Kitendo cha Mwakalebela kuita waandishi na kulalamika ni Ushamba

Kitendo cha Mwakalebela kuita waandishi na kulalamika ni Ushamba

Unaisolveje changamoto wakati tff yote ni simba tupu, hakuna pa kupenyea. Kesi ya ngedere unampelekea nyani kuna kitu hapo?!

Mechi tunaangalia zote za simba na yanga, penye uonevu panaonekana wazi tu.

Hizo danadana za kesi za yanga mnadhani hatuoni

Kuna haja gani ya kuendelea kucheza kama mmeishapanga bingwa, si bora kujiondoa mjitangaze kabisa.
Tuki balance equation ni hivi points yanga alizovuna kwa kufaidika na maamuzi mabovu ya marefa(kubebwa) ni nyingi kuliko points alizonyimwa.

Hapo ndio ujue wewe ni utopolo kweli yaani unaongelea mechi za kutobebwa tu wakati mmebebwa kwenye mechi zaidi ya 4 . Kama umesahau sema ukumbushwe.
 
Kibaya zaidi kaongelea kama Yanga haitafaidika na maamuzi ya referee uwanjani. What if Mwamnyeto kaunawa kwenye 18? What if Nchimbi kabaki na kipa kapaisha? Vip kama Mauya akapigana na mtu alafu apewe umeme? Yote hayo hajayasema wakati yanaweza kutokea. Hata timu mnayocheza nayo ina haki ya kulalamika against maamuzi mabovu kama haya.

Anyway Gomeeni Ligi Alafu tuone mtaishije na Kina Sarpong wenu. Tuone mtapata wap pesa ya kumlipa Tambwe😂😂😂 Alafu tuone kama mkigoma ligi itasimama kwa ajili yenu au Lah.

Ligi ikisimama kwa ajili yenu nyie mtakua virusi vya Corona, ikiendelea sisi tutakua tumepuuzia virusi vya Corona 😂😂😂

Uto katika ubora wenu
Hayo unayoongea yameshatokea mechi ya kwanza yanga na kagera Mwamnyeto alinawa mpira ndani ya 18 lakini hatukusikia yanga wanasema chochote
 
Kama kweli Mwakakebela ana masters basi hicho chuo kilichompa hicho cheti kinapaswa kufutwa kabisa duniani.Masters sio cheti cha ndoa jamani!
Wewe ulipost hii taarifa ndio mshamba mkubwa wewe kwa elimu yako ya masuala ya mpira utajilinganisha na Mwakalebela usimfundishe kitu cha kuongea utajilinganisha na mtu mwenye Masters mikia ni mikia tu ndio shida ya kuuza timu kwa wahindi Mo mhindi ceo ndio walewale meneja wa timu ya wanawake mtoto wa Mo hapi ndipo mtu mwenye akili angequestion hapo oo kwa sababu tunapata matokeo mazuri basi hivi uliisikia taarifa ya fedha ya simba kwa nwaka uliopita mmepigwa na hamjitambua kazaneni na hayo sio habari za Mwakalebela wewe kubishana na Mwakalebela ni sawa na mtoto wa darasa la nne kubishana na mwanafunzi wa chuo kikuu katika mambo ya Equestion
 
Ni kweli waamuzi wanaionea sana Yanga bana, acheni ukweli usemwe.

Tunaangalia mechi za simba na pia tunaona mechi za yanga.
Hawa waamuzi Ni wengine au ndiyo hao hao walichezesha wakati mlipokuwa mnashinda.Leo wakaanza kuwaonea.
 
Mi najiuliza hivi yule Mwakalebela aliyekuwa Tff na huyu wa yanga ni mmoja, kama ni mmoja kwanini alipokuwa Tff alifanya kazi vizuri lakini alipokuja yanga amekuwa utopolo.

Tatizo linaweza kuwa yanga au Mwakalebela binafsi.
Hili swali linataka kufanana na mambo y ama vyama ya siasa ukiwa upande fulani unaonesha umahiri na akili timamu na ukiingia kwenye li chama fulanibunakuwa kama nguruwe unaweza kula hata watoto wako bila kuona aibu
 
Hawa waamuzi Ni wengine au ndiyo hao hao walichezesha wakati mlipokuwa mnashinda.Leo wakaanza kuwaombea.
Hapa tumuulize Jecha alipojaribu kufuta na alipotaka kujaribu ku ... vipi alionekana katika jamii na anajihisi vipi?
 
