Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii haiwezi kuwa sababu mkuu. Hiwezekani marais wote wawili kutoka nchi mbili tofauti waugue kwa siku moja na kwa wakati mmoja.Wana majukum mengine mbona jpm alivyokuwa anamtuma mama samia kumuwakilisha ulikuwa huon shida
Acha uchokonoko
Nimelipenda jina lako, lenye tafsiri kubwa sana si kwa Marekani tu bali hata kwa Dunia.Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
nine one one( emergence call)Nimelipenda jina lako, lenye tafsiri kubwa sana si kwa Marekani tu bali hata kwa Dunia.
Yaani imekaa vizuri sana hiyo 911 ambayo ndiyo tarehe 9/11. Siku hiyo wamaekani walikuwa wanapiga namba 911 bila kujua ndio namba ya mafanikio kwa Magaidi katika kubadilisha historia ya Marekani. Hongera mbunifu!
Kweli kabisa mkuu. Imebidi niudownload niusikilize vizuri.Ukiusikiliza wimbo wa super matimila,Remmy ongala alishawahi kuimba,"ukiwa mtenda mabaya unapokwenda pia ni papaya na ukiwa na roho mbaya ee kweli watakuogopa...."ngoja nishie hivyo ni vzr ukausikiliza mwenyewe.
Incubator ni mwanzilishi au mzalishaji? Hebu nipe story mpya ya Manunu😂😅🤣 Mkalimani anataka demu mpyaNilikua sijui kuwa corona ilianzia Tanzania , ahsante kwa kunielewesha
Mimi naimani m7 bado ni rafiki yetu ila naona umri wake unampa wasi wasi of which I can understand!Jamaa walikuwa na 'urafiki' na mzee kwa interest zao tu.
Burundi Vs Rwanda Vs UgandaWale jamaa ni Covid conscious, Museveni akidaka hii kitu hachomoi, Kagame ni msanii.
Hawataki kufanya kosa kama la JPM kudharau na kuichukulia poa covid 19 jambo ambalo limegharimu maisha yake.
Uongo wa dhahiri huu.Nkurunzinza alikufa baada ya kuwa alikwishatoka madarakani mkuu