Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Msajiri naye hana dogo? Hata huko ACT anataka kuwa mwenyekiti wa kikao na hali naye ni mwalikwa?Mgombea mwenza wa urais wa Tundu Lissu kwa tiketi ya Chadema mh Salumu Mwalimu amemtaka Msajili Msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza kutoingilia masuala ya ndani ya vyama...
Heading and contents are complying. Yeye ndiye haelewi.Hahahaaaa! Kazi na Bata!
Au........Ni Yeye?
Wewe ulitakaje?Mgombea mwenza wa urais wa Tundu Lissu kwa tiketi ya Chadema Mh Salumu Mwalimu amemtaka Msajili Msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza kutoingilia masuala ya ndani ya vyama...
Msajili aheshimiwe!Wewe ulitakaje?
Ukitaka kuheshimika Anza wewe kujiheshimu je yeye anajiheshimu??Msajili aheshimiwe!
Tutatumia ubabe wa ccm kuwaangusha ccm mwaka huu.Mgombea mwenza wa urais wa Tundu Lissu kwa tiketi ya Chadema Mh Salumu Mwalimu amemtaka Msajili Msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza kutoingilia masuala ya ndani ya vyama...
Police imekuwa kama Greenguard tuSishangai. Chadema hawazipendi na hawazimini karibia taasisi zote za serikali. Lakini chadema hawavitaki na wamegombana na vyombo vya ulinzi na usalama.
Mimi kanifurahisha Fatuma KarumeMgombea mwenza wa urais wa Tundu Lissu kwa tiketi ya Chadema Mh Salumu Mwalimu amemtaka Msajili Msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza kutoingilia masuala ya ndani ya vyama...
Kasemaje?Mimi kanifurahisha Fatuma Karume
Lumumba mmegeuka watu wa matukio badala ya Sera 😅😅Mgombea mwenza wa urais wa Tundu Lissu kwa tiketi ya Chadema Mh Salumu Mwalimu amemtaka Msajili Msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza kutoingilia masuala ya ndani ya vyama.
Mwalimu alichachamaa baada ya Nyahuza kuhoji uvunjifu wa protokali uliofanywa na viongozi wa Chadema Tundu Lissu na Mwalimu kuingia wakiwa wa mwisho katika mkutano ambao wao ni waalikwa.
Akiwa na hasira mh Mwalimu akasema Nyahuza afanye yake asivipangie vyama mambo ya ndani.
Hana mada yoyote Lissu kabana kila konaWe bado mtoto .sio kila kitu lazima uanzishe thread
SUBIRI KIDOGO
Kama msajili msaidizi hana adabu lazima afokewe siyo kubembelezwa, hongera Salun Mwalimu, Chadema haturembi.Mgombea mwenza wa urais wa Tundu Lissu kwa tiketi ya Chadema Mh Salumu Mwalimu amemtaka Msajili Msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza kutoingilia masuala ya ndani ya vyama.
Mwalimu alichachamaa baada ya Nyahuza kuhoji uvunjifu wa protokali uliofanywa na viongozi wa Chadema Tundu Lissu na Mwalimu kuingia wakiwa wa mwisho katika mkutano ambao wao ni waalikwa.
Akiwa na hasira mh Mwalimu akasema Nyahuza afanye yake asivipangie vyama mambo ya ndani.
Wanafanya siasa badala ya kutekeleza wajibu waoMsajili anasimamia katiba za vyama. Mambo ya protocol siyo ya kikatiba.
Naibu Msajili amepotoka kuanza kuingilia suala hilo ktk mkutano wa CDM.
Tatizo wasomi wetu njaa,Binafsi toka nikiwa mdogo hua naamini mahakimu na majaji ni watu wanaofikiri sana, watu wa kutumia mantiki/logic kuamua. Niseme ukweli imekua hivyo kwa kiasi kikubwa ila baada ya serikali ya awamu ya 5 kuingia imekua tofauti sana.
Mutungi utafikiri alisomea ushirikina, mambo anayoyafanya unajiuliza mara mbili mbili, huyu aliwahi kua jaji?