Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Asante wa bongo kwa kuukataa ukabila.
 
Kwa kanda ya ziwa Tundu lisu huenda akaambulia kura kwa mashemeji zake tu pale mkoa wa mara.hao wasukuma na wahaya usiwapigie mahesabu kabisa
 
Ni kuweweseka. Unajua Magufuli alikuwa hajaingia kwenye siasa za hoja kulikuwa hakuna mtu yeyote aliyethubutu kumkosoa. Akajidanganya na kujiona anapendeka sana. Sasa ajabu moja ni kuwa hata kwenye ''ngome'' yake ameona wanampuuza.

Je sehemu nyingine itakuwaje? Uchaguzi huu unaweza kumwangusha vibaya sana... labda afanye mkakati kabambe na wa siri wa kuiba. Hali ilivyo sasa akajifinya kuiba kinguvunguvu anaweza kuamsha hasira kali nchi nzima na yeye akaishia pabaya mno. Mbaya zaidi ndani ya CCM wengi wanachekea kwa pembeni.
Mahela atamsave....!!
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Mkuu unaongea kwa mahaba
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Sina hakika sana lakini kwa maoni yangu kosa kubwa la JPM ni ama kutopenda USHAURI wa kitaalamu au Kujizungushia watu waimba mapambi
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .


Sio kanda ya ziwa pekee, ni nchi nzima na jibu rahisi ni kwamba watu wana maumivu makubwa sana moyoni wanalilia ukombozi, uponyaji, sasa Sauti ya Lissu inajenga matumaini hayo, ni Nyota ya jaha! Na CCM na viongozi wake wajifunze kwamba ITIKADI ni IMANI, kamwe huwezi kuufuta kwa sheria kandamizi, ubabe na dhuluma, watu wataogopa, watanyamaza lakini hawatakuunga mkono na pindi wakipata upenyo watakupa pigo moja la nguvu, Pigo la Inkoskazi! Mobutu, Makaburu, Gadafi, Saddam Hussein nk ni mifano ambayo tumeishuhudia katika miongo hii 2 au 3 inayoisha sasa. Ushawishi ni bora kuliko Ukandamizaji na ubaradhuli usio na busara hata kidogo!
 
Ni kuweweseka. Unajua Magufuli alikuwa hajaingia kwenye siasa za hoja kulikuwa hakuna mtu yeyote aliyethubutu kumkosoa. Akajidanganya na kujiona anapendeka sana. Sasa ajabu moja ni kuwa hata kwenye ''ngome'' yake ameona wanampuuza.

Je sehemu nyingine itakuwaje? Uchaguzi huu unaweza kumwangusha vibaya sana... labda afanye mkakati kabambe na wa siri wa kuiba. Hali ilivyo sasa akajifinya kuiba kinguvunguvu anaweza kuamsha hasira kali nchi nzima na yeye akaishia pabaya mno. Mbaya zaidi ndani ya CCM wengi wanachekea kwa pembeni.
Hivi bao la mkono litawezekana mwaka huu ila ile sheria ya kunyima nakala za matokeo eti nakala zimekosekana je wapinzani wamelifanyia kazi? 'that is too technical if not sorted out'
 
Sio ww tu umepanick, ni wanaccm wote wamepanick kuanzia mwenyekiti. Kabla ya Lisu kurejea ccm walikuwa wanatamba kwa tathmini za kupika, ilifikia mpaka mkawavika NCCR Mageuzi kilemba cha ukoka, kuwa watakuwa chama kikuu cha upinzani. Ww binafsi ni mtu uliyejifanya uko NCCR Mageuzi ili kuhadaa umma kuwa NCCR imerudi kwenye chart, lakini Mungu hamfichi mnafiki, hujawahi kuanzisha uzi wowote kuhusu NCCR, na sasa mmepoteana maana ukweli mliokuwa hamtaki ufahamike sasa uko wazi peupe. Ni hivi imeisha hiyo.
Mimi kuwa Nccr mageuzi sio sababu ya kutosema ukweli kwa manufaa ya taifa letu,uzalendo kwanza mambo ya vyama baadae. Kwa hiyo usijifariji kuwa Chadema ina uhai fanya tathimini uraiani utapata picha kamili.
 
Tusimshirikishe Mungu ktk chaguzi hisokuwa na Tume huru ya uru ya uchaguzi
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
 
Mimi kuwa Nccr mageuzi sio sababu ya kutosema ukweli kwa manufaa ya taifa letu,uzalendo kwanza mambo ya vyama baadae. Kwa hiyo usijifariji kuwa Chadema ina uhai fanya tathimini uraiani utapata picha kamili.

Sasa hivi ni wakati wa kampeni, mada zako nyingi zilipaswa zijikite kueneza hicho chama chako kitafanya nini, na sio kinyume chake. Au hicho chama chako hakina manufaa yoyote kwa taifa letu? Mtaa upi nifanye utafiti zaidi ya hraya yanayoonekana sasa? Hapa ndio ujue unafiki haulipi.
 
Sasa hivi ni wakati wa kampeni, mada zako nyingi zilipaswa zijikite kueneza hicho chama chako kitafanya nini, na sio kinyume chake. Au hicho chama chako hakina manufaa yoyote kwa taifa letu. Mtaa upi nifanye utafiti zaidi ya haya yanayoonekana sasa? Hapa ndio ujue unafiki haulipi.
Acha hasira,kwani huoni Nccr wanafanya nini? Huoni mikakati yao? Huoni kampeni zao?
 
