya ulinzi na usalama bila kusahau tume ya uchaguzi.
Ccm huwa ni mshindi hata kabla ya kupigwa kura iwe raia wapende au wasipende.
Sasa hiyo mipango ni ya nini tena?...au wanahalalisha tu posho za vikao?
Upo sawaUnapopewa mamlaka makubwa lakini husikilizwi au kupewa heshima yako na watu wa chini yako, hayo mamlaka hayana maana yoyote kwako.
Ana skendo gani mkuuKwa uchache Sana,
Hii si Hali ya kawaida mwenyekiti jitathmini kama unafaa kuwatumikia Watanzania au haufai. Kwangu Mimi haufai.
Fikiria tu huyu ni katibu mkuu wa chama kaandamwa na skendo za namna hii Hadi anaamua kuachia ngazi. Vipi kuhusu mawaziri na watendaji wengine wenye mamlaka ya kikatiba? Hao si balaa tupu.
Mpaka haya yanat okea ni kweli wewe ulikuwa hujui pamoja na kwamba unazungukwa na vyombo vya kila aina . Watu wa aina hii ya katibu mkuu wapo wengi mno na unawaangali tu.
Huna muda kabisa. Watanzania wanalia kila mara kuhusu changamoto lukuki lakini umewaatamia watu wa namna hii mpaka wenyewe wanaona aibu na kuamua kuachia ngazi.
Sawa lakini nature itaamua kwa muda sahihi. Ngoja niishie hapa
Mtajuana wenyewe eti. Sisi wengine siku ikipita, tunashukuru.
Team martin luther inasambaratishwa, walianza mapema mno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji91]
Sasa hapo ndio inaprove niniChati zake na kimada wake zimevuja ,,katibu kamtumia dushe lake kimada[emoji23][emoji23]View attachment 2829124View attachment 2829125View attachment 2829126View attachment 2829127View attachment 2829129View attachment 2829128View attachment 2829130
Chati zake na kimada wake zimevuja ,,katibu kamtumia dushe lake kimada[emoji23][emoji23]View attachment 2829124View attachment 2829125View attachment 2829126View attachment 2829127View attachment 2829129View attachment 2829128View attachment 2829130
Mbona unamhukumu mtu bila ushahidi.Kwa nini usiamini kuwa Kuna watu wameamua kutengeneza vitu ili kuharibu sifa ya Chongolo? Kwa nini usiamini kuwa hizi ni siasa tu?. Why now? Watu wengine wanahoja kwa nini baadae ya aliyekuwa RC kupewa cheo na haya yanatokea ukingatia uhusiano mbovu wa Hawa wawili toka kipindi Cha nyuma? Hayo yanahitaji kuwa prove to the contrary ili kutoa hukumu.Who is to benefit from this amputated incident.Kwa uchache Sana,
Hii si Hali ya kawaida mwenyekiti jitathmini kama unafaa kuwatumikia Watanzania au haufai. Kwangu Mimi haufai.
Fikiria tu huyu ni katibu mkuu wa chama kaandamwa na skendo za namna hii Hadi anaamua kuachia ngazi. Vipi kuhusu mawaziri na watendaji wengine wenye mamlaka ya kikatiba? Hao si balaa tupu.
Mpaka haya yanat okea ni kweli wewe ulikuwa hujui pamoja na kwamba unazungukwa na vyombo vya kila aina . Watu wa aina hii ya katibu mkuu wapo wengi mno na unawaangali tu.
Huna muda kabisa. Watanzania wanalia kila mara kuhusu changamoto lukuki lakini umewaatamia watu wa namna hii mpaka wenyewe wanaona aibu na kuamua kuachia ngazi.
Sawa lakini nature itaamua kwa muda sahihi. Ngoja niishie hapa
Hamna kitu paleMaza hana ushawishi wowote kwenye chama hata serikalini anabebwa na katiba mbovu pekee
Huyu ana post msg za matusi....apelekwe Polisi akajibu CyberChati zake na kimada wake zimevuja ,,katibu kamtumia dushe lake kimada[emoji23][emoji23]View attachment 2829124View attachment 2829125View attachment 2829126View attachment 2829127View attachment 2829129View attachment 2829128View attachment 2829130
Pale tulipigwa haswaHamna kitu pale