Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

The problem nyie maCCM u hate the truth ...mungeruhusu kuwe Opinion poll that pre-Election survey with credible research consultancy nawakika mungekata tamaa kushiriki uchaguzi mapema.Huwu uchanguzi nikati ya wakandamizi na wakandamizwaji, wauwaji na wapenda haki, watekaji na mateka,wabaya na wema n.k in that order

The reverse is true, itabidi mtumie maarifa sana kubalance yafuatayo baada ya uchaguzi 2020:

Your party chairman will not be an MP after election. Tobo Lissu will essentialy know his powers in members within the rank and the file of the party apparantly much isolated within party leadership and hold no instruments of power.
The rooms to operate in the party will be too small to accomodate both, mmoja mpigaji na ameoperate ndani ya Chama for years unhindered mwingine anataka kuadvance party politics for future elections.

MANENOOOOO Tunawasubiri.
 
Labda niandike nilichokificha ili uelewe vizuri uzi huu , kabla ya ujio wa Lissu watu wa Geita walikuwa wanatangaziwa kwa kisukuma kwamba Kuhudhuria mkutano wa Lissu ni Usaliti , ikiwa kama Magufuli anatakiwa kiasi unachokisema ilikuwaje jambo hili litangazwe kwa umma ? hata hivyo wananchi wamepuuza kinyama
Huo niuongo mkuu
 
Mkuu Ruttashobolwa , asante sana kwa kuwaeleza watu humu ukweli huu, japo watu humu watakubeza, lakini ukweli siku zote, una tabia moja, husimama mpaka mwisho.
Maadam tarehe 28 inakuja, tusiendelee kuandikia mate wakati wino upo!.

Ila pia kuna kitu umewasaidia hawa waota ndoto mchana bila wao kujijua, umewaokoa na kupata ugonjwa wa depression kutokana na too great expectations, kuwa mtu wao atashinda, hivyo ukweli kama huu unawasaidia kuwaandaa kisaikolojia kupokea kipigo cha mwaka, hivyo watakaposhindwa, wataishia kuumia tuu lakini hawata athirika kisaikolojia, na namna pekee ya kujifariji itakuwa ni kulia sana kwa kupiga makelele ili kuondoa machungu.

p
Unajua ndugu Paschal Mayalla, tunajua kwamba CCM itashinda kwakuwa hakuna haki.
Hilo liko wazi kwani hata 2015 hawakushinda bali walitumia mtido huo wakujitangaza washindi regardless matokeo halisi. Sio kwenye ballot box.

Watajitangaza washindi kwani Referree na Commissar wa match ni hao hao Makada watiifu wa CCM. Unategemea mkurugenzi wa Mkoa au Wilaya ambaye ni kada wa ccm amtangaze mpinzani? Unategemea mwenyekiti wa tume ya Taifa ya uchaguzi ambaye ni kada wa ccm amtangaze Lissu? Itakuwa ajabu. (Lakini tutaona yote.)

We don't expect anything less than that.

Kama kungekuwa na Uhuru wakuhesabu kura Kama zilivyopigwa na kutangaza matokeo Kama yanavyopatikana kwenye box la kura, CCM hampati hata 25%.
 
Tumeshawaambia hadi tumechoka picha zenu za kuchakachua za kitengo chenu cha uchakahuaji CHADEMA tumezichoka.Mwacheni Lowasa apumzike picha zake za mikutano yake mlizochakachua inatosha.
Endelea kuota ndoto. Lisu anafunika mbaya na hetegemei fiesta kama yule mwingine anayetembelea nyota za Diamond, Ali kiba na konde boy
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Biashara imeisha
 
26 September 2020
Musoma, Mara
Tanzania

MAFURIKO YA MGOMBEA URAIS TANZANIA TUNDU LISSU 2020, TUME YA UCHAGUZI YAWAANDIKIA CHADEMA BARUA.



MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA, TUNDU LISSU LEO MUSOMA, CHADEMA YAVUNJA REKODI NYINGINE, PAMOJA YA KUWA MVUA KUBWA ILIKUWA INANYESHA WATU BADO WAJITOKEZA KWA WINGI
 
Watu wanakwenda kwenye mikutano ya TundA Lisu kupoteza muda na kutizama Futuhi!
TundA ana vichekesho sana... Eti anawahutubia wakulima kuhusu tozo za mazao na wakati Magufuli alishazifuta tangu zamani za kale!
mazao yanauzwa wapi ?
 
Mbarali , Mbeya
Tanzania

Mbarali Kampeni za 2020 CHADEMA

Siyo to kanda ya Ziwa bali kote Tanzania mfano hapa ni Mbarali mkoani Mbeya huko nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania

 
Mapokezi ya Tundu Lissu mgombea wa Urais 2020 alipowasili Musoma , wananchi wajipanga barabarani kwa wingi


 
Unajua ndugu Paschal Mayalla, tunajua kwamba CCM itashinda kwakuwa hakuna haki.
Hilo liko wazi kwani hata 2015 hawakushinda bali walitumia mtido huo wakujitangaza washindi regardless matokeo halisi. Sio kwenye ballot box.

