WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Kajitakia unaweka mwizi kuwa Waziri wa fedha si kujiletea laana nchini?Samia hili jibwa kafuga mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajitakia unaweka mwizi kuwa Waziri wa fedha si kujiletea laana nchini?Samia hili jibwa kafuga mwenyewe
Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Mbona amesema jambo kubwa kama Hilo lazima mamlaka ijue?Kwani anayeidhinisha mwigulu yupo sahihi mama hajui lolote yeye ni kusaini tu
USSR
Kuidhinisha ni jambo Moja na kutumia inavyotakiwa ni jambo jingineSasa kwa nini Rais analalamika wapigaji na yeye ndiye muidhinisha malipo?
Na mimi naamini kuwa hili deal lilifanywa na mwendazake akiwa na watu wake kule BOT na Hazina tayari palikuwa na MTU wake SASA mama kaingia akafanya mabadiliko ya ghafla hapo ndipo lilipobumbuluka na vocha ilipokuja ikabidi wafanye nao "Betting" wapime kina cha maji wakakuta mzanzibari kiberiti kimejaa sio Tena kama vile viberiti vya zamani vya Kibo match box toka Moshi.,MKEKA UMECHANIKAKama ni Rais yule mwendazake inawezekana Mwigulu anasema ukweli mtupu.
Si ilikuwa tunasema hii ni Serekali ya JPM na akawa anaamua atakavyo yeye maana ni Serekali yake.
Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Ndio nimsiki hapa hyo kauli ya mwigulu imemake headlight kwenye vyombo vingi vya hbrMwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Wewe si chawa wake kulikoni?Kwani anayeidhinisha mwigulu yupo sahihi mama hajui lolote yeye ni kusaini tu
USSR
Zimponze Kwa kusema ukweliZile basi 60 za EASTER zitamponza mtu we subiri
Hata Simba,vichaa nk Huwa wanaogopa Moto.Mwigulu Nchemba ana matatizo sehemu, hasa gholofani
Yule sidhani, Kwa kibri kile!!!!Utenguzi, utenguzi, utenguzi nisuala la muda tu Zuhura atalijulisha taifa kwamba mtu ameondolewa huko jikoni
Unataka kusema rais hajui? Basi kama hajui malipo na kuzuia, tatizo kubwaMzee wa TRAB na TRAT ni kawaida yake kujikanyaga anapobanwa ila anakula mno "Stupid"
Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Ametoboa Siri nyingine ya baraza la mawaziri.. anasahau alishika vile vitabu na kusema sitotoa Siri ya .....ameitendea haki, ile kanuni ya chama " ntaisema kweli daima"