Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Mwigulu ana shida gani katika hilo?Mwigulu Nchemba ana matatizo sehemu, hasa gholofani
ni sahihi kabisa.....inakuwaje rais unamteua chokoraa asiye na adabu kuwa mawaziri? tena waziri wa fedha na mipango?Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Ndio ukweli amna malipo yanayofanya makubwa bila kupata kibali cha raisiAnamkosea sana Rais!
Kwahiyo Rais anashiriki upigaji?
Huyo leo siku isiishe hajawajibishwa.
Wewe hujawahi kuwa na uwezo wa kufikiri nakuhurumia sanaMwigulu Nchemba ana matatizo sehemu, hasa gholofani
Unataka tufanane mtazamo? Hata wanasansi wanapingana kwa theories sio kwa porojo kama zako.Wewe hujawahi kuwa na uwezo wa kufikiri nakuhurumia sana
Mwili mkubwa akili kisoda
"Stupid" natamani sana "Prof. Mussa Assad" ateuliwe waziri wa fedha yule bwana anahofu ya Mungu.Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Mwigulu sio mwadilifu ila alichokisema bungeni ni cha kweli tupu ila mnataka kumtoa kafara (scapegoat) kuepuka dhahama ya siku chache zijazo kwenu ninyi watawala wezi, walafi na wabadhirifu wa mali za umma na wenye dhuluma lukuki dhidi ya wananchi wa kawaida.Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Kama vile kuna kaukweli kwa mbaaaaaliLazima wa, usharau tu; haiwezekani watu wanapiga pesa mtu amekaa kimya. Ni kweli mama anahusika
Ww ni GT,unastahili nyota 3Mbona Rais anapopeleka maendeleo sehemu mbalimbali huwa wanamsifia? amejenga zahanati, barabara, madarasa, sifa zote kwake..
Tena Ole Sendeka ndie huwa kinara wa kutoa hizo sifa.
Kwanini basi hizo pesa Rais anazopeleka kwenye hayo maendeleo zikipigwa asihusishwe? badala yake lawama waangushiwe watendaji tena kwa kunukuu ibara ya Katiba?!
Basi kama ndio hivyo, kuanzia leo wanapojenga barabara, shule, zahanati.. pongezi wapelekewe hao watendaji.
Lakini tofauti na hapo, Rais anahusika kwa yote hayo, Mwigulu yupo sahihi, ndio maana Rais amekuwa mpole kwa wapigaji, anawabembeleza waondoke wenyewe ofisini.
Hapo kwa kweli alikosea!! Alilalamika tu kuwa wanakula kwa kuvuka urefu wa kamba zao hadi wanavimbiwa!! Ilitoa picha kuwa wakila kwa mujibu wa urefu wa kamba zao na wasivimbiwe hilo siyo tatizo!!Rais ali bariki wizi. Wale kwa urefu wa kamba yao.
Kajitakia unaweka mwizi kuwa Waziri wa fedha si kujiletea laana nchini?
Mwigulu ni mwizi tangu enzi za Kikwete na kuna tuhuma ilikuwa inamhusu moja kwa moja ila kwa vile ccm imekaa kwa maslahi ya kulindana ndiyo maana unaona bado yupo kwenye Baraza la Mawaziri na kupewa Wizara nyeti ambayo ndiyo Roho ya nchi.hakujua kama atakuwa mwizi