hyperbolic
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 459
- 525
Acha wehu hahahahahaWa kulaumiwa ni le super kokobang...kwanini anakibamia???
Marahaba mwanangu. Sio kwema tumedhalilishwa saivi kila mwenye kitambi wanajua ana kibamiaShikamoo Dady..... Kwema?
Kinakua hicho mkuu wewe jipe moyoTena muandamane wiki nzima mfululizo mpaka mavitambi yaishe, shubamiti.. Mi niko nacho cha kuvalia shati wala hakikeri, nikiwa nimevaa nguo hakionekani labda mpaka niwe bila nguo
Sawa sawa mkuuUsijali wewe tafuta pesa tu!
Watakuja unaowataka wewe
Pesa sabuni ya roho!
naungana na wewe! vipindi vingi sasa hivi vya TV vimeanza kukosa maadili, kama mamlaka husika haitochukua hatua zitasababisha mmomonyoko wa maadili kwa kiasi kikubwa! jana nilijiuliza maswali mengi sana
1. Je kama mtu unaangalia kile kipindi na familia yako halafu mtoto mdogo akauliza kibamia ni nini? au kwanini wamevaa bamia?
2. Pili najiuliza tu je Kuwa na maumbile madogo ni hali ambayo mtu anajitakia au ni sababu za kimaumbile tu? kimtizamo wangu hii hali inatokana na maumbile ya mtu, na haipaswi kuchukuliwa kimzaa hivi! kama ni ugonjwa basi ni ugonjwa kama mwingine hauhitaji fufanyiwa mzaha kiasi hiki!
3. je hivi vituo vya luninga wanafanya uhakiki wa vipindi kabla havijarushwa hewani?
Victim yupi?nani ametajwa unafikiri kushtaki ni rahisi?What is happenings is cyber bullying. Namshauri victim akashitaki
Nimecheka kwenye daladala mpaka naonekana nimepagawa Ndugu hiyo kweli Ndugu nilijua peke yangu hahahahahajaWanaume wenye vitambi tuandame kupinga udhalilishaji wa Mange kwetu. Jana nimepita mahali na Likitambi langu mtu akanambia wewe kakaake Lemutuz kwema.
Wapige fine kwa ushahidi gani?labda wapige fine kwa mihemukoMamalaka husika isipowalima fine nitashangaa
ukweli ni kwamba huo ni aina ya unyanyapaa
kama vile kumnyanyapalia mlemavu wa ngozi
Kwahyo wataka kusema mtu akisema Kibamia sasa Hivi ni lemutuz..wao kuvaa bamia ni lemutuz kudhalilishwaSi tu hvo,,mimi kilichoniboa,japo sijaangalia but wame mdhalilisha le mutuz,kuanzia kweny page yao mpka huko kwny tv,media kama ile hawakupaswa kushabikia udhalilishaji ule,,japo le baharia ameyataka mwenyewe ila ubinadamu lazima ungetumika,,,TCRA wapo wapi ?
That mins kutakuwa na ongezeko la single moms na watt wa nje ya ndoa na wanawake wanaotaman kuolewa wengiii mana competion itakuwa kubwa sana ya kutaka mihogo na ukizngatia wanaume ni wachache...Kitendo cha Shilawadu jana kufanya neno "kibamia" kieleweke hata kwa watoto wa primary ni cha kulaaniwa.
Leo nimeshuhudia vitoto vikielezana maana ya kibamia baada ya mama muuza mbogamboga kupita mtaani.
Kiukweli neno kibamia ilikua ni tafsida ambayo haikupata kuwekwa hadharani kila mtu ajue.
Sasa hivi vitoto tena vya kike vilikua vinacheka kuona vibamia vidogo, ukubwani mwao watataka mtu mwenye maumbile gani!?
Huu si mmomonyoko wa maadili ambao unachangia na vyombo vya habari, bila kujua.