Kitendo cha Shilawadu ni cha kulaaniwa

Kitendo cha Shilawadu ni cha kulaaniwa

Ila hao Shilawadu wamezidi kuingilia privacy na maisha binafsi ya watu, japo vile vile simtetei Le mbabaz
 
Tena muandamane wiki nzima mfululizo mpaka mavitambi yaishe, shubamiti.. Mi niko nacho cha kuvalia shati wala hakikeri, nikiwa nimevaa nguo hakionekani labda mpaka niwe bila nguo
Kinakua hicho mkuu wewe jipe moyo
 
TATIZO HIKO KIPINDI WAASISI WAKE NI WALE 2 PEOPLE.. MIMI NAKIRI HKO KIPINDI SJAWAH KUKITIZAMA NAKISIKIA TU KWENYE MIJADALA KAMA.. Mtoto wa kiume unatizama kipindi cha kpuuzi ili iweje
 
Mbaya zaidi unaulizwa na mtoto mbele ya mkeo wkt na ww unacho
naungana na wewe! vipindi vingi sasa hivi vya TV vimeanza kukosa maadili, kama mamlaka husika haitochukua hatua zitasababisha mmomonyoko wa maadili kwa kiasi kikubwa! jana nilijiuliza maswali mengi sana

1. Je kama mtu unaangalia kile kipindi na familia yako halafu mtoto mdogo akauliza kibamia ni nini? au kwanini wamevaa bamia?

2. Pili najiuliza tu je Kuwa na maumbile madogo ni hali ambayo mtu anajitakia au ni sababu za kimaumbile tu? kimtizamo wangu hii hali inatokana na maumbile ya mtu, na haipaswi kuchukuliwa kimzaa hivi! kama ni ugonjwa basi ni ugonjwa kama mwingine hauhitaji fufanyiwa mzaha kiasi hiki!

3. je hivi vituo vya luninga wanafanya uhakiki wa vipindi kabla havijarushwa hewani?
 
Si tu hvo,,mimi kilichoniboa,japo sijaangalia but wame mdhalilisha le mutuz,kuanzia kweny page yao mpka huko kwny tv,media kama ile hawakupaswa kushabikia udhalilishaji ule,,japo le baharia ameyataka mwenyewe ila ubinadamu lazima ungetumika,,,TCRA wapo wapi ?
Kwahyo wataka kusema mtu akisema Kibamia sasa Hivi ni lemutuz..wao kuvaa bamia ni lemutuz kudhalilishwa
 
Shilawadu ni kipindi cha ovyo kabisa sijawahi ona. Hata nashangaa kwa nn mpk leo bado kinapata air coverage,sijui TCRA wapo usingizini.!!
 
Kwenye issue ya Gwajima walitaka kutumia kipindi hichohicho kumkomoa Leo hii yamewafika wao mnaanza kuwaona shilawadu wabaya.
Acheni unafiki mngeanza kukikataa toka wakati ule sio sababu sasa mnaumbuka.
Huyo lemutuz ndio alikuwa mmiliki wa mtandao wa ze utamu kashafanya kashfa nyingi sana mpk ikafungiwa.
 
Kitendo cha Shilawadu jana kufanya neno "kibamia" kieleweke hata kwa watoto wa primary ni cha kulaaniwa.

Leo nimeshuhudia vitoto vikielezana maana ya kibamia baada ya mama muuza mbogamboga kupita mtaani.

Kiukweli neno kibamia ilikua ni tafsida ambayo haikupata kuwekwa hadharani kila mtu ajue.

Sasa hivi vitoto tena vya kike vilikua vinacheka kuona vibamia vidogo, ukubwani mwao watataka mtu mwenye maumbile gani!?

Huu si mmomonyoko wa maadili ambao unachangia na vyombo vya habari, bila kujua.
That mins kutakuwa na ongezeko la single moms na watt wa nje ya ndoa na wanawake wanaotaman kuolewa wengiii mana competion itakuwa kubwa sana ya kutaka mihogo na ukizngatia wanaume ni wachache...
 
Back
Top Bottom