TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,321
- 7,501
Habri wajomba nazn kunawale vpanga/wachambuzi wenye IQ zao tusaidiane hapa
1:- Kuiitisha jesh la akiba inamaana Jeshi kamili la urusi limemalzwa kwenye uwanja wa pambo..?
2:- Huu ni mwanzo wa vita kamili kwa mrusi zidi ya NATO
3:- JESHI kamili la mrusi (activ personal lipo )?
4:- Mrusi anawez kujishusha mwenyew kuacha vta hii au tunaenda katik vta ya maangamizi?
1:- Kuiitisha jesh la akiba inamaana Jeshi kamili la urusi limemalzwa kwenye uwanja wa pambo..?
2:- Huu ni mwanzo wa vita kamili kwa mrusi zidi ya NATO
3:- JESHI kamili la mrusi (activ personal lipo )?
4:- Mrusi anawez kujishusha mwenyew kuacha vta hii au tunaenda katik vta ya maangamizi?