Sasa hivi ni wakati wa kampeni, mada zako nyingi zilipaswa zijikite kueneza hicho chama chako kitafanya nini, na sio kinyume chake. Au hicho chama chako hakina manufaa yoyote kwa taifa letu. Mtaa upi nifanye utafiti zaidi ya haya yanayoonekana sasa? Hapa ndio ujue unafiki haulipi.
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Dada na hii hapa chini mbona hujaileta?
 
Acha kudanganywa na wanasaccos angalia hapa alivyozomewa huko huko wanakosema amefunika. Kuna uongo mwingi sana humu.

Hahahahaha Kwa iyo hawa wahuni mliowapa hela ndo unatuletea hapa!!!
Yaani hata ivyo vibango wameshikishwa tu!! Ona wanavyoonekana wanacheka hawapo serious!

Alafu mkaandaa na camera kabisa za kuwachukua😂😂😂😂 kweli CCM mmeishiwa mwaka huu
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
ukisikia hoja ya nguvu ndo hii, yaan hauna hoja yoyote zaidi ya kulazimisha unachokiamini kiwe kweli. enewei kujipa moyo si mbaya ila ujue maneno hata kwenye kanga yapo. tunachotaka sisi ni uchaguzi huru uwazi na haki. kama kwel huyo jamaa yako atashinda bas ashinde kwa uhuru, haki uwazi na ukweli tutamshangilia; atakayechakachua aandae mapema kabisa ung'eng'e wa kwenda kujitetea the hegi. la sivyo atakoma kama ung'eng'e wake ni ule wa ze ze ze yu noo ze intapraranyua.
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Amini usiamini watarudi na kauli ya "TUMEIBIWA KURA" wako kama wajinga tu

Siasa ni hesabu na hakuna chama hapa Afrika kinacho shinda mbinu za CCM ikifuatiwa na ZANU PF, ANC.

Zaidi ya yote wananchi hawa wameshajua wazi Magufuli ni jembe,macho na masikio vinaona na kusikia kile Rais anachofanya, leo hii aje mtu na kuanza kumponda nani atamuelewa?ni vile tu wanachi hawawezi kusimama jukwaani na wao wanadhani watu wakifika kwenye mikutano yao ni kama wameshinda na kumbe hakuna kitu

Mikoa mitano ya Mwanza,Tabora, Geita, Simiyu na Shinyanga JPM atashinda kwa 90% na ndiyo mikoa yenye watu wengi kuliko yote hapa Tanzania hasa huko vijijini ambako hawawaoni Chadema wala act

Vyama pinzani viko Twitter, Jamii foruma na youtube

Nani anakwenda twitter kujua Tundu Lisu kaongea nini

Tulioko mijini 85% tunajua Tundu Lisu ni mhaini wa nchi na tunamsikiliza,mwisho wa siku tunaenda kumpiga chini kwenye sanduku la kura

Mtu asiye tueleza atatufanyia nini,kazi yake ni wivu tu dhidi ya Magufuli na kutueleza kua alipigwa risasi, tunajua alipigwa risasi na hawezi kutulazimisha kua Serikali au Magufuli ndo alisababisha hayo

Kweni tutamuaminije kua hana maadui? Yeye ni MALAIKA?

Apite hivi[emoji117] atupishe tafadhari tuchague mpambanaji
 
Amini usiamini watarudi na kauli ya "TUMEIBIWA KURA" wako kama wajinga tu

Siasa ni hesabu na hakuna chama hapa Afrika kinacho shinda mbinu za CCM ikifuatiwa na ZANU PF, ANC.

Zaidi ya yote wananchi hawa wameshajua wazi Magufuli ni jembe,macho na masikio vinaona na kusikia kile Rais anachofanya, leo hii aje mtu na kuanza kumponda nani atamuelewa?ni vile tu wanachi hawawezi kusimama jukwaani na wao wanadhani watu wakifika kwenye mikutano yao ni kama wameshinda na kumbe hakuna kitu

Mikoa mitano ya Mwanza,Tabora, Geita, Simiyu na Shinyanga JPM atashinda kwa 90% na ndiyo mikoa yenye watu wengi kuliko yote hapa Tanzania hasa huko vijijini ambako hawawaoni Chadema wala act

Vyama pinzani viko Twitter, Jamii foruma na youtube

Nani anakwenda twitter kujua Tundu Lisu kaongea nini

Tulioko mijini 85% tunajua Tundu Lisu ni mhaini wa nchi na tunamsikiliza,mwisho wa siku tunaenda kumpiga chini kwenye sanduku la kura

Mtu asiye tueleza atatufanyia nini,kazi yake ni wivu tu dhidi ya Magufuli na kutueleza kua alipigwa risasi, tunajua alipigwa risasi na hawezi kutulazimisha kua Serikali au Magufuli ndo alisababisha hayo

Kweni tutamuaminije kua hana maadui? Yeye ni MALAIKA?

Apite hivi[emoji117] atupishe tafadhari tuchague mpambanaji
ahahaaaa eti anamuonea wivu!!! kwa hiyo Lissu anamuonea wivu mzee wa ze ze ze ze ze yu nooo zeeee ze ze intaprengenyua
 
Back
Top Bottom