Mimi ni shabiki wa Yanga kama nijulikanavyo hapa jukwaani.

Ila nimeshangaa kinoma kuona Mwakalebela akiitisha vyombo vya habari na kuanza kulalamika kuhusu kuonewa na waamuzi viwanjani, cha ajabu zaidi anasema kuwa Yanga itajitoa kwenye ligi endapo changamoto alizozisema zikiendelea. Binafsi ninaona ni ujinga wa kiwango cha juu zaiidi kwa kiongozi mkubwa kama yule wa klabu kufanya jambo kama lile la kijinga.

Ni kweli changamoto ya uamuzi imeonekana, lakini sio sababu ya Timu kushindwa kufanya vizuri mpaka uitishe vyombo vya habari na kuanza kuwalalamikia wengine kwa makosa yao wenyewe viongozi. Kushindwa kupata matokeo mazuri recently kumetokana na machaguo ya kijinga ya mwalimu na sio kwa sababu ya kunyimwa penati.

Ushamba huu iliwahi kufanywa na Haji Manara alipokuwa anaita waandishi wa habari akiwa na Flat Screen akionyesha jinsi Simba ilivyokuwa inanyimwa penati. Sasa inakuwaje kiongozi wa juu wa hadhi yake arudie kufanya ushamba wa aina hii?

Ametukera na kutuudhi wengi.
Huyu ni wa kumtimua tu
FB_IMG_1613765268013.jpg
 
Wewe ulipost hii taarifa ndio mshamba mkubwa wewe kwa elimu yako ya masuala ya mpira utajilinganisha na Mwakalebela usimfundishe kitu cha kuongea utajilinganisha na mtu mwenye Masters mikia ni mikia tu ndio shida ya kuuza timu kwa wahindi Mo mhindi ceo ndio walewale meneja wa timu ya wanawake mtoto wa Mo hapi ndipo mtu mwenye akili angequestion hapo oo kwa sababu tunapata matokeo mazuri basi hivi uliisikia taarifa ya fedha ya simba kwa nwaka uliopita mmepigwa na hamjitambua kazaneni na hayo sio habari za Mwakalebela wewe kubishana na Mwakalebela ni sawa na mtoto wa darasa la nne kubishana na mwanafunzi wa chuo kikuu katika mambo ya Equestion
Wewe kama shabiki, balance sheet ya Yanga au Simba inakusaidia au inakuongezea nini mfukoni??

Tuseme ni kweli akina Mo wanapata faida, Je ulitaka wasipate wakati wakati wamefanya Investment ya kutosha pale??

Mwisho, zile pesa mlizokuwa mnachanga kwenye mabakuri uliuliza zilikuwa zinaenda wapi?
 
Tuliwaambia achaneni na mechi ya As Vita vs Simba, kwani inaweza kuwaathiri kisaikolojia hamkusikia....sasa na Morison ndo anazidi kuwakera unadhani mtu mzima Mwakalebela ataacha kudata?stay away from Simba guys kwa mustakabali wa afya zenu.
Akiwa TFF pamoja na Malinzi ndio walisababisha Simba akae mitano bila ubingwa. Sasa kinachoendelea ndio kinaitwa KARMA
 
Wewe ulipost hii taarifa ndio mshamba mkubwa wewe kwa elimu yako ya masuala ya mpira utajilinganisha na Mwakalebela usimfundishe kitu cha kuongea utajilinganisha na mtu mwenye Masters mikia ni mikia tu ndio shida ya kuuza timu kwa wahindi Mo mhindi ceo ndio walewale meneja wa timu ya wanawake mtoto wa Mo hapi ndipo mtu mwenye akili angequestion hapo oo kwa sababu tunapata matokeo mazuri basi hivi uliisikia taarifa ya fedha ya simba kwa nwaka uliopita mmepigwa na hamjitambua kazaneni na hayo sio habari za Mwakalebela wewe kubishana na Mwakalebela ni sawa na mtoto wa darasa la nne kubishana na mwanafunzi wa chuo kikuu katika mambo ya Equestion
Equestion ndo nini wewe kilaza? Huna elimu,huna akili. Hujui kiswahili. Hujui kiingereza. Wewe unakuaje mshabiki wa yanga? Unatetea upumbavu wa Mwakalebela au kwa sababu na yeye ni Mnyakyusa kama wewe? MWAipopo/ MWAkalebela ni Ukabila tu unakufanya utetee upumbavu na pia kukosa elimu. Eti Mwakalebela ana Masters. So what kama ana Mastering of Upumbavu in Zuzu Majiology? Nyani kabisa wewe ndo mnaosababisha Walimu watuite sisi Mbwa na Nyani sababu ya mauchafu haya yaliyojaa kichwani mwako..... Takataka kabisa,kichefu chefu wewe...
 
