Kitendo cha kutengua maamuzi wafugwa wa kunyogwa ni cha kisiasa

Kitendo cha kutengua maamuzi wafugwa wa kunyogwa ni cha kisiasa

Unachanganya human rights law though still part of justice but has to do with morality and inalienable rights ‘what society believe to be right and wrong’

Whereas corrective justice is to do with distribution of ‘even-handedness’.

Isitoshe kama unadai maraisi wa awali walikuwa awaamini kwenye ‘capital punishment’ kitu gani kiliwazuia kuifuta?

Provided sheria ipo na mahakama inaitumia maana yake Tanzania ni nchi inayonyonga bado kwa baadhi ya makosa.
Kitu gani kinawazuia kuifuata?

Mbona nimejibu kwamba Tanzania is party to international human rights treaties na ndiyo kimezuia baadhi ya marais kusaini.

Yes sheria is there na inaelekeza death penalty yaweza hukumiwa which is done lakini kwenye kutekelezwa ndiyo haitekelezwi.
 
Nilisoma kwenye gazeti kwamba mkuu wetu hawezi kuuwa mtu hata waliohukumiwa kunyongwa. Tujue mpaka mtu ahukumiwe kunyogwa ni kwamba aliuwa binadamu mwingine au wengine. Kama ni kwasababu ya dini basi upendo huo na katazo hilo basi lisingeishia kwenye wafugwa.

Kitendo cha Lissu kupigwa risasi na wanasema kwa maamuzi ya hao hao wanasema eti hawawezi kuwauwa wauaji! ni unafiki na kutafuta kupendwa kinafiki. Lakini ni unafiki hata kwa Mungu na Watanzania wanajua hilo. Wakati wa Mwinyi kuna wafugwa walinyogwa haina maana Mwinyi alikuwa hana upendo lakini alifuata maagizo ya mahakama na kuwatendea haki washitaki kama nafasi yake inavyo ruhusu. Lakini Mwinyi mzee mwenye upendo hajawahi kumpiga mwanasiasa, kuweka jela wala kutoa maagizo ya kumpiga mtu risasi kwasababu ni mashuhuri kuliko yeye!

Hivyo tusidanganyane vijana wanaita hizi ni kiki. Msishangae wanataka kubadilisha historia kwasababu tu ya upinzani na watu wamepedwa kuliko wao yaani ukipnda upinzani wanataka watoto wajue si uzalendo! kwasababu tu wana mawazo tofauti. Hao mabeberu tunaowaita mawazo tofauti ndiyo yamefanya watoto wao wawe wabunifu. Tutakuwa na vizazi ambayo havina ubunifu kama tutaanza kufundisha uongo ili tu wachache wakae madarakani.

Hapana mzee, hata kama mahakama ikiamua mtu anyongwe, death warrant hutolewa na rais. Kwenye historia nadhani Nyerere alisaini death warrant ya Mwamwindi tu yaani yule jamaa alimuua Kreluu. Mwingi na Mkapa walisaini nyingi sana lakini sidhani kama Kikwete alizisaini
 
Mimi nampongeza hata kama maamuzi yake yalikuwa ya kinafiki. Nikuambie tu. Hukumu ya kunyoga haimfanyi aliyeua kupata funzo
Funzo kwa waliobaki.huwa namsikia hakimu wakati wanatoa hukumu mbalimbali "iwe fundisho kwa wengine"
 
Nilisoma kwenye gazeti kwamba mkuu wetu hawezi kuuwa mtu hata waliohukumiwa kunyongwa. Tujue mpaka mtu ahukumiwe kunyogwa ni kwamba aliuwa binadamu mwingine au wengine. Kama ni kwa sababu ya dini basi upendo huo na katazo hilo basi lisingeishia kwenye wafugwa.

Kitendo cha Lissu kupigwa risasi na wanasema kwa maamuzi ya hao hao wanasema eti hawawezi kuwauwa wauaji! ni unafiki na kutafuta kupendwa kinafiki. Lakini ni unafiki hata kwa Mungu na Watanzania wanajua hilo. Wakati wa Mwinyi kuna wafugwa walinyogwa haina maana Mwinyi alikuwa hana upendo lakini alifuata maagizo ya mahakama na kuwatendea haki washitaki kama nafasi yake inavyo ruhusu. Lakini Mwinyi mzee mwenye upendo hajawahi kumpiga mwanasiasa, kuweka jela wala kutoa maagizo ya kumpiga mtu risasi kwasababu ni mashuhuri kuliko yeye!

