Hoja ya Russia kucheza mziki wa nchi 30 haina mashiko kwani
Russia pekee ni kubwa mara nne zaidi kuliko ulaya in terms of surface area. Jiulize Uingerezaalitawala nchi ngapi mbona hazikufurukuta...
Issue hapo ni ubora katika kila kitu.
2. Maeneo anayoshikilia ni pro Russian, kwamba hata yenyewe hayaitaki Ukraine , yaan Russia kwenye hayo maeneo yupo nyumbani.
3. Ukweli utabaki ukweli bila nyuklia Russia ni wa kawaida.
Ana silaha Kali na nyingi sana ila kuna maamuzi na matendo anajichanganya anapasuka kizembe.
4. Mobilization simply means the losses they incurred. Wanaongezwa wajeshi kufidia waliokufa
TUWE WAPOLE PANDE ZOTE yaan waukraine wa buza na warusi wa buza baada ya miezi sita tena tokea leo tuone.
Russia will escalate ila Ukraine atapoa atamsubiri Russia ajae kwenye aweke kambi kubwa na miundo mbinu muhimu. Katatokea kasilaha kengine mbaya kuliko HIMARS