Watajitangaza washindi kwani Referree na Commissar wa match ni hao hao Makada watiifu wa CCM. Unategemea mkurugenzi wa Mkoa au Wilaya ambaye ni kada wa ccm amtangaze mpinzani? Unategemea mwenyekiti wa tume ya Taifa ya uchaguzi ambaye ni kada wa ccm amtangaze Lissu? Itakuwa ajabu. (Lakini tutaona yote.)

We don't expect anything less than that.

Kama kungekuwa na Uhuru wakuhesabu kura Kama zilivyopigwa na kutangaza matokeo Kama yanavyopatikana kwenye box la kura, CCM hampati hata 25%.
Mkuu nzotangai , karibu, mitaa hii
Uchaguzi 2020 - Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki
hapa nimezizungumza hoja zako, kura zinapigiwa kituoni, zinahesabiwa kituoni na matokeo, yanabandikwa kituoni, huo wizi wa kura unauzungumzia, unafanyikia wapi?!.
P
 
The reverse is true, itabidi mtumie maarifa sana kubalance yafuatayo baada ya uchaguzi 2020:

Your party chairman will not be an MP after election. Tobo Lissu will essentialy know his powers in members within the rank and the file of the party apparantly much isolated within party leadership and hold no instruments of power.
The rooms to operate in the party will be too small to accomodate both, mmoja mpigaji na ameoperate ndani ya Chama for years unhindered mwingine anataka kuadvance party politics for future elections.

MANENOOOOO Tunawasubiri.
l maintain my stand in a free and fair election environment mzee kipara kidevu kirefu kama nyundo hawezi hata kufurukuta kwa Hashm Rungwe Supunda.Your green brains its too small to understand how the multitude Tanzanians have entrusted him.you party is using makokoteni ,tractors,lorries,daladala,Diamond,Mwana FA,Wema Sepetu,Harmonize,waganga wote wa jadi nchini to mobilise people to attend your rallies.Mr Lissu watu wakuja wenyewe.I repeat your green brains wakunyea mavi tuu.
 
Mkuu nzotangai , karibu, mitaa hii
Uchaguzi 2020 - Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki
hapa nimezizungumza hoja zako, kura zinapigiwa kituoni, zinahesabiwa kituoni na matokeo, yanabandikwa kituoni, huo wizi wa kura unauzungumzia, unafanyikia wapi?!.
P
Uchaguzi ukiwa huru na haki kama ule walikupiga KO kwenye your party primary elections aka kura zamaoni hapo wizi wa kura haki ya mungu hautafanyika kada
 
l maintain my stand in a free and fair election environment mzee kipara kidevu kirefu kama nyundo hawezi hata kufurukuta kwa Hashm Rungwe Supunda.Your green brains its too small to understand how the multitude Tanzanians have entrusted him.you party is using makokoteni ,tractors,lorries,daladala,Diamond,Mwana FA,Wema Sepetu,Harmonize,waganga wote wa jadi nchini to mobilise people to attend your rallies.Mr Lissu watu wakuja wenyewe.I repeat your green brains wakunyea mavi tuu.

Ni vizuri kujidanganya na kuamini uwongo mnao utunga, tumewazoewa tumezisikia hizo porojo tangu tukiwa wanachama wa Chadema kwa miaka 20, tumeondoka uwongo unaendelea.

Kawaida tuu, hiyo ndio njia ya kupunguza munkarii na maumivu baada ya matokeo 29th October.
 
Oct twende na upinzani, Zanzibar maalim, Tanganyika Lissu
 
Watumishi wote wana hasira na jiwe, wanasema kura ni kwa Lissu tu.
Hadi askari
Kwani jiwe kakosea wapi?
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Huo mstari wako wa mwisho ndio umekuweka mtupu.

Yote uliyoandika juu na kujiapiza umeyafuta kwenye mstari huu wa mwisho.

BURE KABISA.
 
Bado wanasikitikia baadhi ya watanzania kuamini katika box la kura kuwa litaiondoa CCM madarakani nilichogundua wengi CCM hawaijui, lakini mfano mzuri mgeangalia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka Jana na ndo kitakachojitokeza kwenye uchaguzi huu. Nawakumbusha tena bila kubuni mbinu mbadala serikili ya CCM hatakaa ishindwe kwenye uchaguzi wowote hapa TZ kwa kutegemea sanduku LA kura, hii ni danganya Toto hata taifa zima mgepiga kura kwa kuwapigia upinzani, CCM lazima itaibuka mshindi.
 
Na bado
Unajua watu wanahitaji sana uhuru haki na maendeleo
Alafu naona kama CCM wanajibomoa wenyewe kwa matamshi ya mgombea Urais mwenyewe
 
Bado wanasikitikia baadhi ya watanzania kuamini katika box la kura kuwa litaiondoa CCM madarakani nilichogundua wengi CCM hawaijui, lakini mfano mzuri mgeangalia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka Jana na ndo kitakachojitokeza kwenye uchaguzi huu. Nawakumbusha tena bila kubuni mbinu mbadala serikili ya CCM hatakaa ishindwe kwenye uchaguzi wowote hapa TZ kwa kutegemea sanduku LA kura, hii ni danganya Toto hata taifa zima mgepiga kura kwa kuwapigia upinzani, CCM lazima itaibuka mshindi.
Kila siku siyo jumapili
 
Back
Top Bottom