Hivyo tusidanganyane vijana wanaita hizi ni kiki. Msishangae wanataka kubadilisha historia kwasababu tu ya upinzani na watu wamepedwa kuliko wao yaani ukipnda upinzani wanataka watoto wajue si uzalendo! kwasababu tu wana mawazo tofauti. Hao mabeberu tunaowaita mawazo tofauti ndiyo yamefanya watoto wao wawe wabunifu. Tutakuwa na vizazi ambayo havina ubunifu kama tutaanza kufundisha uongo ili tu wachache wakae madarakani.
What if Tundu Lisu alipigwa risasi na majambazi ambao wameshindwa kupatikama?
 
Jamaa hafai kuwa Commonder in Chief ....unaogopa kunyonga wakati kila siku watu wanakufa mitaani kwa amri zake....Unafiki unatufanya Waafrika tuonekane manyani kwa wazungu
Ukiambiwa udhibitishe unaanza kulialia hii serikali ya kidikteta
 
Nilisoma kwenye gazeti kwamba mkuu wetu hawezi kuuwa mtu hata waliohukumiwa kunyongwa. Tujue mpaka mtu ahukumiwe kunyogwa ni kwamba aliuwa binadamu mwingine au wengine. Kama ni kwa sababu ya dini basi upendo huo na katazo hilo basi lisingeishia kwenye wafugwa.

Kitendo cha Lissu kupigwa risasi na wanasema kwa maamuzi ya hao hao wanasema eti hawawezi kuwauwa wauaji! ni unafiki na kutafuta kupendwa kinafiki. Lakini ni unafiki hata kwa Mungu na Watanzania wanajua hilo. Wakati wa Mwinyi kuna wafugwa walinyogwa haina maana Mwinyi alikuwa hana upendo lakini alifuata maagizo ya mahakama na kuwatendea haki washitaki kama nafasi yake inavyo ruhusu. Lakini Mwinyi mzee mwenye upendo hajawahi kumpiga mwanasiasa, kuweka jela wala kutoa maagizo ya kumpiga mtu risasi kwasababu ni mashuhuri kuliko yeye!

Hivyo tusidanganyane vijana wanaita hizi ni kiki. Msishangae wanataka kubadilisha historia kwasababu tu ya upinzani na watu wamepedwa kuliko wao yaani ukipnda upinzani wanataka watoto wajue si uzalendo! kwasababu tu wana mawazo tofauti. Hao mabeberu tunaowaita mawazo tofauti ndiyo yamefanya watoto wao wawe wabunifu. Tutakuwa na vizazi ambayo havina ubunifu kama tutaanza kufundisha uongo ili tu wachache wakae madarakani.
poor reasoning, eti siwezi kuua watu 230, basi si afute adhabu ya kifo kwenye PENAL CODE?
 
Adhabu ya kifo haimpi mkosaji mafunzo yoyote, inatisha tuu wanaobaki lakini haimfunzi mkosaji
 
poor reasoning, eti siwezi kuua watu 230, basi si afute adhabu ya kifo kwenye PENAL CODE?
Poor because ww uko nje, ungekuwa uko jela au ndugu yako wa damu au mzazi wako basi ungemwelewa Rais

Sio kila jambo lazima likufurahishe mengine waachie na wenzako
 
Adhabu ni jambo lolote litakalomfanya mtu ajutie mabaya aliyiyafanya na ajirekebishe na ikibidi atoe ushuhuda.Namkubali JPM kwa hili, hawa watu wafungwe maisha na ikiwezekana watakao bahatika kugikisha umri wa kati ya miaka 80 na 90 wachiwe ili watie ushuhuda na kuitiisha jamii juu ya ubaya wao
 
Ukitengeneza mazingira ya mtu kushindwa kujimudu kwa mfano kutompandisha maslahi yake kwa miaka kadhaa na kupelekea huyo mtu ashindwe gharama za matibabu afe hapo umeua
 
Poor because ww uko nje, ungekuwa uko jela au ndugu yako wa damu au mzazi wako basi ungemwelewa Rais

Sio kila jambo lazima likufurahishe mengine waachie na wenzako
thats even poor , kuwa nje na kuwa ndani hakuhalalishi adhabu isitekelezwe, lazma kila kitu kifanyike kihaki.
nimeshauri hiyo adhabu ifutwe WEWE UNALETA MAMBO YA YA KI-CCM ETI KWAKUWA NIPO NJE.

Nyie si mnabadiligi sheria hata usiku wa manane kwa hati ya dharura, basi FUTENI adhabu ya kifo.

Mfano: Mtikili alifungua kesi ya mahakama ya rufaa ikasema adhabu ya kifo ifutwe, AG hajawahi peleka bungeni mswadda wa kuifuta.

