Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Huwa nawashangaa sana CHADEMA mnapokuwa mnazungumzia siasa na kujikita kwenye ukabila. Wasukuma nikiwemo mimi ni watu tuliolelewa katika kutokuabudu ukabila. Lowassa alikuwa na wafuasi wengi sana kanda ya ziwa na mapokezi yake yalikuwa makubwa na haya yamejirudia. Nasema kwa mara nyingine kuwa wasukuma Mungu alitupendelea kutokutanguliza ukabila na ndio sababu tunaishi na makabila yote kama ndugu na hatubagui maduka ya makabila mengine kama mlivyo nyinyi wa NORTHLabda niandike nilichokificha ili uelewe vizuri uzi huu , kabla ya ujio wa Lissu watu wa Geita walikuwa wanatangaziwa kwa kisukuma kwamba Kuhudhuria mkutano wa Lissu ni Usaliti , ikiwa kama Magufuli anatakiwa kiasi unachokisema ilikuwaje jambo hili litangazwe kwa umma ? hata hivyo wananchi wamepuuza kinyama
Mkuu ndo Nini,
Chiiiiiiiiii! wewe hutujui vizuri wasukuma,
Dugitanaga " gubodelejiwa" bhugwelela bhudogo ebheeee
Ukweli huuma siku zote , bi kidude ndio anachekaje yeye ? Magufuli hoyee miaka5 tena , gwajima njia nyeupeeeeAcha kuvuta Bangi kisha kucheka kishamba shamba kama upo kijijini kolomije Tambua kuwa watanzania siyo wajinga wanajua propaganda za CCM zinapita sasa
# , " magufuli 5 tena"Kiashiria cha " NI YEYE 2020."
#Magufuli 5 tena👊Dalili moja wapo ya upumbavu ni kufunga macho kisha uamini mbele yako kuna giza ilihali ni mchana kweupe. ccm wanajipa moyo kwamba picha ni za zamani ilihali wanajua ni UONGO. Wamejikuta wametawanyika hoja za TL zimekua nzito sio mwenezi pekee aliyeshindwa kuzipagua ila hata Anko zinamsumbua na vile anaongozwa na jazba.
Picha za kuunga na gundi # magufuli 5 tena👊Hizi ni picha za 1620 by JPM
#Magufuli 5 tena👊
Mmeshikwa pabaya! oh upinzani umekufa, CDM imekufa, leo mnaloPicha za kuunga na gundi # magufuli 5 tena👊
mkuu mimi natokea KyelaHuwa nawashangaa sana CHADEMA mnapokuwa mnazungumzia siasa na kujikita kwenye ukabila. Wasukuma nikiwemo mimi ni watu tuliolelewa katika kutokuabudu ukabila. Lowassa alikuwa na wafuasi wengi sana kanda ya ziwa na mapokezi yake yalikuwa makubwa na haya yamejirudia. Nasema kwa mara nyingine kuwa wasukuma Mungu alitupendelea kutokutanguliza ukabila na ndio sababu tunaishi na makabila yote kama ndugu na hatubagui maduka ya makabila mengine kama mlivyo nyinyi wa NORTH
Tumia google translatorMkuu ndo Nini
UraisNimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.
Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu
Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?
Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .
Kwa mujibu wa wataalam wa magonjwa ya akili , mtu yeyote anayedhani ana akili kuliko wote huyo ni kichaa , yaani wewe Maghembe wa milimani ndio unajua sana mambo kuliko kamati kuu ya chadema !
Mkuu unaweza kufunguka zaidi kwenye hili ?Magu hajazaliwa mkoa wa Geita kule alienda baada ya mama yake kuolewapo
Nina maana kuwa hata jina la Joseph sio jina la baba yake halisi
Duh, hiyo namba sijui nimeosoma kwa kugeuza? Au ulimaanisha 1920 yaani miaka 2 kabla ya Nyerere kuzaliwa?Hizi ni picha za 1620 by JPM
Safi mtabiriMimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!
Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!
Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!
Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Tume watapika matokeo kujikosha kwa mkuu,takwimu zitatolewa ambao sio sahihi ,kukiwa na tume huru ccm wanashindwa mapema sana cz maisha halisi ya mtz nw ni magumu sanaMimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!
Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!
Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!
Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Umesoma watu wanasema au yeye anajisema? Bado hujaelewa ulichokisoma.Sijakuelewa! Maana kuna nyuzi nyingi nimesoma humu kuwa mgombea fulani ana akili nyingi sana.