Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Hii Nchi ina matatizo sana,sio wabunge sio Wananchi wote hawajui jinsi mifimo ya uendeshaji wa Nchi.
Nilisema siku ile kuwa SAMIA anachukulia watu kama wajinga na ni kweli ni wajinga,labda anafanya kwa malengo yake ya kisiasa.
Malipo ya projects kubwa hizo zinapitishwa na Katibu Mkuu Kiongozi,ambaye ana pata idhini moja kwa moja kutoka kwake.Sasa iweje aseme watu wanaongeza bei.
Nilisema siku ile kuwa SAMIA anachukulia watu kama wajinga na ni kweli ni wajinga,labda anafanya kwa malengo yake ya kisiasa.
Malipo ya projects kubwa hizo zinapitishwa na Katibu Mkuu Kiongozi,ambaye ana pata idhini moja kwa moja kutoka kwake.Sasa iweje aseme watu wanaongeza bei.