Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Usiendelee kuniamini kwa maana sio lazima
Nilijua lazima utapanick.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiendelee kuniamini kwa maana sio lazima
Hii stori yake naweza ipata wapi au unaweza nipa angalau kidogoNimelipenda jina lako, lenye tafsiri kubwa sana si kwa Marekani tu bali hata kwa Dunia.
Yaani imekaa vizuri sana hiyo 911 ambayo ndiyo tarehe 9/11. Siku hiyo wamaekani walikuwa wanapiga namba 911 bila kujua ndio namba ya mafanikio kwa Magaidi katika kubadilisha historia ya Marekani. Hongera mbunifu!
Wanawake pasua kichwaHawapati kitu....maza yupo makini *****
Sawa bossNilijua lazima utapanick.
Utanyooka tuu Mataga wewe
Mama ameshika usukani
Mmezoea kupiga dili Sasa mtakula mavi yenu
Nliwaambia muache hiyo tabia ya wizi hamkusikia
Pambaneni na hali zenu mataga nyie
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile ap
Mnazungumza as if Rwanda na Uganda hakuna COVID-19!!Sasa kama ni hivyo, si wangeweza kuja lakini wakakaa mbali wasisogelee karibu au wanasubiri azikwe ndipo waje? Hii sio sawa hata kidogo na sio afya kwa mustakabali wa EAC.
911sep11 kaandika hivi "nine one one( emergence call)Hii stori yake naweza ipata wapi au unaweza nipa angalau kidogo