Kitendo cha simba kuwapiga as vita wakienda mazoezini mnajua athari ya kitendo hicho?

Kitendo cha simba kuwapiga as vita wakienda mazoezini mnajua athari ya kitendo hicho?

Sasa naanza kuelewa kwanini rage aliwaita simba mbumbumbu....zile video clips zikiwafikia CAF mtajiweka kwenye position mbaya sana nyinyi mbumbumbu..ndio mwanzo wakuanza kucheza bila mashabiki uwanjani.

Hao mnaowaita makomandoo hawajui lolote kuhusu soka wala sheria za soka acheni umbumbumbu

Simba mmelitia doa soka letu na nchi yetu inayosifika kwa amani doa kubwa sana.

Badilikeni mikia

Sent using Jamii Forums mobile app
Kakate rufaa ila Simba ndo hivyo robo finali.. Kamweneee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lipuli 1 ndala sc 0
Sasa naanza kuelewa kwanini rage aliwaita simba mbumbumbu....zile video clips zikiwafikia CAF mtajiweka kwenye position mbaya sana nyinyi mbumbumbu..ndio mwanzo wakuanza kucheza bila mashabiki uwanjani.

Hao mnaowaita makomandoo hawajui lolote kuhusu soka wala sheria za soka acheni umbumbumbu

Simba mmelitia doa soka letu na nchi yetu inayosifika kwa amani doa kubwa sana.

Badilikeni mikia

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom