Kitendo cha Museveni na Kagame kutokuja kumuaga hayati Rais Magufuli kinaashiria nini?

Kitendo cha Museveni na Kagame kutokuja kumuaga hayati Rais Magufuli kinaashiria nini?

Nimelipenda jina lako, lenye tafsiri kubwa sana si kwa Marekani tu bali hata kwa Dunia.

Yaani imekaa vizuri sana hiyo 911 ambayo ndiyo tarehe 9/11. Siku hiyo wamaekani walikuwa wanapiga namba 911 bila kujua ndio namba ya mafanikio kwa Magaidi katika kubadilisha historia ya Marekani. Hongera mbunifu!
Hii stori yake naweza ipata wapi au unaweza nipa angalau kidogo
 
Tuwape Muda yawezekana watakuwepo tarehe 26/03/2021 kwenye safari ya mwisho ya kumpuzisha hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli. Kwa mtazamo wangu kama wataenda chato itakuwa sawa kwa sababu Mkuu wetu wa nchi atakuwepo pia Chato ni sehemu ya Tanzania.
 
tusihukumu mazishi bado hayajafanyika...........huenda wamepanga kuja siku ya mazishi Chato.
 
Acha kihelehele ,ukihisi kuwashwa jikune kidogo.Msiba bado haujaisha na bado tuna siku 21 mbele wanaweza kuja siku yeyote hata baada ya kuzika huo ndio utamaduni wetu wa Afrika😂😂😂😂
 
Utanyooka tuu Mataga wewe
Mama ameshika usukani
Mmezoea kupiga dili Sasa mtakula mavi yenu

Nliwaambia muache hiyo tabia ya wizi hamkusikia
Pambaneni na hali zenu mataga nyie

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile ap

Ni kitu gani kinakufanya udhani Rais Samia hakuwa MATAGA wakati yeye alikuwa no.2.
 
Sasa kama ni hivyo, si wangeweza kuja lakini wakakaa mbali wasisogelee karibu au wanasubiri azikwe ndipo waje? Hii sio sawa hata kidogo na sio afya kwa mustakabali wa EAC.
Mnazungumza as if Rwanda na Uganda hakuna COVID-19!!

M7 na PK wanajuwa vizuri jinsi ya kujikinga na maambukizi, binafsi naona kuto udhulia kwao msiba bila shaka walishauriana kwa kina na kufikia uhamuzi wa kutoshiriki kwenye msiba, tukiwekea maanani jinsi PK na M7 walivyo kuwa karibu sana na JPM lazima tutabaki tunajiuliza maswali mengi upande wetu labda kuna kitu hakikukaa sawa.
 
Hii stori yake naweza ipata wapi au unaweza nipa angalau kidogo
911sep11 kaandika hivi "nine one one( emergence call)
Sep(september) eleven(siku ya shambulio) 911sep11"
Kwa maono yangu hapo kamaliza.

Kama unataka kujua historia ya shambulio la kigaidi lililotokea Marekani sep 11, google tu utapata historia yote. 911 ni namba ya simu ya Emergency, ukiwa marekani na kupatwa na janga la haraka (ugonjwa, moto au ugaidi) unapiga na wao hujua wakusaidie vipi.
 
Back
Top Bottom