Bajeti ya kunguru
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,379
- 1,069
Huyu aliyepigwa risasi upande wa kushoto na kuumia upande wa kulia!πππ endeleeni na drama zenu funguo ya ikulu ipo kwenye mfuko wa baba laoπππ.Safari hii inabidi tukubali kuwa.
Tundu kuwa rais imeisha hiyo
Hapa Geita, Upendo Furaha Peneza anashinda kabla ya kuisha misa ya Kwanza, kata ya Nyankumbu asubuhi tuu chadema wameshaibeba!
Musiwe wepesi wa kusahau, hakuna mtu alikuwa anakubarika kama Lowasa. Watu waliesha uwanjani, watu walideki barabara. Watu wa kanda ya Ziwa ni very dynamic.Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.
Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu
Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?
Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .
onywanoko be sio kweli bakolilwe abanhu kuyugopwa sagala guke ubuluba budogo be ukung'unha ube,
Chiiiiiiiiii! wewe hutujui vizuri wasukuma,
Dugitanaga " gubodelejiwa" bhugwelela bhudogo ebheeee
Asee ni shida but nimerekebisha."Mawaziri mwa akili yako" ndiyo nini
Jana tumejionea ITV ....dah hata mimi sikutegemea lile nyomi........hata Chato?Tumeshawaambia hadi tumechoka picha zenu za kuchakachua za kitengo chenu cha uchakahuaji CHADEMA tumezichoka.Mwacheni Lowasa apumzike picha zake za mikutano yake mlizochakachua inatosha.
amezaliwa kanda ya Ziwa....full stopMagu hajazaliwa mkoa wa Geita kule alienda baada ya mama yake kuolewapo
Nina maana kuwa hata jina la Joseph sio jina la baba yake halisi
Hata TV inadanganya?Duh, hiyo namba sijui nimeosoma kwa kugeuza? Au ulimaanisha 1920 yaani miaka 2 kabla ya Nyerere kuzaliwa?
Huyu Lissu huyu kweli wa miujiza sana, picha zake za zamani wanatambia Leo?
Magu sio Msukuma..jipangeMimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!
Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!
Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!
Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Ila Magu sio Msukuma...ndio maana anaongea vilugha vingi aonekane Mtanzania..rudi kwenu tumekuchoka..anawezaje mtu kupigwa risasa 16 hata jambazi hafanywi hivyo alafu unakaa kimya,
Chiiiiiiiiii! wewe hutujui vizuri wasukuma,
Dugitanaga " gubodelejiwa" bhugwelela bhudogo ebheeee
Wewe kumbe ni wa kushangaa shangaa , haya shangaa tena# magufuli 5 tenaπβHuna hoja wala sikushangai.
Kwani ipo? Mnaenda kushangaa shangaa tu.Mmeshikwa pabaya! oh upinzani umekufa, CDM imekufa, leo mnalo
Lakini mwingine akizomewa anaamuru wazomeaji wakamatwe !..huu ni umati uliomzomea Tundu Lissu.
..halafu kuna umati uliompokea na kumshangilia.
..binafsi sidhani kama kilichotokea ni jambo baya, unless ppl got physical with one another.
..mwanasiasa anapofika eneo lolote ni lazima ayapime makundi hayo mawili.
Maana yake demokrasia imeeleweka vizuri.Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.
Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu
Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?
Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .
Unaumia sana ila basi tu unajitahidi hivyo hivyo kuongeaTumeshawaambia hadi tumechoka picha zenu za kuchakachua za kitengo chenu cha uchakahuaji CHADEMA tumezichoka.Mwacheni Lowasa apumzike picha zake za mikutano yake mlizochakachua inatosha.
Mkuu hata Huko Pemba Magufuli atazoa?Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!
Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!
Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!
Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Kanda ya Ziwa ni pro upinzani toka mwaka 1995.Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.
Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu
Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?
Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .