Kitendo cha simba kuwapiga as vita wakienda mazoezini mnajua athari ya kitendo hicho?

Kitendo cha simba kuwapiga as vita wakienda mazoezini mnajua athari ya kitendo hicho?

Sasa naanza kuelewa kwanini rage aliwaita simba mbumbumbu....zile video clips zikiwafikia CAF mtajiweka kwenye position mbaya sana nyinyi mbumbumbu..ndio mwanzo wakuanza kucheza bila mashabiki uwanjani.

Hao mnaowaita makomandoo hawajui lolote kuhusu soka wala sheria za soka acheni umbumbumbu

Simba mmelitia doa soka letu na nchi yetu inayosifika kwa amani doa kubwa sana.

Badilikeni mikia

Sent using Jamii Forums mobile app
Simba, tff, na polisi wachukue hatua za haraka Sana kuwakamata na kuwafungulia mashtaka hao makomandoo
 
Na mwandishi wetu kapigwa

Happiness is a lifestyle
 
UKIJIJUA WEWE NI SHABIKI WA YANGEYANGE,YEBOYEBO,NDALA,MALOFA FC,MASUFURIA FC,MIBAKULI FC,OMBAOMBA FC,VYURA FC, BASI JUA KUWA AKILI ZAKO HAZINA TOFAUTI NA MJUSI................
 
UKIJIJUA WEWE NI SHABIKI WA YANGEYANGE,YEBOYEBO,NDALA,MALOFA FC,MASUFURIA FC,MIBAKULI FC,OMBAOMBA FC,VYURA FC, BASI JUA KUWA AKILI ZAKO HAZINA TOFAUTI NA MJUSI................
 
Sasa naanza kuelewa kwanini rage aliwaita simba mbumbumbu....zile video clips zikiwafikia CAF mtajiweka kwenye position mbaya sana nyinyi mbumbumbu..ndio mwanzo wakuanza kucheza bila mashabiki uwanjani.

Hao mnaowaita makomandoo hawajui lolote kuhusu soka wala sheria za soka acheni umbumbumbu

Simba mmelitia doa soka letu na nchi yetu inayosifika kwa amani doa kubwa sana.

Badilikeni mikia

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwekee hizo clips mkuu
 
Sasa naanza kuelewa kwanini rage aliwaita simba mbumbumbu....zile video clips zikiwafikia CAF mtajiweka kwenye position mbaya sana nyinyi mbumbumbu..ndio mwanzo wakuanza kucheza bila mashabiki uwanjani.

Hao mnaowaita makomandoo hawajui lolote kuhusu soka wala sheria za soka acheni umbumbumbu

Simba mmelitia doa soka letu na nchi yetu inayosifika kwa amani doa kubwa sana.

Badilikeni mikia

Sent using Jamii Forums mobile app
Umetumwa na zahera shoga mwenzio wa kike
 
Sasa naanza kuelewa kwanini rage aliwaita simba mbumbumbu....zile video clips zikiwafikia CAF mtajiweka kwenye position mbaya sana nyinyi mbumbumbu..ndio mwanzo wakuanza kucheza bila mashabiki uwanjani.

Hao mnaowaita makomandoo hawajui lolote kuhusu soka wala sheria za soka acheni umbumbumbu

Simba mmelitia doa soka letu na nchi yetu inayosifika kwa amani doa kubwa sana.

Badilikeni mikia

Sent using Jamii Forums mobile app
Simba watanyang'anywa ushindi.
 
Back
Top Bottom