DHAMANA: Kibatala alishinda kesi na kwamba makosa yote yawe na dhamana, CCM haijafuta hiyo sheria na watu wanazuiliwa bila dhamana.
 
Wanasema Waswahili "ukitaka kuijua nguvu ya Mlevi basi mwaga pombe yake".....hasira kali kwa sisi Wanasiasa ni pale Mtu ukicheza au kutishia madaraka yetu matamu...Ndugu tutakutafuta popote ili "tuongee", wala hatupotezi muda wa Mahakama.
 
Nilisoma kwenye gazeti kwamba mkuu wetu hawezi kuuwa mtu hata waliohukumiwa kunyongwa. Tujue mpaka mtu ahukumiwe kunyogwa ni kwamba aliuwa binadamu mwingine au wengine. Kama ni kwa sababu ya dini basi upendo huo na katazo hilo basi lisingeishia kwenye wafugwa.

Kitendo cha Lissu kupigwa risasi na wanasema kwa maamuzi ya hao hao wanasema eti hawawezi kuwauwa wauaji! ni unafiki na kutafuta kupendwa kinafiki. Lakini ni unafiki hata kwa Mungu na Watanzania wanajua hilo. Wakati wa Mwinyi kuna wafugwa walinyogwa haina maana Mwinyi alikuwa hana upendo lakini alifuata maagizo ya mahakama na kuwatendea haki washitaki kama nafasi yake inavyo ruhusu. Lakini Mwinyi mzee mwenye upendo hajawahi kumpiga mwanasiasa, kuweka jela wala kutoa maagizo ya kumpiga mtu risasi kwasababu ni mashuhuri kuliko yeye!

Hivyo tusidanganyane vijana wanaita hizi ni kiki. Msishangae wanataka kubadilisha historia kwasababu tu ya upinzani na watu wamepedwa kuliko wao yaani ukipnda upinzani wanataka watoto wajue si uzalendo! kwasababu tu wana mawazo tofauti. Hao mabeberu tunaowaita mawazo tofauti ndiyo yamefanya watoto wao wawe wabunifu. Tutakuwa na vizazi ambayo havina ubunifu kama tutaanza kufundisha uongo ili tu wachache wakae madarakani.
Nimeacha kusoma huu uzi hapo ulipoanza kumtaja Lissu
 
Mimi nampongeza hata kama maamuzi yake yalikuwa ya kinafiki. Nikuambie tu. Hukumu ya kunyoga haimfanyi aliyeua kupata funzo
Marehemu anajifunza? Mtu hunyongwa kwa sababu ya kosa alilofanya, kama kuna funzo ni kwa walio hai kutofanya kosa litalogharim kunyongwa.
 
Marehemu anajifunza? Mtu hunyongwa kwa sababu ya kosa alilofanya, kama kuna funzo ni kwa walio hai kutofanya kosa litalogharim kunyongwa.

kama hatupendi sheria basi tubasilishe badala ya kutumia sheria kisiasa
 
Halafu mtu ukimwambia kuwa wewe humkosoi Magufuli bali unamchukia,anakataa. Yani mtu hataki huyo Magufuli afanye lolote anataka aendelee kufanya mabaya ili azidi kumchukia na kumsema na watu wengine zaidi nao wamchukie,sasa huku sio kukosoa bali ni chuki.

Yani watu walikuwa wanyongwe wafe, ila kwa kuwa aliyetengua uamuzi huo wa kunyongwa ni Magufuli basi mtu hajapendezwa na huo uamuzi sababu tu umefanywa na Magufuli,ni kwamba bora wangenyogwa wale watu ili Magufuli azidi kuonekana mbaya na hicho ndio anachokipenda.
 
Halafu mtu ukimwambia kuwa wewe humkosoi Magufuli bali unamchukia,anakataa. Yani mtu hataki huyo Magufuli afanye lolote anataka aendelee kufanya mabaya ili azidi kumchukia na kumsema na watu wengine zaidi nao wamchukie,sasa huku sio kukosoa bali ni chuki.

Yani watu walikuwa wanyongwe wafe, ila kwa kuwa aliyetengua uamuzi huo wa kunyongwa ni Magufuli basi mtu hajapendezwa na huo uamuzi sababu tu umefanywa na Magufuli,ni kwamba bora wangenyogwa wale watu ili Magufuli azidi kuonekana mbaya na hicho ndio anachokipenda.
Huyo hashauriki wew Kibwetele alisha sema yeye ni kichaa. Muulize kilicho mpata babu yenu Mingula.Hivi upelelezi wa ile sumu umefika wapi?
 
Back
Top Bottom