Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama Ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Tusiwe wachoyo Acha nao wapate watu wabishi
 
Ukimbizi wanajitengenezea wenyewe, mbona huo Ubalozi wa Canada haukumuuliza Lema kipindi akiwa jambazi wa kuiba magari aliua watu wangapi kama kweli kafanyiwa veting ya kutosha kabla ya kupewa hifadhi ya ukimbizi?
Lema alikuwa jambazi !? Mzalendo uchwara alishindwa kumkamata ili kumpoteza kwa ujambazi wake!? Sio bure una faili mirembe wewe.
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Hata mimi natamani ukimbizi wa aina ya Lema, ili watoto wangu wakasome bure huko Canada.
Naomba ushauri au connection nifanyeje?
 
Vipindi viwili amekuwa mbunge na pension nono plus mishahara mil 12 kila mwezi halafu akose cha kula.
Unaweza kuta wewe unaeongea hivyo ni wale vijana wanaosubiri ajira.
Ulikuwa unamtunzia wewe pesa za akiba. Hivi umewahi kupata pesa nyingi au unasikiaga tu!!!!
 
Hivi ule unyama mliokuwa mnatenda kwa miaka yote mitano na mauaji, utekaji na utesaji wa raia kwenye uchaguzi, huku ikiagizwa Lema auliwe ama apewe kesi isiyo na dhamana mnadhani dunia ilikuwa haioni?
Kamanda nipe connection mkuu. Hata mie natamani ukimbizi wa aina ya Lema. Shule za Bongo watoto wanasoma kwa shida.
 
Mkuu,

The president is not above the law that is why constitution lays the procedures on how to impeach him in the National Assembly (Read Article 46A of the constitution of the United Republic of Tanzania)

Nobody has given you limited premises to challenge the president elect; you can do it to put the record clear as benchmark for other grievances of the same nature.

Kwa mjibu wa katiba ambayo ni sheria mama article 46 (3) Rais aliyestaafu ana kinga kushitakiwa mahakamani; hata hivyo kinga hiyo ina mipaka iliyoainishwa kisheria.

Mh Rais anaweza kushitakiwa mahakamani kupitia mkurugenzi wa mashitaka (DPP) na kesi ikasikilizwa kama kesi zingine za jinai kwa masharti yafuatayo"
1. :..Jambo …..alilofanya……kama Rais wakati alipokuwa bado anashika madaraka ya Rais kwa mujibu wa katiba…..” Hapa kinga inafanya kazi Article 46(3)
2. ".....Vitendo......alivyofanya........akiwa Rais wakati alipokuwa bado anashika madaraka ya Rais kwa mujibu wa katiba....."Kinga haihusiki hivyo anaweza kushitakiwa kwa kuzingatia ni vitendo gani vilivyo kinyume na katiba. Mfano ukiwa Rais unaendesha gari mwenyewe kisha ukagonga raia na kuua, hapo hakuna kinga maana kwa mujibu wa utaratibu huruhusiwi kujiendesha mwenyewe hivyo matokeo ya kitendo kilichosababisha kosa la kugonga na kuua unalibeba mwenyewe kama 'X' na sio Rais

Haya kazi kwako mdadisi


If you are a brilliant lawyer, skilled, well informed and confident you can step in to initiate the impeachment motion to sue the president elect, so teh ball is at your armpit to bull it
Kumbe??
 
Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Lema ni mkimbizi wa kiuchumi,mchumia tumbo,tapeli na msanii tu
Si mara ya kwanza hii,mwaka 2000 kuna wapemba walikimbilia shimoni,mombasa na kujifungulia kabisa kambi la wakimbizi kama vile wapo kasulu,mwishowe wakatawanywa nchi za ulaya ,mchezo wao ukafanikiwa
 
Kwa taarifa yako hao wazungu mpaka wakupe ukimbizi lazima wajiridhishe na vielelezo vyako. Huyo Lema kapata ukimbizi maana ana ushahidi wa kutosha na ambao hata sisi tunaujua. Siasa zetu ndani ya hii miaka mitano wote tumeziona, uonevu na unyanyasaji kwa wapinzani uko wazi.

Na kwa kukusaidia tu ni kuwa Lema kaula, watoto wake watapata elimu nzuri, yeye na mkewe watapata kazi zinazowalipa kuliko wangekaa hapa. Yaani kakutana na bonge la neema ya kimaisha.
Eti atapata kazi nzuri

Kitaaluma Lema ana fani gani? Tuanzie hapo kwanza.

