Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamejaa unafiki hao.. waache basi kumtajataja Rais hata kwa vitu vya hovyo..Mbona Rais anapopeleka maendeleo sehemu mbalimbali huwa wanamsifia? amejenga zahanati, barabara, madarasa, sifa zote kwake..
Tena Ole Sendeka ndie huwa kinara wa kutoa hizo sifa.
Kwanini basi hizo pesa Rais anazopeleka kwenye hayo maendeleo zikipigwa asihusishwe? badala yake lawama waangushiwe watendaji tena kwa kunukuu ibara ya Katiba?!
Basi kama ndio hivyo, kuanzia leo wanapojenga barabara, shule, zahanati.. pongezi wapelekewe hao watendaji.
Lakini tofauti na hapo, Rais anahusika kwa yote hayo, Mwigulu yupo sahihi, ndio maana Rais amekuwa mpole kwa wapigaji, anawabembeleza waondoke wenyewe ofisini.
Kama Manager anamwita karani STUPID,Ametoboa Siri nyingine ya baraza la mawaziri.. anasahau alishika vile vitabu na kusema sitotoa Siri ya .....
Aisee acha tuone huu ni mwanzo tu mwisho bado haujatoka kwa maana hio mama analalamika Ila upande wa pili yeye mwenyewe ndie anapiga saini wezi na wapigaji wachukue pesa ?
Hii ndio ile unaibiwa alafu unapewa mkono wa pole na mtu aliekuibia
Noma na Nusu kwa hio kwenye wizi ambao hadi wanaokula pesa anawaita stupid pumbavu na yeye yumo ?
Sasa km ni hivyo na yeye tumuiteje ?
Hapigwi mama!!¡!Mama atapigwa sana... Nchi kubwa sana..hatoiweza kamwe
Anapigwa yeye ila maumivu sisi mkuu...Hapigwi mama!!¡!
Wanapigwa wananchi, Si Walio hai tu, wanapigwa Hadi ambao Bado hawajazaliwa.
Maana watalipia wasichokifaidi.
Angekuwa anapigwa ungeona ishara au hasira,Anapigwa yeye ila maumivu sisi mkuu...
Aisee..
Achukizwe ili!?? Mtu anakula mema ya nchi.Angekuwa anapigwa ungeona ishara au hasira,
Umeona dalili ya kuchukia wizi Kwa vitendo?
Unamaanisha nini?Kama sio leo basi kesho
Heri yako unaekula mtori ukitarajia kukuta nyama chini. Wenzako hali teteTuendelee kula mtori
Ameamua kujivisha bomu mara puuuuuu moto mkubwaMwigulu amekata mzizi wa fitina.
Ukinyolewa usipotulia utakatwa,akileta mbwembwe atatoka na majeraha kichwaniYule sidhani, Kwa kibri kile!!!!
TeteaWatajuana huko huko [emoji2957][emoji2957]
Nyama ziko chiniTuendelee kula mtori