Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Tuliwaambia ccm kuzuia mikutano ya siasa ni kitanzi kwenu awakusikia, tuliwaambia msizuie wapinzani kuongea waacheni waongee ili ukifika mda wa kampeni wasiwe na mapya ya kuongea awakusikia, Leo ccm wanakula mashambulizi makali kila Kona awajajibu hili ili linafata cheki ishu ya vitambulisho vya machinga, ishu ya cheti Cha kuzaliwa Cha mgombea wao, uporwaji wa ardhi karagwe hawana majibu, hoja ya ndege imebuma. Wamebakia kucheza singeli tu majukwaani.
 
Ccm hawana kipya cha kuongea zaidi ya sgr, mabeberu, flyover, ndege awajui hata Ni eneo gani uongelee hayo ajabu hata vijijini wanawaambia tumejenga flyover ambao kuelewa flyover au ndege mtu wa kijijini Ni lzm uwe na projecta.
Wamepoteana kweli kweli Hakuna Cha nape Wala musiba wa kujibu hoja.
 
Hivi mtu anayekubalika huwa anazomewa?????Huyu jamaa amezomewa Katoro Geita.

Kwa taarifa yako Tundu Lissu hapati hata jimbo moja kanda ya ziwa.
 
Bro watapoteana humu we subiri uone.
 
Jiwe hafai nakwambia!! Ndo mana hata kwao wamemkataa. Huyu jamaa ana roho mbaya haijawai tokea muulize yule mfanyabiashara wa Mwanza na Musoma Peter Zacharia aliyekuwa rafiki yake atakwambia
Siyo Mwanza na Musoma, ni tarime na mwanza ndiko magari yake yanafanya safari zake
 
Cha kushangaza sa ni kuwa kila anaesema CCM itashinda hataji sababu, kuna nini hicho kilichojificha ambacho kitaifanya CCM ishinde hata mahali isipopendwa kabisa kama Kagera na pahari pengine ambako haisemwi vizuri?
hiyo imani kubwa mliyo nayo inatokana na nini? kuna siri gani? hebu mtujuze .
 
Inaashiria HURUMA NA MSHANGAO waliona watu wa Kanda ya Ziwa kuhusu Lissu na zile risasi 16 za ndege! Ndio kisa cha wao kufurika hivyo. No more no less!
 
unless your myopic kada
 
Rutashobolwa Ruttashobolwa Ruttashobolwa ninani aliyekuloga? Amin nakuambia lissu atashinda hata kabla ya jogoo wa tatu hajawika ..na ndipo mtakapolia na kusaga meno ..tubuni dhambi zenu kabla Mambo hayajaharibika ..ohooo shauri yenu
 
Waambie, mambo ya mitandaoni wanadhani ndio kura zenyewe
 
Bado mnahesabu mafuriko, hamjifunzi jambo!
Twende sawa, kitendo cha majaliwa kupiga shoo ya uhakika kilimanjaro na umati wa watu maana yake nini?
 
You lost miserably during primary elections so pathetic ....kwanza sikujuwa wewe ni kada wakujifishia kwenye kichaka cha fake journalism.Mkuu nilikua na kuhesimu sana kabla ya kupate kura 1 tuu kwenye kura zamaoni kumbe hata maCCM hawakutaki kwenye mambo yako yakujipendekeza kinafki.

Take this, in a free and fair election environment hata kwa mzee Hashmu Rungwe Supunda Magufuli hawezi kufurukuta.Kwa safari hiyi ni nguvu ya umma tuu hakuna negotiation 28th Oct sio mbali wait.
 
Hiyo haitasaidia zaidi ya kumuongezea Lissu kura na umaarufu.
Unabishana sana kama sio kubalishana ufahamu, Unachotakiwa kufahamu ni kwamba CCM ni chama Tawala na ni chenyewe tuu ndio kitashindana na chenyewe. N a kama hakitovunjika hakuna siku chama kingine kinaweza kutawala nchi hii.

Kinatumia mfumo wa political Governance :

Ni kutumia Mali zote nchi ilizonazo fedha, watu, Physical Infrastructure, Super stracture, Uhusiano wa wananchi ndani na uhusiano wa wananchi na jamii nyingine, vipaji vya ndani ya nchi na kutumia vipawa kila mwananchi alichonacho.

Na vipaji au vipawa vinavyo azimika kama vitaleta manufaa, wazo au kitu chochote kitakacho kupa urahisi wa kuiweka jamii yako salama na kwenye maendeleo.

Wewe hapo ni CCM bila kujifahamu, kwa kuwa wazo lolote labda liwe la kijinga au halitekelezeki hawato lichukua vinginevyo watalifanyia kazi.

CCM sio chama cha kufikirika, kwa hiyo hauwezi kukiondoa ila utakua IRRITANT tuu.
 
Kumbe mnaamini Mara hamtapata kitu
Kwa kanda ya ziwa Tundu lisu huenda akaambulia kura kwa mashemeji zake tu pale mkoa wa mara.hao wasukuma na wahaya usiwapigie mahesabu kabisa
 

Mjue uwezekano wa kushindwa upo ili depression kama ingeweza kutokea kwa kupata matokeo halisi, isije kutokea.
Nina wasi wasi matokeo ya uchaguzi huu, yatakuwa mabaya kwa upinzani kuliko wakati wowote ule tangu kuanzishwa kwa siasa za vyama vingi.

Natanguliza pole.
 
Duhh nchi hii ni kubwa aisee yaani kuna mahali wanazuiwa kumsikiliza mgombea wa upinzani !!? Kwa kweli utawala wa aina hii ni wa kupigwa vita
 
The problem nyie maCCM u hate the truth ...mungeruhusu kuwe Opinion poll that pre-Election survey with credible research consultancy nawakika mungekata tamaa kushiriki uchaguzi mapema.Huwu uchanguzi nikati ya wakandamizi na wakandamizwaji, wauwaji na wapenda haki, watekaji na mateka,wabaya na wema n.k in that order
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…