Kitendo cha Mwigulu kumtaja Rais kuhusika na ufisadi Ripoti ya CAG ni sahihi?

Kitendo cha Mwigulu kumtaja Rais kuhusika na ufisadi Ripoti ya CAG ni sahihi?

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .

Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.

 
Mbona Rais anapopeleka maendeleo sehemu mbalimbali huwa wanamsifia? amejenga zahanati, barabara, madarasa, sifa zote kwake..

Tena Ole Sendeka ndie huwa kinara wa kutoa hizo sifa.

Kwanini basi hizo pesa Rais anazopeleka kwenye hayo maendeleo zikipigwa asihusishwe? badala yake lawama waangushiwe watendaji tena kwa kunukuu ibara ya Katiba?!

Basi kama ndio hivyo, kuanzia leo wanapojenga barabara, shule, zahanati.. pongezi wapelekewe hao watendaji.

Lakini tofauti na hapo, Rais anahusika kwa yote hayo, Mwigulu yupo sahihi, ndio maana Rais amekuwa mpole kwa wapigaji, anawabembeleza waondoke wenyewe ofisini.
 
Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .

Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.

Kwani anayeidhinisha mwigulu yupo sahihi mama hajui lolote yeye ni kusaini tu

USSR
 
Kama anahusika asitajwe ,?? Watanzania ni vichwa maji sana ,hakuna mtu mwenye akli timamu anaweza hangaika na ripoti ya CAG , ni ripoti flan hv ya kuwafanya watanzania wawe busy kujadili
Kwahiyo imetungwa na tusijadili mstakabari wa nchi yetu...bora madeni yakizidi tuuze nchi kila mtu ajue ataenda ishi wapi
 
Back
Top Bottom