Kitendo cha Mahakama zetu kushughulikia kesi za ushoga na kuwaacha mafisadi ya matrilioni mtaani hiyo ni failure ya nchi kwa 100%

Kitendo cha Mahakama zetu kushughulikia kesi za ushoga na kuwaacha mafisadi ya matrilioni mtaani hiyo ni failure ya nchi kwa 100%

The bottom line is if you happen to get a chance follow suit !! These people cares for nothing !! Things will go on and on being the same, until that day when you all come to your full senses !!!
 
Kila mwaka tunasomewa report na CAG , tunajionea jinsi watu walnavyogawanya mabilioni ya umma kinyume na sheria. Hatuoni mafisadi wakiwa kwenye pingu. Sijawahi kusikia kuwa kuna fisadi kafungwa miaka 30 jela tangu nipate akili.

Ushoga ni tatizo ila si kubwa zaidi ya tatizo la ufisadi na wizi wa mali za umma. Tuanze na mafisadi kisha twende kwa mashoga au wote kwa pamoja
Ndio vitu watanzania mnapenda na ndo mtaona serikali inafanya kazi.
 
Kila mwaka tunasomewa report na CAG , tunajionea jinsi watu walnavyogawanya mabilioni ya umma kinyume na sheria. Hatuoni mafisadi wakiwa kwenye pingu. Sijawahi kusikia kuwa kuna fisadi kafungwa miaka 30 jela tangu nipate akili.

Ushoga ni tatizo ila si kubwa zaidi ya tatizo la ufisadi na wizi wa mali za umma. Tuanze na mafisadi kisha twende kwa mashoga au wote kwa pamoja
Shoga ni hatari kuliko fisadi.

Hela zinatafutwa, tutapata zingine.
 
Kila mwaka tunasomewa report na CAG , tunajionea jinsi watu walnavyogawanya mabilioni ya umma kinyume na sheria. Hatuoni mafisadi wakiwa kwenye pingu. Sijawahi kusikia kuwa kuna fisadi kafungwa miaka 30 jela tangu nipate akili.

Ushoga ni tatizo ila si kubwa zaidi ya tatizo la ufisadi na wizi wa mali za umma. Tuanze na mafisadi kisha twende kwa mashoga au wote kwa pamoja
Tunaacha kufatilia wezi,tumeamua kufatilia "mashoga"na kuchungulia mikundu ya watu,
 
Mafisadi yanakamatwa sana,sema yanafanyiwa plea bargain za kimyakimya ndiyo maana unaona yanaendelea kudunda mtaani Kama kawa! Ni masikini tu ndiyo hawana uwezo wa kununua uhuru wao Kama Mafisadi na ndiyo maana unaona Jela kumejaa Masikini!!
Hahahahahah kumbe uhuru unanunuliwa eeh
 
Back
Top Bottom