Uchaguzi 2020 Kitendo cha Mgombea Mwenza, Salum Mwalimu kumshambulia kwa maneno Msajili wa Vyama siyo cha kiungwana

Uchaguzi 2020 Kitendo cha Mgombea Mwenza, Salum Mwalimu kumshambulia kwa maneno Msajili wa Vyama siyo cha kiungwana

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mgombea mwenza wa urais wa Tundu Lissu kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Salumu Mwalimu amemtaka Msajili Msaidizi wa vyama vya siasa Mh. Nyahuza kutoingilia masuala ya ndani ya vyama.

Mwalimu alichachamaa baada ya Nyahuza kuhoji uvunjifu wa protokali uliofanywa na viongozi wa Chadema Tundu Lissu na Mwalimu kuingia wakiwa wa mwisho katika mkutano ambao wao ni waalikwa.

Akiwa na hasira Mh. Mwalimu akasema Nyahuza afanye yake asivipangie vyama mambo ya ndani.
 
Yule msajili wa vyama utafikiri hakua jaji wa mahakama.

Binafsi toka nikiwa mdogo hua naamini mahakimu na majaji ni watu wanaofikiri sana, watu wa kutumia mantiki/logic kuamua. Niseme ukweli imekua hivyo kwa kiasi kikubwa ila baada ya serikali ya awamu ya 5 kuingia imekua tofauti sana.

Mutungi utafikiri alisomea ushirikina, mambo anayoyafanya unajiuliza mara mbili mbili, huyu aliwahi kua jaji?
 
Ukubwa wa mungu uogopwe. Ona leo Shisty Nyahoza alivyokuja kudhihirisha chuki yake kwa ACT/ Maalim Seif na Upinzani kwa ujumla hadharani.

Msajili kashindwa kuzuia hisia zake za ukereketwa zilizojificha nyuma ya nano "SHERIA".

Uvumilivu umemshinda. Hio ndio hali halisi iliyotengenezwa na CCM leo.

Kashindwa kuvumilia na amepata kigugumizi cha kuongea akalazimika kuona Point hio tu.

Kaacha mambo mengi yakiwemo kuahidi usawa, ushirikiano, nafasi za wanawake, n.k.

Alikuwa anaumia kumshinda hata Pole pole. Hao ndio viongozi wetu wanaosimamia taasisi za Umma.

Binafsi nampongeza Salum Mwalim kwa kuonesha madhaifu ya Msajili kwenye Forum ile ile.
 
Yule msajili wa vyama utafikir hakua jaji wa mahakama.

Binafsi toka nikiwa mdogo hua naamini mahakimu na majaji ni watu wanaofikiri sana, watu wa kutumia mantiki/logic kuamua. Niseme ukweli imekua hivyo kwa kiasi kikubwa ila baada ya serikali ya awamu ya 5 kuingia imekua tofauti sana.

Mutungi utafikiri alisomea ushirikina, mambo anayoyafanya unajiuliza mara mbili mbili, huyu aliwahi kua jaji?
2012 Lissu bungeni alisema Majaji wetu uwezo wao ni mdogo sana na kwny utekelezaji wa majukumu yao hata kuandika hukumu ya kurasa 1 kwa kiingereza hawawezi na kutafsiri sheria zilizoandikwa kwa kiingereza hawajui.

Naona mambo yanazidi kujidhirisha sasa.
 
Yule msajili wa vyama utafikir hakua jaji wa mahakama.

Binafsi toka nikiwa mdogo hua naamini mahakimu na majaji ni watu wanaofikiri sana, watu wa kutumia mantiki/logic kuamua. Niseme ukweli imekua hivyo kwa kiasi kikubwa ila baada ya serikali ya awamu ya 5 kuingia imekua tofauti sana.

Mutungi utafikiri alisomea ushirikina, mambo anayoyafanya unajiuliza mara mbili mbili, huyu aliwahi kua jaji?
Ndugu una mawazo mazuri lakini kumbuka ukishateuliwa na CCM Ni lazima utumie cheti Cha chekechea
 
Back
Top Bottom