Kwa taarifa yako Ugaibuni kama huna taaluma ya kueleweka utaishia kubeba mabox
 
Mkuu,

The president is not above the law that is why constitution lays the procedures on how to impeach him in the National Assembly (Read Article 46A of the constitution of the United Republic of Tanzania)

Nobody has given you limited premises to challenge the president elect; you can do it to put the record clear as benchmark for other grievances of the same nature.

Kwa mjibu wa katiba ambayo ni sheria mama article 46 (3) Rais aliyestaafu ana kinga kushitakiwa mahakamani; hata hivyo kinga hiyo ina mipaka iliyoainishwa kisheria.

Mh Rais anaweza kushitakiwa mahakamani kupitia mkurugenzi wa mashitaka (DPP) na kesi ikasikilizwa kama kesi zingine za jinai kwa masharti yafuatayo"
1. :..Jambo …..alilofanya……kama Rais wakati alipokuwa bado anashika madaraka ya Rais kwa mujibu wa katiba…..” Hapa kinga inafanya kazi Article 46(3)
2. ".....Vitendo......alivyofanya........akiwa Rais wakati alipokuwa bado anashika madaraka ya Rais kwa mujibu wa katiba....."Kinga haihusiki hivyo anaweza kushitakiwa kwa kuzingatia ni vitendo gani vilivyo kinyume na katiba. Mfano ukiwa Rais unaendesha gari mwenyewe kisha ukagonga raia na kuua, hapo hakuna kinga maana kwa mujibu wa utaratibu huruhusiwi kujiendesha mwenyewe hivyo matokeo ya kitendo kilichosababisha kosa la kugonga na kuua unalibeba mwenyewe kama 'X' na sio Rais

Haya kazi kwako mdadisi


If you are a brilliant lawyer, skilled, well informed and confident you can step in to initiate the impeachment motion to sue the president elect, so teh ball is at your armpit to bull it
Duuh nyie wasomi bwana..Is impeachment the synonum of sueing?
What do you understand this Article 46.Immunity from criminal and civil proceedings?
Yaani unataka kutuambia kua impeachment maana yake ni kushitakiwa mahakamani?
Kumbuka kua ni mahakama tu yenye jukumu na haki ya kutoa hukumu
Article. 107A. Authority of dispensing of justice.
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Ninachikiona ni hasara kwa watanzania. Watetezi wetu ndio wanaondoka mmoja mmoja hivo au labda niseme ndio kwa makusudi mazima wanafanywa waondoke. Sasa kazi kwetu, uwoga wetu ndio utaendelea kutuponza!
 
Amekimbia madeni yake yaliyosomwa bungeni ya milioni zaidi ya 400?

Lema unazidi kuwachafua zaidi wachaga, dawa ya deni ni kulipa siyo kukimbia na kujifanya mkimbizi feki, sasa umekimbilia kwa wazungu watakupa kazi ya kuosha vibibi na vibabu.
Mkuu utakua unapulizwa njia ya kutolea mashudu ? Swali kwako hiyo sio kazi?
 
Ingekuwa ni deni Canada wasingempa ukimbizi wa kisiasa, ili wakupe ukimbizi wa kisiasa lazima wajiridhishe na ushahidi wako. Je wangempa ukimbizi kwa kukimbia deni? Ukisikia propaganda mfu na ww unazivaa kichwa kichwa, na kuona unajua kupoteza watu maboya.
Kwahiyo nawwe unaamini kabisa kwamba Lema alikua anatishiwa uhai wake na watawala.
 
Hili ni jambo ni zito mno kwa Taifa letu kuanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, ila kwa wana CCM watakuambia kakimbia aibu ya kushidwa uchaguzi.
 
Hakuna kitu kizuri kama uhai kaa utulie zako Canada mzee msalimie Wilbroad Silaa.

Mhe Slaaa hayupo Canada yupo Sweden (kama sikosei) ila mwambie amsalimie waziri wa uhamiaji(mambo ya ndani) wa Canada ambaye katoka taifa jirani yetu Somalia!! Note waziri wa Immigration wa Canada ni Msomali!!!
 
Amekimbia madeni yake yaliyosomwa bungeni ya milioni zaidi ya 400?

Lema unazidi kuwachafua zaidi wachaga, dawa ya deni ni kulipa siyo kukimbia na kujifanya mkimbizi feki, sasa umekimbilia kwa wazungu watakupa kazi ya kuosha vibibi na vibabu.
Lema ni tajiri kabla hata ya siasa. Bado mdogo ajali familia yake sasa badala ya kuuliwa na wapenda madaraka
 
Back
Top Bottom