Nilisoma kwenye gazeti kwamba mkuu wetu hawezi kuuwa mtu hata waliohukumiwa kunyongwa. Tujue mpaka mtu ahukumiwe kunyogwa ni kwamba aliuwa binadamu mwingine au wengine. Kama ni kwa sababu ya dini basi upendo huo na katazo hilo basi lisingeishia kwenye wafugwa.
Kitendo cha Lissu kupigwa risasi na wanasema kwa maamuzi ya hao hao wanasema eti hawawezi kuwauwa wauaji! ni unafiki na kutafuta kupendwa kinafiki. Lakini ni unafiki hata kwa Mungu na Watanzania wanajua hilo. Wakati wa Mwinyi kuna wafugwa walinyogwa haina maana Mwinyi alikuwa hana upendo lakini alifuata maagizo ya mahakama na kuwatendea haki washitaki kama nafasi yake inavyo ruhusu. Lakini Mwinyi mzee mwenye upendo hajawahi kumpiga mwanasiasa, kuweka jela wala kutoa maagizo ya kumpiga mtu risasi kwasababu ni mashuhuri kuliko yeye!
Hivyo tusidanganyane vijana wanaita hizi ni kiki. Msishangae wanataka kubadilisha historia kwasababu tu ya upinzani na watu wamepedwa kuliko wao yaani ukipnda upinzani wanataka watoto wajue si uzalendo! kwasababu tu wana mawazo tofauti. Hao mabeberu tunaowaita mawazo tofauti ndiyo yamefanya watoto wao wawe wabunifu. Tutakuwa na vizazi ambayo havina ubunifu kama tutaanza kufundisha uongo ili tu wachache wakae madarakani.
Kitendo cha Lissu kupigwa risasi na wanasema kwa maamuzi ya hao hao wanasema eti hawawezi kuwauwa wauaji! ni unafiki na kutafuta kupendwa kinafiki. Lakini ni unafiki hata kwa Mungu na Watanzania wanajua hilo. Wakati wa Mwinyi kuna wafugwa walinyogwa haina maana Mwinyi alikuwa hana upendo lakini alifuata maagizo ya mahakama na kuwatendea haki washitaki kama nafasi yake inavyo ruhusu. Lakini Mwinyi mzee mwenye upendo hajawahi kumpiga mwanasiasa, kuweka jela wala kutoa maagizo ya kumpiga mtu risasi kwasababu ni mashuhuri kuliko yeye!
Hivyo tusidanganyane vijana wanaita hizi ni kiki. Msishangae wanataka kubadilisha historia kwasababu tu ya upinzani na watu wamepedwa kuliko wao yaani ukipnda upinzani wanataka watoto wajue si uzalendo! kwasababu tu wana mawazo tofauti. Hao mabeberu tunaowaita mawazo tofauti ndiyo yamefanya watoto wao wawe wabunifu. Tutakuwa na vizazi ambayo havina ubunifu kama tutaanza kufundisha uongo ili tu wachache wakae madarakani.