Kitendo cha simba kuwapiga as vita wakienda mazoezini mnajua athari ya kitendo hicho?

Hazard CFC

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2015
Posts
16,627
Reaction score
38,689
Sasa naanza kuelewa kwanini rage aliwaita simba mbumbumbu....zile video clips zikiwafikia CAF mtajiweka kwenye position mbaya sana nyinyi mbumbumbu..ndio mwanzo wakuanza kucheza bila mashabiki uwanjani.

Hao mnaowaita makomandoo hawajui lolote kuhusu soka wala sheria za soka acheni umbumbumbu

Simba mmelitia doa soka letu na nchi yetu inayosifika kwa amani doa kubwa sana.

Badilikeni mikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zile video nimeziona ,naona MTU anasema wanapigwa wanapigwa sioni anaepigwa wala kupigwa ,ila nimeona vita wanampiga mwandishi wa gazeti la Champion anaepigwa na watu wa Vita
 
Hizo video ziwekeni hapa basi tuzione
 
unajua Kwanini Goli la ugenini Lina thamani Kuliko la Nyumbani?

Ni kwasababu ya vitu Kama hivi!
 
We nawe ungenyamaza tu, umezidi kuongea upupu, wewe soka umeanza kulijua hivi karibuni ama maana umepagawa kama chawa

Happiness is a lifestyle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…