Kitendo cha Mahakama zetu kushughulikia kesi za ushoga na kuwaacha mafisadi ya matrilioni mtaani hiyo ni failure ya nchi kwa 100%

Kitendo cha Mahakama zetu kushughulikia kesi za ushoga na kuwaacha mafisadi ya matrilioni mtaani hiyo ni failure ya nchi kwa 100%

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kila mwaka tunasomewa report na CAG , tunajionea jinsi watu walnavyogawanya mabilioni ya umma kinyume na sheria. Hatuoni mafisadi wakiwa kwenye pingu. Sijawahi kusikia kuwa kuna fisadi kafungwa miaka 30 jela tangu nipate akili.

Ushoga ni tatizo ila si kubwa zaidi ya tatizo la ufisadi na wizi wa mali za umma. Tuanze na mafisadi kisha twende kwa mashoga au wote kwa pamoja
 
Hili nililiona muda mrefu. Kampeni ya kuwa-gaslight wananchi kuhusu ushoga ilianza February 2023, ilikuwa ni njia ya kusahaulisha makosa mengi ya serikali. Ila kwa kuwa wananchi ni wapumbavu, tushayumba.
 
Hili nililiona muda mrefu. Kampeni ya kuwa-gaslight wananchi kuhusu ushoga ilianza February 2023, ilikuwa ni njia ya kusahaulisha makosa mengi ya serikali. Ila kwa kuwa wananchi ni wapumbavu, tushayumba.
Ahahahaha.
Huruma sana
 
Kila mwaka tunasomewa report na CAG , tunajionea jinsi watu walnavyogawanya mabilioni ya umma kinyume na sheria. Hatuoni mafisadi wakiwa kwenye pingu. Sijawahi kusikia kuwa kuna fisadi kafungwa miaka 30 jela tangu nipate akili .
Ushoga ni tatizo ila si kubwa zaidi ya tatizo la ufisadi na wizi wa mali za umma.
Tuanze na mafisadi kisha twende kwa mashoga au wote kwa pamoja
Kesi za kuku na rushwa za shilling elfu 10 Uta shuhurikiwa perpendicular.......
 
Eti wanakuambia wanashughulikia maadili ya jamii! Inashangaza sana majizi makubwa yanayokwamisha maendeleo ya nchi kwa udokozi wa fedha za umma wanashughulika na mambo ya kipuuzi ambayo kimsingi hayana athari kwa maendeleo ya nchi.
 
Kila mwaka tunasomewa report na CAG , tunajionea jinsi watu walnavyogawanya mabilioni ya umma kinyume na sheria. Hatuoni mafisadi wakiwa kwenye pingu. Sijawahi kusikia kuwa kuna fisadi kafungwa miaka 30 jela tangu nipate akili .
Ushoga ni tatizo ila si kubwa zaidi ya tatizo la ufisadi na wizi wa mali za umma.
Tuanze na mafisadi kisha twende kwa mashoga au wote kwa pamoja
Akikamatwa fisadi nchi itatikisika hii.

Dawa ni kuuondoa mzizi wa ufisadi yaani CCM
 
Kila mwaka tunasomewa report na CAG , tunajionea jinsi watu walnavyogawanya mabilioni ya umma kinyume na sheria. Hatuoni mafisadi wakiwa kwenye pingu. Sijawahi kusikia kuwa kuna fisadi kafungwa miaka 30 jela tangu nipate akili .
Ushoga ni tatizo ila si kubwa zaidi ya tatizo la ufisadi na wizi wa mali za umma.
Tuanze na mafisadi kisha twende kwa mashoga au wote kwa pamoja
Katika kipande cha amri inayodaiwa kutolewa na mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kivukoni iliyopo Kinondoni inaonesha Mwanamitindo Noel Ndale Mushi maarufu kama Noel ambaye ni mbunifu wa mavazi ya wasanii , Kelvin Maliki Ngao maarufu kama Kelvin Events na Mzungu Mmoja anauejulikana kama David wameamriwa wapimwe endapo wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja yaani ushoga na mpaka sasa bado wanashikiliwa na polisi Oysterbay.

Ikibainika wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja watakabiliwa na kifungo cha miaka 30 jela kwa mujibu wa Sheria za Tanzania.
 
Katika kipande cha amri inayodaiwa kutolewa na mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kivukoni iliyopo Kinondoni inaonesha Mwanamitindo Noel Ndale Mushi maarufu kama Noel ambaye ni mbunifu wa mavazi ya wasanii , Kelvin Maliki Ngao maarufu kama Kelvin Events na Mzungu Mmoja anauejulikana kama David wameamriwa wapimwe endapo wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja yaani ushoga na mpaka sasa bado wanashikiliwa na polisi Oysterbay.

Ikibainika wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja watakabiliwa na kifungo cha miaka 30 jela kwa mujibu wa Sheria za Tanzania.
Issue ya Ushoga ni mkakati ili watz wasifatilie Mambo muhimu ya nchi ..
 
Wakikamata fisadi hata mmoja niite mbwa nimekaa pale
Mafisadi yanakamatwa sana,sema yanafanyiwa plea bargain za kimyakimya ndiyo maana unaona yanaendelea kudunda mtaani Kama kawa! Ni masikini tu ndiyo hawana uwezo wa kununua uhuru wao Kama Mafisadi na ndiyo maana unaona Jela kumejaa Masikini!!
 
Unataka wajikamate wenyewe? Hamna cha destruction wala nini mambo yote haya ule muhimili mkubwa kuliko yote ndio utakua papa wengine vidagaa tu.
 
Back
Top Bottom