Ni kweli waamuzi wanaionea sana Yanga bana, acheni ukweli usemwe.

Tunaangalia mechi za simba na pia tunaona mechi za yanga.
Lile goli kona waamuzi hawakuipendelea yanga na ile penati ya simba waamuzi hawakuibeba yanga aka uto kidimbwi fc
 
Mimi ni shabiki wa Yanga kama nijulikanavyo hapa jukwaani.

Ila nimeshangaa kinoma kuona Mwakalebela akiitisha vyombo vya habari na kuanza kulalamika kuhusu kuonewa na waamuzi viwanjani, cha ajabu zaidi anasema kuwa Yanga itajitoa kwenye ligi endapo changamoto alizozisema zikiendelea. Binafsi ninaona ni ujinga wa kiwango cha juu zaiidi kwa kiongozi mkubwa kama yule wa klabu kufanya jambo kama lile la kijinga.

Ni kweli changamoto ya uamuzi imeonekana, lakini sio sababu ya Timu kushindwa kufanya vizuri mpaka uitishe vyombo vya habari na kuanza kuwalalamikia wengine kwa makosa yao wenyewe viongozi. Kushindwa kupata matokeo mazuri recently kumetokana na machaguo ya kijinga ya mwalimu na sio kwa sababu ya kunyimwa penati.

Ushamba huu iliwahi kufanywa na Haji Manara alipokuwa anaita waandishi wa habari akiwa na Flat Screen akionyesha jinsi Simba ilivyokuwa inanyimwa penati. Sasa inakuwaje kiongozi wa juu wa hadhi yake arudie kufanya ushamba wa aina hii?

Ametukera na kutuudhi wengi.
Natamani nikupe like nyingi.
Hivi simba na Yanga ujinga huu unatokana na nini?
Mbona timu nyingine changamoto hizo zipo nyingi sana lakini wakilalamika hivyo?
Hata Ulaya pamoja na VAR lakini matatizo hayaishi lakini usikii viongozi au kocha kuwalalamikia wamuzi kama wanavyofanya Simba na Yanga.
Afu kibaya ikiwa makosa yamewafavour wao hawasemi
Yaaani hawa mapacha bhana shida sana. Ko mwakalebela alivyoona Manara kaleta TV kuelezea makosa ya marefa akaona anafaidika sana?
Manara alisema wataenda FIFA mashabiki wa Yanga walitania sana kua wazee wa FIFA,
Pacha mwenzake kaja na Kali zaidi kua atajitoa kwenye mashindano yeye hata FIFA hawaiamini.
Jamani tucheze mpira, uishie uwanjani. Huku njema tuchekane ndio utani wetu. Wache marefa wafanye kazi yao.
 
Wewe ulipost hii taarifa ndio mshamba mkubwa wewe kwa elimu yako ya masuala ya mpira utajilinganisha na Mwakalebela usimfundishe kitu cha kuongea utajilinganisha na mtu mwenye Masters mikia ni mikia tu ndio shida ya kuuza timu kwa wahindi Mo mhindi ceo ndio walewale meneja wa timu ya wanawake mtoto wa Mo hapi ndipo mtu mwenye akili angequestion hapo oo kwa sababu tunapata matokeo mazuri basi hivi uliisikia taarifa ya fedha ya simba kwa nwaka uliopita mmepigwa na hamjitambua kazaneni na hayo sio habari za Mwakalebela wewe kubishana na Mwakalebela ni sawa na mtoto wa darasa la nne kubishana na mwanafunzi wa chuo kikuu katika mambo ya Equestion
Chama cha soko Afrika kusini kinatakiwa kiondoe adhabu ya Luc. Kumbe alikua sahihi kabsa.
Ndio maana CAF na FIFA hawakuona shida yoyote hadi kumfungia Luc
 
Back
Top Bottom