Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Safari hii inabidi tukubali kuwa.
Tundu kuwa rais imeisha hiyo
Huyu aliyepigwa risasi upande wa kushoto na kuumia upande wa kulia!😄😄😄 endeleeni na drama zenu funguo ya ikulu ipo kwenye mfuko wa baba lao😄😄😄.



MAGUFULI4LIFE.
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Musiwe wepesi wa kusahau, hakuna mtu alikuwa anakubarika kama Lowasa. Watu waliesha uwanjani, watu walideki barabara. Watu wa kanda ya Ziwa ni very dynamic.
 
n
,
Chiiiiiiiiii! wewe hutujui vizuri wasukuma,
Dugitanaga " gubodelejiwa" bhugwelela bhudogo ebheeee
onywanoko be sio kweli bakolilwe abanhu kuyugopwa sagala guke ubuluba budogo be ukung'unha ube
 
Tumeshawaambia hadi tumechoka picha zenu za kuchakachua za kitengo chenu cha uchakahuaji CHADEMA tumezichoka.Mwacheni Lowasa apumzike picha zake za mikutano yake mlizochakachua inatosha.
Jana tumejionea ITV ....dah hata mimi sikutegemea lile nyomi........hata Chato?
 
Duh, hiyo namba sijui nimeosoma kwa kugeuza? Au ulimaanisha 1920 yaani miaka 2 kabla ya Nyerere kuzaliwa?
Huyu Lissu huyu kweli wa miujiza sana, picha zake za zamani wanatambia Leo?
Hata TV inadanganya?
 


..huu ni umati uliomzomea Tundu Lissu.

..halafu kuna umati uliompokea na kumshangilia.

..binafsi sidhani kama kilichotokea ni jambo baya, unless ppl got physical with one another.

..mwanasiasa anapofika eneo lolote ni lazima ayapime makundi hayo mawili.
 
Aina shida. Wengi wetu atuna vitambulisho. Ni watoto wasio na vitambulisho vya kura. CCM wanjanja sana
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Magu sio Msukuma..jipange
 
,
Chiiiiiiiiii! wewe hutujui vizuri wasukuma,
Dugitanaga " gubodelejiwa" bhugwelela bhudogo ebheeee
Ila Magu sio Msukuma...ndio maana anaongea vilugha vingi aonekane Mtanzania..rudi kwenu tumekuchoka..anawezaje mtu kupigwa risasa 16 hata jambazi hafanywi hivyo alafu unakaa kimya
 
..huu ni umati uliomzomea Tundu Lissu.

..halafu kuna umati uliompokea na kumshangilia.

..binafsi sidhani kama kilichotokea ni jambo baya, unless ppl got physical with one another.

..mwanasiasa anapofika eneo lolote ni lazima ayapime makundi hayo mawili.
Lakini mwingine akizomewa anaamuru wazomeaji wakamatwe !
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Maana yake demokrasia imeeleweka vizuri.
Watu wanasikiliza pande zote na kutoa maamuzi.
 
Tumeshawaambia hadi tumechoka picha zenu za kuchakachua za kitengo chenu cha uchakahuaji CHADEMA tumezichoka.Mwacheni Lowasa apumzike picha zake za mikutano yake mlizochakachua inatosha.
Unaumia sana ila basi tu unajitahidi hivyo hivyo kuongea
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Mkuu hata Huko Pemba Magufuli atazoa?
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Kanda ya Ziwa ni pro upinzani toka mwaka 1995.

Walichokosea huwa wanabadilika kila uchaguzi, this time naona upepo uko upinzani watachagua upinzani wabunge wengi sana.

Huenda Geita ccm alishinda jimbo la Buchosa na jimbo la Bichosa tu kwa hali niliyoiona Joseph Msukuma sidhani kama atarejea bungeni tena.
 
Back
Top Bottom