Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Msajiri naye hana dogo? Hata huko ACT anataka kuwa mwenyekiti wa kikao na hali naye ni mwalikwa?Mgombea mwenza wa urais wa Tundu Lissu kwa tiketi ya Chadema mh Salumu Mwalimu amemtaka Msajili Msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza kutoingilia masuala ya ndani ya vyama...