Kitendo cha Mwigulu kumtaja Rais kuhusika na ufisadi Ripoti ya CAG ni sahihi?

Kitendo cha Mwigulu kumtaja Rais kuhusika na ufisadi Ripoti ya CAG ni sahihi?

Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .

Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.


laana ya kuwatukana watanzania waende burundi mara unawaita wabunge wenzako waganga wa kienyeji kama alivyosema mbunge wa Igalula mh venant, mh katani alisema mwigulu ana academic arrogance ndio maana unajikuta unamtaja hadi rais kuhusika na wizi wako mtaendelea kutajana mmoja baada ya mwingine na wallah nakuhakikishia mwigulu laaana hiyo ya watanzania itakutafuna sasa na hadi akhera....


 
Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .

Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.


Endeleeni kutajana tu ccm mbele kwa mbele.
 
Walahi napata raha mimi hawa mburula wakitafunana
FB_IMG_1626856519720.jpg
FB_IMG_1616545580714.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mbona Rais anapopeleka maendeleo sehemu mbalimbali huwa wanamsifia? amejenga zahanati, barabara, madarasa, sifa zote kwake..

Tena Ole Sendeka ndio huwa kinara wa kutoa hizo sifa.

Kwanini basi hizo pesa Rais anazopeleka kwenye hayo maendeleo zikipigwa asihusishwe? badala yake lawama waangushiwe watendaji tena kwa kunukuu ibara ya Katiba?!

Basi kama ndio hivyo, kuanzia leo wanapojenga barabara, shule, zahanati.. pongezi wapelekewe hao watendaji.

Lakini tofauti na hapo, Rais anahusika kwa yote hayo, Mwigulu yupo sahihi, ndio maana Rais amekuwa mpole kwa wapigaji, anawabembeleza waondoke wenyewe ofisini.
Wenye akili wameelewa! Thanks!
 
Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .

Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.


Kwa haya yanayoendelea ya report ya CAG ingekua vyema kama tungeona wafia CCM na uvccm hoja zao hapa!! Wakikaa kimya basi Taifa halina vijana thabit wenye kuhoji na kuchukia rushwa na ufisadi. Hata uvccm wasipokemea nao wanatamani nafas za kuiba!!
 
Back
Top Bottom