Kitendo cha Uhuni cha UVCCM Chato kinapaswa kulaaniwa na watu wote wanaoitakia mema nchi yetu

Kitendo cha Uhuni cha UVCCM Chato kinapaswa kulaaniwa na watu wote wanaoitakia mema nchi yetu

Mi naona BAVICHA ndio wanafeli.. harafu siku hizi hawana mvuto kabisa. Tamko kama hili linatolewa wao wanakwama vipi kuwajibu wakiwa na mafimbo na marungu mbele ya kamera??
 
Mi naona BAVICHA ndio wanafeli.. harafu siku hizi hawana mvuto kabisa. Tamko kama hili linatolewa wao wanakwama vipi kuwajibu wakiwa na mafimbo na marungu mbele ya kamera??

Naona bado ujaelewa !. Anaye wapa nguvu uvccm ni RC,DC,RPC,IGP,CID,msajili wa vyama.wote ulitakiwa wakupe msaada ila ndio msaada wa uvccm.
 
Tips kutoka Twita;;

“Aliyehusika kupanga njama ni DC wa chato (Deusdedith Katwale) ambae ni mzaliwa wa hapa chato kijiji cha Katende, Kata ya Katende.

Aliwatuma mwenyekiti wa kijiji cha Katende, Kata ya Katende kwao na DC, na M/kiti wa UVCCM kata ya Katende ambao wote ni watu wa kijiji chake.

Lakini pia aliyekuwa mshauri wa Mgambo wilaya ya Chato (amestaafu).

Usitaje jina langu”.
 
Ni UVCCM kwasababu walishatoa vitisho. Tutadili nao
I miss Red Brigade.

112E2359-DCA0-46CA-BFCC-59050D0A274B.jpeg
 
Sielewi kwa nini hadi sasa jeshi la polisi halijachukua hatua zozote zile kuhusiana na kitendo cha kiharifu cha wale Vijana, sijui ni kwanini Msajili wa Vyama vya Siasa hajakemea, na sijui ni kwa nini Viongozi wa Dini hawajajitokeza kukemea.

Wako wapi wanaojiita viongozi wa vyama walinda amani kina Cheyo, wako kimya.

Imagine tamko hili lingekuwa limetolewa na BAVICHA saa hii Msajili wa Vyama angekuwa amewaandikia CHADEMA wajieleze kwa nini Bavicha isifutwe.

Tunajenga jamii ya kibaguzi inayohukumu vitendo vya kiharifu kwa kuangalia itikadi, hali hii isipokemewa inaweza kuleta mpasuko mkubwa siku za usoni, na watakao sababisha sio vijana bali ni viongozi na wazee wanaofumbia macho, na pindi wanapokemea wanakemea kwa kuangalia nani kasema.

Tusifikiri vikundi vya waasi vinatokeaga hewani ni kulea vikundi kama hivi ndani ya vyama vilivyosajiliwa kihalali.

Pia soma: UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote
Tusifikiri vikundi vya waasi vinatokeaga hewani ni kulea vikundi kama hivi ndani ya vyama vilivyosajiliwa kihalali.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom