Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Kitu cha beberu(America),ile ya urusi inaitwa Sputnik V mkuu.Hivi PFZER ni ile ya mrusi nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu cha beberu(America),ile ya urusi inaitwa Sputnik V mkuu.Hivi PFZER ni ile ya mrusi nini?
Kumbe mzigo wa States kabisa😁Kitu cha beberu(America),ile ya urusi inaitwa Sputnik V mkuu.
Msimlahumu Salva Kirr, Taifa lake limepoteza mawaziri chungu mzima pamoja na Majenerali wa jeshi lake.Salva Kirr wa Sudan kusin naye hakuja wala kutuma mwakilishi wake..wakati wa uhai wa JPM wakiwa Mwenyekiti wa EAC ndiye aliyeidhinisha nchi hio kuwa mwanachama wa EAC
😂 😂 😂Kenya ndio size yatu hapa EA, so kaja kwa mbabe mwenzake kumpa pole. Hao wengine ni Dada zetu.
Msiwe na haraka wanakuja chatoMasnichi tu wale, afu magu ndo alokua anacheka nao zaidi kuliko hata kenyatta alokuja kumzika
Ubinadam kaz sana dahWatu wazima wale wana sababu zao za msingi tuu.
Kwani Magufuli aliposhindwa kwenda kumzika Mugabe ilikua kesi?
Msilazimishe watu wampende marehemuYaani Mzee ingekuwa wao ndio wamekufa lazima angeenda binadamu ni wanafiki sana tena ndio walionekana wa karibu..