Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku siyo jumapili
Kumchagua wewe na wazazi wako kutokana na Maslahi mnayopata kwa gharama ya damu za watu hakumaanishi kila mtu atamchagua , jiandae kiakiliMbele ya Magufuli haiwezikutokea Lissu akashinda kuwa Rais wa nchi hii hata mwenyekiti wa tume ya uchaguzi awe Edwin Mtei na mkurugenzi wa tume awe Allute Mughwai Lissu
nadhani wewe n wenzako ndo mnapaswa kujiandaa mnoo maana kishindo kinachokuja baada ya tarehe 28 oktoba hamtaaminiKumchagua wewe na wazazi wako kutokana na Maslahi mnayopata kwa gharama ya damu za watu hakumaanishi kila mtu atamchagua , jiandae kiakili
Tangu Tanzania ipate uhuru mji wa buseresere haujawahi kupata maji safi na salama. Mji huu uko wilaya ya Chato alikozaliwa Magufuli na aliongoza jimbo hilo kama mbunge na waziri kwa miaka 15 ndani ya CCM.sasa watanzania ninawashauri msimpe tena huyu mtu utumishi kwa kipindi kingine .HUJUI MUMILIKI WA HAKA KAENEO? HII VIDEO IMESHA SAMBAA KILA KONA. WATANZWNIA TUNATAKA UHURU WETU. HATUKO TAYARI KUUZA TAIFA KWA MABEBERUU TENAA
Ulishawahi kufika Ikungi na kuona umasikini uliotopea wa elimu ,afya na kila kitu?Tangu Tanzania ipate uhuru mji wa buseresere haujawahi kupata maji safi na salama. Mji huu uko wilaya ya Chato alikozaliwa Magufuli na aliongoza jimbo hilo kama mbunge na waziri kwa miaka 15 ndani ya CCM.sasa watanzania ninawashauri msimpe tena huyu mtu utumishi kwa kipindi kingine .
So what ?Ulishawahi kufika Ikungi na kuona umasikini uliotopea wa elimu ,afya na kila kitu?
Na hilo jimbo mbunge wao alikuwa Lisu
Dah....one day yes [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kila siku siyo jumapili